4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
hahahaaa kaijua coca cola leo ?yuko sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaa kaijua coca cola leo ?yuko sahihi
duh Na Coca cola wanaathirikaj wengineNi tahadhari tu, hata sigara unavuta wewe, lkn madhara yake ni kwa watu wako wa karibu.
mbona vikwazo vinaounguzwa na watu wanajiuzuru huko kila kukichaPutin wakati anawekewa vikwazo alijua ni utani.
Na kwa nguvu ambayo alikuwa nayo putin hadi saizi amefikia hatua kujadili kuhusu Coca-Cola basi putin ameishiwa pointi.
Putin wakati anawekewa vikwazo alijua ni utani.
Na kwa nguvu ambayo alikuwa nayo putin hadi saizi amefikia hatua kujadili kuhusu Coca-Cola basi putin ameishiwa pointi.
Walijaribu unda yao imewashinda, hivyo wameona waanze ponda cocacolahiki ndo kitu watu hawakion , ni aibu rais wa kampun kubwa kuzungumzia Coca Cola yawezekana warus weng walikuwa wanakipenda sn , sio rahis kuzungumzia tu
Better late than never.Mbona kachelewa sana kutangaza hadi wenyewe wamefunga kuuza soko la urusi ndio anakuja kusema kama sio unafiki ni nini?
Amefikia pale jamaa wanaita e.t.c. yaani end of thinking capacityPutin wakati anawekewa vikwazo alijua ni utani.
Na kwa nguvu ambayo alikuwa nayo putin hadi saizi amefikia hatua kujadili kuhusu Coca-Cola basi putin ameishiwa pointi.
Hakuna jinsi.ukiinuka nchale ukiinama nchale ukikaaa napo nchale. tulia andunje dawa iingie
Hilo Alisemaga Jiwe.Msifikiri tunapendwa sana
Putin sasa Anazeeka vibaya. Rais anapiga negative promo.hahahaaa kaijua coca cola leo ?
Kwani ni uongo?Kichwa kinamuwaka moto
Yaani Putin ni wa kujadili Coca cola?Putin amewataka wananchi wa Urusi kuachana na kunywa sumu ama kemikali kutoka kwenye vinywaji baridi kama Cocacola na wapendelee kunywa vinjwagi vya asili ambavyo havina sumu na pia sio kemikali.
Putin anasema Coca Cola ni kemikali tupu na ni sumu.
Mwaka .2012 Donald Trump aliwahi kusema Pepsi ama Coca Cola ni sumu, ni takataka.
Nadhani naangalia mbao za jeneza lako hutoka urusi. Kwahiyo uharibifu wa mazingiraSumu nakunywa Mimi, Yeye shida yake nini?
Fikiri nje ya box kwanini amesema hivyo.Putin wakati anawekewa vikwazo alijua ni utani.
Na kwa nguvu ambayo alikuwa nayo putin hadi saizi amefikia hatua kujadili kuhusu Coca-Cola basi putin ameishiwa pointi.
Ajadili nini sasa hali ishakuwa ngumu kwake hujasikia huko warusi wanaiba nafaka na vyuma vya ukraine?Yaani Putin ni wa kujadili Coca cola?
HahaaaaaaahaahahaahahaNadhani naangalia mbao za jeneza lako hutoka urusi. Kwahiyo uharibifu wa mazingira