Saidama
JF-Expert Member
- Jun 10, 2022
- 598
- 1,151
Bora sumuBora chumvi au bora sumu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora sumuBora chumvi au bora sumu?
Chumvi hio Ni nzuri mno,Ina imarisha mifupa na meno.KamoooooooooniMaji ya bomba kuna sehemu hayanyweki. Yana chumvi hatari
Vodka ina sanitize mfumo wote wa mmeng'enyo wa chakula,...Na mm nasema wabugie tu Vodka tena ile Vladimir yenyeweKwa hiyo warusi wanywe Vodka tu!
Kwani Vodka haina 'sumu' na salama zaidi kunywewa na warusi?
Wewe ni hamnazo?Bora sumu
SodaAnae kunywa bia na anae kunywa soda ni nani anae athirika zaidi?
Putin amewataka wananchi wa Urusi kuachana na kunywa sumu ama kemikali kutoka kwenye vinywaji baridi kama Cocacola na wapendelee kunywa vinjwagi vya asili ambavyo havina sumu na pia sio kemikali.
Putin anasema Coca Cola ni kemikali tupu na ni sumu.
Mwaka .2012 Donald Trump aliwahi kusema Pepsi ama Coca Cola ni sumu, ni takataka.
Safi!Putin amewataka wananchi wa Urusi,sio wewe wa huko Temeke mikoroshini,
Au hujaisoma thd?
Chezea kipigo wewe mzee putin keshachanganyikiwa anaweweseka cha kuchekesha Putin atapita na maisha ya warusi kupenda vya wester n yatarudi palepale na hizi bidhaa za western zitarudi tena urusiKwa hiyo masheikh wanataka kutuambia kwamba na wenyewe wataanza rasmi kunywa "vodka" kwa sababu Putin amewaambia coca cola ndio ina sumu.
We ni Mrusi!!!?Sumu nakunywa Mimi, Yeye shida yake nini?
Utakuwa mnufaika wa kinywaji Hiki. Nadhanikwa hadhi yake hawezi kuzungumzia jambo hili. ni jambo dogo sana kwake, he is too busy dealing with world serious issues.
Mrusi wa ChatoWe ni Mrusi!!!?
hiki ndo kitu watu hawakion , ni aibu rais wa kampun kubwa kuzungumzia Coca Cola yawezekana warus weng walikuwa wanakipenda sn , sio rahis kuzungumzia tuPutin wakati anawekewa vikwazo alijua ni utani.
Na kwa nguvu ambayo alikuwa nayo putin hadi saizi amefikia hatua kujadili kuhusu Coca-Cola basi putin ameishiwa pointi.