Putin achukizwa na Ugaidi. Atangaza kuisaidia Afrika dhidi ya Magaidi

Putin achukizwa na Ugaidi. Atangaza kuisaidia Afrika dhidi ya Magaidi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Screenshot_2024-11-10-23-38-07-283_com.twitter.android~2.jpg


Rais wa Urusi, Vladmir Putin ameahidi kuzisaidia Nchi Washirika wake Barani Afrika katika Sekta mbalimbali za kuleta maendeleo na amesema ataisaidia pia Afrika kupambana na ugaidi.

Rais Putin ameahidi kutoa msaada kamili kwa Bara la Afrika ahadi ambayo ameitoa leo Jumapili katika mkutano kati ya Maafisa wa Bara la Afrika na Urusi huko Sochi, Kusini Magharibi mwa Nchi hiyo.

Mtandao wa DW Kiswahili umeripoti kuwa katika hotuba ya Putin iliyotolewa na Waziri wake wa Mambo ya Nje Sergei Lavrov mbele ya Mawaziri ya Mambo ya Nje wa Mataifa mengine pamoja na Maafisa wengine wa ngazi za juu, Kiongozi huyo amesema Nchi yake itaendelea kuzisaidia kikamilifu Nchi Washirika wake Afrika katika Sekta mbalimbali.

Amesema Urusi inaweza kuyasaidia Mataifa hayo ya Afrika katika maendeleo endelevu, kupambana na ugaidi na itikadi kali pamoja na kupambana na majanga, matatizo ya chakula na athari zizanosababishwa na majanga ya kiasili.

Mkutano huu pia ni fursa nyingine kwa Urusi kutangaza malengo yake ya kutaka kuona ulimwengu usioendeshwa na Taifa au upande mmoja tu wa Dinia, ikiwa ni baada ya Taifa hilo kuaandaa mkutano wa kilele wa mataifa yanayokuwa kiuchumi ya BRICS, Urusi inataka kuuonesha Ulimwengu wa Nchi za Magharibi kwamba vikwazo vyake vilivyolenga kuifanya itengwe kutokana na kuivamia Ukraine vimeshindwa kufanya kazi.

SASA MAGAIDI NA IMANI YAO YAKAE CHONJO. PUTIN HANA MASIKHARA LINAPOKUJA SUALA LA MAGAIDI.


Ritz Webabu Adiosamigo FaizaFoxy Tuendeleeni kunywa mtori nyama tutazikuta chini.
#MillardAyoUPDATES
 
View attachment 3149026

Rais wa Urusi, Vladmir Putin ameahidi kuzisaidia Nchi Washirika wake Barani Afrika katika Sekta mbalimbali za kuleta maendeleo na amesema ataisaidia pia Afrika kupambana na ugaidi.

Rais Putin ameahidi kutoa msaada kamili kwa Bara la Afrika ahadi ambayo ameitoa leo Jumapili katika mkutano kati ya Maafisa wa Bara la Afrika na Urusi huko Sochi, Kusini Magharibi mwa Nchi hiyo.

Mtandao wa DW Kiswahili umeripoti kuwa katika hotuba ya Putin iliyotolewa na Waziri wake wa Mambo ya Nje Sergei Lavrov mbele ya Mawaziri ya Mambo ya Nje wa Mataifa mengine pamoja na Maafisa wengine wa ngazi za juu, Kiongozi huyo amesema Nchi yake itaendelea kuzisaidia kikamilifu Nchi Washirika wake Afrika katika Sekta mbalimbali.

Amesema Urusi inaweza kuyasaidia Mataifa hayo ya Afrika katika maendeleo endelevu, kupambana na ugaidi na itikadi kali pamoja na kupambana na majanga, matatizo ya chakula na athari zizanosababishwa na majanga ya kiasili.

Mkutano huu pia ni fursa nyingine kwa Urusi kutangaza malengo yake ya kutaka kuona ulimwengu usioendeshwa na Taifa au upande mmoja tu wa Dinia, ikiwa ni baada ya Taifa hilo kuaandaa mkutano wa kilele wa mataifa yanayokuwa kiuchumi ya BRICS, Urusi inataka kuuonesha Ulimwengu wa Nchi za Magharibi kwamba vikwazo vyake vilivyolenga kuifanya itengwe kutokana na kuivamia Ukraine vimeshindwa kufanya kazi.

SASA MAGAIDI NA IMANI YAO YAKAE CHONJO. PUTIN HANA MASIKHARA LINAPOKUJA SUALA LA MAGAIDI.


Ritz Webabu Adiosamigo FaizaFoxy Tuendeleeni kunywa mtori nyama tutazikuta chini.
#MillardAyoUPDATES
Yeye binafsi pia ni gaidi
 
View attachment 3149026

Rais wa Urusi, Vladmir Putin ameahidi kuzisaidia Nchi Washirika wake Barani Afrika katika Sekta mbalimbali za kuleta maendeleo na amesema ataisaidia pia Afrika kupambana na ugaidi.

Rais Putin ameahidi kutoa msaada kamili kwa Bara la Afrika ahadi ambayo ameitoa leo Jumapili katika mkutano kati ya Maafisa wa Bara la Afrika na Urusi huko Sochi, Kusini Magharibi mwa Nchi hiyo.

Mtandao wa DW Kiswahili umeripoti kuwa katika hotuba ya Putin iliyotolewa na Waziri wake wa Mambo ya Nje Sergei Lavrov mbele ya Mawaziri ya Mambo ya Nje wa Mataifa mengine pamoja na Maafisa wengine wa ngazi za juu, Kiongozi huyo amesema Nchi yake itaendelea kuzisaidia kikamilifu Nchi Washirika wake Afrika katika Sekta mbalimbali.

Amesema Urusi inaweza kuyasaidia Mataifa hayo ya Afrika katika maendeleo endelevu, kupambana na ugaidi na itikadi kali pamoja na kupambana na majanga, matatizo ya chakula na athari zizanosababishwa na majanga ya kiasili.

Mkutano huu pia ni fursa nyingine kwa Urusi kutangaza malengo yake ya kutaka kuona ulimwengu usioendeshwa na Taifa au upande mmoja tu wa Dinia, ikiwa ni baada ya Taifa hilo kuaandaa mkutano wa kilele wa mataifa yanayokuwa kiuchumi ya BRICS, Urusi inataka kuuonesha Ulimwengu wa Nchi za Magharibi kwamba vikwazo vyake vilivyolenga kuifanya itengwe kutokana na kuivamia Ukraine vimeshindwa kufanya kazi.

SASA MAGAIDI NA IMANI YAO YAKAE CHONJO. PUTIN HANA MASIKHARA LINAPOKUJA SUALA LA MAGAIDI.


Ritz Webabu Adiosamigo FaizaFoxy Tuendeleeni kunywa mtori nyama tutazikuta chini.
#MillardAyoUPDATES
Ukraine anamtoa kamasi atulie kwanza, mwenyewe ana shida kibao
 
View attachment 3149026

Rais wa Urusi, Vladmir Putin ameahidi kuzisaidia Nchi Washirika wake Barani Afrika katika Sekta mbalimbali za kuleta maendeleo na amesema ataisaidia pia Afrika kupambana na ugaidi.

Rais Putin ameahidi kutoa msaada kamili kwa Bara la Afrika ahadi ambayo ameitoa leo Jumapili katika mkutano kati ya Maafisa wa Bara la Afrika na Urusi huko Sochi, Kusini Magharibi mwa Nchi hiyo.

Mtandao wa DW Kiswahili umeripoti kuwa katika hotuba ya Putin iliyotolewa na Waziri wake wa Mambo ya Nje Sergei Lavrov mbele ya Mawaziri ya Mambo ya Nje wa Mataifa mengine pamoja na Maafisa wengine wa ngazi za juu, Kiongozi huyo amesema Nchi yake itaendelea kuzisaidia kikamilifu Nchi Washirika wake Afrika katika Sekta mbalimbali.

Amesema Urusi inaweza kuyasaidia Mataifa hayo ya Afrika katika maendeleo endelevu, kupambana na ugaidi na itikadi kali pamoja na kupambana na majanga, matatizo ya chakula na athari zizanosababishwa na majanga ya kiasili.

Mkutano huu pia ni fursa nyingine kwa Urusi kutangaza malengo yake ya kutaka kuona ulimwengu usioendeshwa na Taifa au upande mmoja tu wa Dinia, ikiwa ni baada ya Taifa hilo kuaandaa mkutano wa kilele wa mataifa yanayokuwa kiuchumi ya BRICS, Urusi inataka kuuonesha Ulimwengu wa Nchi za Magharibi kwamba vikwazo vyake vilivyolenga kuifanya itengwe kutokana na kuivamia Ukraine vimeshindwa kufanya kazi.

SASA MAGAIDI NA IMANI YAO YAKAE CHONJO. PUTIN HANA MASIKHARA LINAPOKUJA SUALA LA MAGAIDI.


Ritz Webabu Adiosamigo FaizaFoxy Tuendeleeni kunywa mtori nyama tutazikuta chini.
#MillardAyoUPDATES
Jambo la maana sana. Anajuwa vyanzo vya magaidi.
 
Ewe Mwanamgambo Mwenye Ndoto Ya Kuwashambulia Russia...

 
Ugaidi ni nini hebu tufahamisheni? Sababu wanao fanya genocide mnasema wameokokaa na ni vipenzi vya Mungu haha, huyo Mungu gani anaye penda kuona genocide unless muwe mnaabudu shetani hapo 😄

Huyu Putin simlikuwa mna mlani, wakristo hamfahamik mpo wapi. Kama vile misalaba yenu, ipo njia panda
 
View attachment 3149026

Rais wa Urusi, Vladmir Putin ameahidi kuzisaidia Nchi Washirika wake Barani Afrika katika Sekta mbalimbali za kuleta maendeleo na amesema ataisaidia pia Afrika kupambana na ugaidi.

Rais Putin ameahidi kutoa msaada kamili kwa Bara la Afrika ahadi ambayo ameitoa leo Jumapili katika mkutano kati ya Maafisa wa Bara la Afrika na Urusi huko Sochi, Kusini Magharibi mwa Nchi hiyo.

Mtandao wa DW Kiswahili umeripoti kuwa katika hotuba ya Putin iliyotolewa na Waziri wake wa Mambo ya Nje Sergei Lavrov mbele ya Mawaziri ya Mambo ya Nje wa Mataifa mengine pamoja na Maafisa wengine wa ngazi za juu, Kiongozi huyo amesema Nchi yake itaendelea kuzisaidia kikamilifu Nchi Washirika wake Afrika katika Sekta mbalimbali.

Amesema Urusi inaweza kuyasaidia Mataifa hayo ya Afrika katika maendeleo endelevu, kupambana na ugaidi na itikadi kali pamoja na kupambana na majanga, matatizo ya chakula na athari zizanosababishwa na majanga ya kiasili.

Mkutano huu pia ni fursa nyingine kwa Urusi kutangaza malengo yake ya kutaka kuona ulimwengu usioendeshwa na Taifa au upande mmoja tu wa Dinia, ikiwa ni baada ya Taifa hilo kuaandaa mkutano wa kilele wa mataifa yanayokuwa kiuchumi ya BRICS, Urusi inataka kuuonesha Ulimwengu wa Nchi za Magharibi kwamba vikwazo vyake vilivyolenga kuifanya itengwe kutokana na kuivamia Ukraine vimeshindwa kufanya kazi.

SASA MAGAIDI NA IMANI YAO YAKAE CHONJO. PUTIN HANA MASIKHARA LINAPOKUJA SUALA LA MAGAIDI.


Ritz Webabu Adiosamigo FaizaFoxy Tuendeleeni kunywa mtori nyama tutazikuta chini.
#MillardAyoUPDATES
Aanzie Tanzania hasa ajikite humu jf yamo ya kutosha.
 
I can bet; all French speaking countries ndio walengwa hapa. Putin anataka kuishikisha adabu France, alianza na Bukina, Mali na Niger; more to come. Nitafurahi sana akimshikisha adabu PK ili asiendelee kuisumbua Zaire
PK anajua kula na vipofu,,,,,alishaanza oparesheni dhidi ya magaidi wa msumbiji, ikitick jeshi lake linaweza kutumika sehemu nyingine maana pia uzoefu utakuwepo
 
Ugaidi ni nini hebu tufahamisheni? Sababu wanao fanya genocide mnasema wameokokaa na ni vipenzi vya Mungu haha, huyo Mungu gani anaye penda kuona genocide unless muwe mnaabudu shetani hapo 😄

Huyu Putin simlikuwa mna mlani, wakristo hamfahamik mpo wapi. Kama vile misalaba yenu, ipo njia panda
Ugaidi unafahamika mbona. Wewe hufahamu ugaidi basi utakuwa hujielewi kabisa. Linapokuja suala la kupinga ugaidi kwa kweli hapo atapata support tu toka kwa watu wote. Magaidi ni watu wenye imani ya kuua wenzao ili wakapate mademu 72 huko kuzimu kwao
 
PK anajua kula na vipofu,,,,,alishaanza oparesheni dhidi ya magaidi wa msumbiji, ikitick jeshi lake linaweza kutumika sehemu nyingine maana pia uzoefu utakuwepo
Ile ya Msumbiji alicheza smart but baadae aliboronga baada ya kumuua one of his enemy aliyekua akiishi Msumbiji then dunia ikatambua why PK alipeleka majeshi yake kule; cause baada ya yule mpinzani wake kisiasa kuuawa na majeshi yake is like nayo yaliondoka MSUMBIJI ASAP
 
View attachment 3149026

Rais wa Urusi, Vladmir Putin ameahidi kuzisaidia Nchi Washirika wake Barani Afrika katika Sekta mbalimbali za kuleta maendeleo na amesema ataisaidia pia Afrika kupambana na ugaidi.

Rais Putin ameahidi kutoa msaada kamili kwa Bara la Afrika ahadi ambayo ameitoa leo Jumapili katika mkutano kati ya Maafisa wa Bara la Afrika na Urusi huko Sochi, Kusini Magharibi mwa Nchi hiyo.

Mtandao wa DW Kiswahili umeripoti kuwa katika hotuba ya Putin iliyotolewa na Waziri wake wa Mambo ya Nje Sergei Lavrov mbele ya Mawaziri ya Mambo ya Nje wa Mataifa mengine pamoja na Maafisa wengine wa ngazi za juu, Kiongozi huyo amesema Nchi yake itaendelea kuzisaidia kikamilifu Nchi Washirika wake Afrika katika Sekta mbalimbali.

Amesema Urusi inaweza kuyasaidia Mataifa hayo ya Afrika katika maendeleo endelevu, kupambana na ugaidi na itikadi kali pamoja na kupambana na majanga, matatizo ya chakula na athari zizanosababishwa na majanga ya kiasili.

Mkutano huu pia ni fursa nyingine kwa Urusi kutangaza malengo yake ya kutaka kuona ulimwengu usioendeshwa na Taifa au upande mmoja tu wa Dinia, ikiwa ni baada ya Taifa hilo kuaandaa mkutano wa kilele wa mataifa yanayokuwa kiuchumi ya BRICS, Urusi inataka kuuonesha Ulimwengu wa Nchi za Magharibi kwamba vikwazo vyake vilivyolenga kuifanya itengwe kutokana na kuivamia Ukraine vimeshindwa kufanya kazi.

SASA MAGAIDI NA IMANI YAO YAKAE CHONJO. PUTIN HANA MASIKHARA LINAPOKUJA SUALA LA MAGAIDI.


Ritz Webabu Adiosamigo FaizaFoxy Tuendeleeni kunywa mtori nyama tutazikuta chini.
#MillardAyoUPDATES
UZURI WA PUTINI NI HUO NA PIA PUTINI INAIHESHIMU ISRAEL HATARI hata siku USA ikisheki PUTIN itaibeba
 
Back
Top Bottom