Putin ajisahau na amuwakia waziri hadharani, jamaa ana msongo sana

Putin ajisahau na amuwakia waziri hadharani, jamaa ana msongo sana

Bila vikwazo vya kiuchumi na kushirikiana na shoga zake kumchangia Iraq ambaye alikuwa amefungwa mikono(amewekewa vikwazo vya uchumi kwa muda mrefu). Kama huo ndo U- supapawa, basi hata Mozambique ni supapawa, kwani kawashinda ISIS kule Capo Delgado kwa usaidizi wa Rwanda, na SADC

Alitembezwa kichapo cha mbwa koko, hiyo ndio maana ya supapawa, unapiga mwarabu na kumuwahisha akapewe mabikira.
 
Mnadundwa na kikundi cha wajasiliamali wakiongozwa na motivesheno spika
 
Russia hawezi kushinda hii vita, watapigana hadi nchi itafirisika kabisa na mwisho Putin mwenyewe atalipa gharama yote.
Hadi hapa ni ushindi kwake kuiteka 20 ya nchi yaa adui,🤔pamoja na kujidai kusaidiwa na mabeberu maadui wa father land country😂
 
Utakua muislam wewe maana una ujinga mwingi.
Dah...dah....kwangu Mimi mtu anayeingiza udini kwenye mijadala isiyohusiana na dini huwa namuona siyo tu kwamba ni mjinga kupindukua Bali pia mpumbavu wa kiwango Cha hali ya juu na pia mshenzi kwa maana ya uncivilized...in fact mtu wa Aina hiyo is just like a dog who should be treated like that...why? Kwa kuwa mijadala inayohusisha udini inaweza kuleta mtafaruku mkubwa ndani ya jamii...dini ni imani ...kwa hiyo kuniita Mimi ni muislamu kwa kuwa eti Nina ujinga mwingi ni tusi siyo kwangu tu Bali kwa waislamu wote duniani...Ndiyo maana nasema mwenye hoja Kama hii ni sawa na mnyama or a dog asiye na fikra kuhusu madhara yanayoweza kutokea ndani ya jamii kwa fikra na comments Kama hizo...
 
Dah...dah....kwangu Mimi mtu anayeingiza udini kwenye mijadala isiyohusiana na dini huwa namuona siyo tu kwamba ni mjinga kupindukua Bali pia mpumbavu wa kiwango Cha hali ya juu na pia mshenzi kwa maana ya uncivilized...in fact mtu wa Aina hiyo is just like a dog who should be treated like that...why? Kwa kuwa mijadala inayohusisha udini inaweza kuleta mtafaruku mkubwa ndani ya jamii...dini ni imani ...kwa hiyo kuniita Mimi ni muislamu kwa kuwa eti Nina ujinga mwingi ni tusi siyo kwangu tu Bali kwa waislamu wote duniani...Ndiyo maana nasema mwenye hoja Kama hii ni sawa na mnyama or a dog asiye na fikra kuhusu madhara yanayoweza kutokea ndani ya jamii kwa fikra na comments Kama hizo...
Wewe ni muislam... period!
 
Tulimwogopa sana tukidhani ni supapawa, kainchi jirani kamemlemaza ameshindwa kukaparamia, uliona alichokifanya Marekani kule Iraq kwa waarabu, kawapiga kama mbwa na kumuua hadi rais Saddam, huo ndio usupapawa.
Kaka kule urusi hapigani na Ukraine anapigana vita ya tatu ya dunia yaan Nato na washirika wake just imagine mpka sasa marekani kashatumia zaid ya budget ya urusi ya kijeshi ambayo inakadiliwa zaid ya usd 230m lakini mpaka sasa wanakula kichapo tu na sasa wanapanga kutumia biological weapons ambapo mrusi hapo ndo mnyama daaaa hii inaitwa enjoy soccer hahaaa
 
Kaka kule urusi hapigani na Ukraine anapigana vita ya tatu ya dunia yaan Nato na washirika wake just imagine mpka sasa marekani kashatumia zaid ya budget ya urusi ya kijeshi ambayo inakadiliwa zaid ya usd 230m lakini mpaka sasa wanakula kichapo tu na sasa wanapanga kutumia biological weapons ambapo mrusi hapo ndo mnyama daaaa hii inaitwa enjoy soccer hahaaa

Hehehe yaani amechakazwa na kainchi ka Ukraine mpaka anaona kama anayepigana na dunia kwenye vita vya tatu vya dunia, ukizingatia kuna zana ambazo Ukraine hajapewa, amejaribishwa kwa HIMARS chache tu na zimeharibu hali ya hewa, aisei na sasa siku NATO wakiamua kufanya kweli watie guu pale ndio atahisi kama anapigana na aliens wa kutokea sayari nyingine.
 
Hadi hapa ni ushindi kwake kuiteka 20 ya nchi yaa adui,🤔pamoja na kujidai kusaidiwa na mabeberu maadui wa father land country😂
Hakuna asilimia 20 ya nchi aliyoteka labda 10% na nyingi ni vijiji tu kwa mwaka mzima sasa, siku zao zile 3 kwa kalenda ya Russia bado tu hazijaisha..!!!
 
Hehehe yaani amechakazwa na kainchi ka Ukraine mpaka anaona kama anayepigana na dunia kwenye vita vya tatu vya dunia, ukizingatia kuna zana ambazo Ukraine hajapewa, amejaribishwa kwa HIMARS chache tu na zimeharibu hali ya hewa, aisei na sasa siku NATO wakiamua kufanya kweli watie guu pale ndio atahisi kama anapigana na aliens wa kutokea sayari nyingine.
Teh chai ongeza sukari..........na bado kazi ndo kwanza inaanza
 
Hakuna asilimia 20 ya nchi aliyoteka labda 10% na nyingi ni vijiji tu kwa mwaka mzima sasa, siku zao zile 3 kwa kalenda ya Russia bado tu hazijaisha..!!!
Vijiji 10 na huku pembeni mtikikisiko wake unaonekana ,,akibeba 20 si huku pembeni itakua balaa zaidi
 
Putin hataki uzembe, anaonyesha ni jinsi gani kiongozi shupavu na mzalendo anapaswa kuwa.
Yeye mwenyewe mzembe sana nashangaa hawaja mla kichwa!
Amepima maji kwa macho sasa [emoji56][emoji12]
 
Alitembezwa kichapo cha mbwa koko, hiyo ndio maana ya supapawa, unapiga mwarabu na kumuwahisha akapewe mabikira.
Nikutoe nje ya mada kidogo mkuu MK254, naomba unijuze hivi wale mabikira 72 wa ahadi; ni binadamu, malaika au majini? Na je, wakisha hudumu wanaendelea kuwa bikira au la?[emoji848][emoji848]
 
Nikutoe nje ya mada kidogo mkuu MK254, naomba unijuze hivi wale mabikira 72 wa ahadi; ni binadamu, malaika au majini? Na je, wakisha hudumu wanaendelea kuwa bikira au la?[emoji848][emoji848]

Kuna huyu hapa ameileza na kunukuu wapi imeandikwa, kwamba hiyo bikira haitaisha na wanawake wenyewe watakua waarabu, ukifumua ubikira unarudi wenyewe....watu wamekaa kingono ngono, halafu huwa hawafahamu ngono ipo tu kwa ajili ya reproduction/kuzaliana, sisi binadamu tu kati ya wanyama wote ndio tumeifanya burudani.

 
Kuna huyu hapa ameileza na kunukuu wapi imeandikwa, kwamba hiyo bikira haitaisha na wanawake wenyewe watakua waarabu, ukifumua ubikira unarudi wenyewe....watu wamekaa kingono ngono, halafu huwa hawafahamu ngono ipo tu kwa ajili ya reproduction/kuzaliana, sisi binadamu tu kati ya wanyama wote ndio tumeifanya burudani.

Duh! Hilo ndo linawa- reinforce wale jirani zako wa kaskazini kuja hapo Westgate na Garissa kukinukisha. Si ajabu kwanini unawachukua sana.

Lakini hapa tunaongea geopolitics na kila mtu ana upande anao support, kwanini wewe mtu akiwa upande tofauti nawe, unamshambulia kwa kumhusisha na mambo ya dini? Na zaidi unakashifu imani na dini za wengine, je unadhani waislamu wote wana misimamo na wanaamini katika hayo?
 
Kaka kule urusi hapigani na Ukraine anapigana vita ya tatu ya dunia yaan Nato na washirika wake just imagine mpka sasa marekani kashatumia zaid ya budget ya urusi ya kijeshi ambayo inakadiliwa zaid ya usd 230m lakini mpaka sasa wanakula kichapo tu na sasa wanapanga kutumia biological weapons ambapo mrusi hapo ndo mnyama daaaa hii inaitwa enjoy soccer hahaaa
USD 230M

Umekunywa pombe au?

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Duh! Hilo ndo linawa- reinforce wale jirani zako wa kaskazini kuja hapo Westgate na Garissa kukinukisha. Si ajabu kwanini unawachukua sana.

Lakini hapa tunaongea geopolitics na kila mtu ana upande anao support, kwanini wewe mtu akiwa upande tofauti nawe, unamshambulia kwa kumhusisha na mambo ya dini? Na zaidi unakashifu imani na dini za wengine, je unadhani waislamu wote wana misimamo na wanaamini katika hayo?

Mwanzoni nilikua sijajua watu wapo kidini kwenye huu ugomvi, ila nikashangaa sijakutana na hata mmoja hivi wa imani hiyo asiyekua upande wa Urusi kwenye huu ugomvi, iwe maofisini, mitaani au hata kwenye mitandao, wote wamekaririshwa kuchukia Marekani na chochote kinachoshirikishwa na Marekani, wanamuunga mikono Putin hata afanye unyama au ukatili wa aina gani almradi anaua watu wa Ukraine wanaofungamanishwa na Marekani, kwao hiyo ni kama ibada hivi.

Wanatokwa povu balaa na kutukana kwanza kadiri Urusi inavyozidi kuchakazwa inawauma utadhani taifa la Waarabu ndio linapigwa.

Wapo wachache wanaojiita Wakristo ambao wako upande wa Putin, sema wanaiga Ukristo maana ukiwauliza nini sababu zao za kumuunga mikono Putin kwenye maukatili yake ya kuua na kuiba ardhi ya Ukraine, wanasema kisa anaua mashoga Ukraine.
 
Back
Top Bottom