Putin akimcheka na kumrekebisha Waziri wake kuhusu mauzo ya kitimoto Indonesia

Putin akimcheka na kumrekebisha Waziri wake kuhusu mauzo ya kitimoto Indonesia

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hii ilitokea wakiwa wanajadili masuala kadhaa ya biashara Waziri wa Russia wa Kilimo akatolea mfano jinsi Ujerumani inafaidika kwa mauzo ya kitimoto/nguruwe kwa mamilioni ya tani kwenye nchi nyingi ikiwemo Indonesia taifa lenye Waislamu wengi zaidi duniani, ndipo Putin akamuambia Indonesia hawali kitimoto.

 
Hii ilitokea wakiwa wanajadili masuala kadhaa ya biashara Waziri wa Russia wa Kilimo akatolea mfano jinsi Ujerumani inafaidika kwa mauzo ya kitimoto/nguruwe kwa mamilioni ya tani kwenye nchi nyingi ikiwemo Indonesia taifa lenye Waislamu wengi zaidi duniani, ndipo Putin akamuambia Indonesia hawali kitimoto.View attachment 3239683
Kitimoto kina liwa sana mjini n vijijin...
 
Hii ilitokea wakiwa wanajadili masuala kadhaa ya biashara Waziri wa Russia wa Kilimo akatolea mfano jinsi Ujerumani inafaidika kwa mauzo ya kitimoto/nguruwe kwa mamilioni ya tani kwenye nchi nyingi ikiwemo Indonesia taifa lenye Waislamu wengi zaidi duniani, ndipo Putin akamuambia Indonesia hawali kitimoto.View attachment 3239683
Ingekuwa Kwa kiduku angekula chuma
 
Hiyo yaonyesha jinsi kiongozi wa nchi anavyofahamu dunia imekaaje.

Pia yaonyesha Putin ni kiongozi poa sana mwenye "sense of humor" na amemkosoa kirafiki waziri wake.

Si kukaripiana kwenye kila kosa hata lile dogo tu mbele ya watu.

Hata kumkosoa mtu kiukali wamwita chemba mwamalizana humo, mkitoka tabasamu larejea.

Thats how leadership works.
 
Hii ilitokea wakiwa wanajadili masuala kadhaa ya biashara Waziri wa Russia wa Kilimo akatolea mfano jinsi Ujerumani inafaidika kwa mauzo ya kitimoto/nguruwe kwa mamilioni ya tani kwenye nchi nyingi ikiwemo Indonesia taifa lenye Waislamu wengi zaidi duniani, ndipo Putin akamuambia Indonesia hawali kitimoto.

View attachment 3239683
Sema kicheko cha Putin kama cha dhihaka vile....anajua Waziri wake Yuko Sahihi kabisa but sasa mazingira sasa, diplomacy.
 
Wanamgonga Sana ila wamempa jina sijui ndio mutton curry sauce recipe etc
Hapana mkuu, chakula chao ni kama cha kwetu bongo ni wali wa nazi na mboga ni samaki, nyama na kuku na hupika kwa kukaanga, au kwa kuunga na vikorombwezo vingine.

Wali niloupenda ni ule itwao Tumpeng Robyong ambao hutayarishwa na binti aliekupenda kisawasawa (maana hawa jamaa hawawapendi kabisa watu weusi) huwekwa kwenye bakuli (wenyewe huita bakul) ya mti wa mkoko.

Juu ya huo wali wa nazi huwekwa mayai yalochemshwa na mchuzi wenye pilipili kali kwelikweli.

Ukila huo wali binti huyo hukusaidia kuula na ukimaliza mwaosha vyombo, baada ya hapo baasi mwampumzika.
 
Umeliwakilisha Taifa vyema LAKINI Kwa upande huo.? Hongera Sana
Nilikutana na huyu binti chuoni tena yeye alikuwa alipiwa gharama zote na serikali ya Indonesia.

Tulikuwa kwenye kozi moja ya uzamili na kiingereza chake kilihitaji msaada ndio ikawa bahati ya kumfahamu uzuri binti huyu.

Baada ya kuhitimu alirudi kwao Kuala lumpur lakini akanialika huko.

Nilipokuwa huko nilikuwa nakumbuka wimbo wa Mbaraka Mwinshehe wa "ziara ya Japan ilifana sana EXPO 70"
 
Back
Top Bottom