Kitimoto kina liwa sana mjini n vijijin...Hii ilitokea wakiwa wanajadili masuala kadhaa ya biashara Waziri wa Russia wa Kilimo akatolea mfano jinsi Ujerumani inafaidika kwa mauzo ya kitimoto/nguruwe kwa mamilioni ya tani kwenye nchi nyingi ikiwemo Indonesia taifa lenye Waislamu wengi zaidi duniani, ndipo Putin akamuambia Indonesia hawali kitimoto.View attachment 3239683
Ingekuwa Kwa kiduku angekula chumaHii ilitokea wakiwa wanajadili masuala kadhaa ya biashara Waziri wa Russia wa Kilimo akatolea mfano jinsi Ujerumani inafaidika kwa mauzo ya kitimoto/nguruwe kwa mamilioni ya tani kwenye nchi nyingi ikiwemo Indonesia taifa lenye Waislamu wengi zaidi duniani, ndipo Putin akamuambia Indonesia hawali kitimoto.View attachment 3239683
Sema kicheko cha Putin kama cha dhihaka vile....anajua Waziri wake Yuko Sahihi kabisa but sasa mazingira sasa, diplomacy.Hii ilitokea wakiwa wanajadili masuala kadhaa ya biashara Waziri wa Russia wa Kilimo akatolea mfano jinsi Ujerumani inafaidika kwa mauzo ya kitimoto/nguruwe kwa mamilioni ya tani kwenye nchi nyingi ikiwemo Indonesia taifa lenye Waislamu wengi zaidi duniani, ndipo Putin akamuambia Indonesia hawali kitimoto.
View attachment 3239683
Wanamgonga Sana ila wamempa jina sijui ndio mutton curry sauce recipe etcIndonesia iliingiaje kwenye huu uzombi wa muarabu.
Sahihi kabisaJasusi putin limecheka kwa kujificha uso asionekane.....nimependa!!! sio mwanaume unacheka kwa kunakenua magego na yote ya njano nje
Waziri yupo sahihi ila PUTIN katumia busara ni kama Zanzibar na nguruwe.
Hapana mkuu, chakula chao ni kama cha kwetu bongo ni wali wa nazi na mboga ni samaki, nyama na kuku na hupika kwa kukaanga, au kwa kuunga na vikorombwezo vingine.Wanamgonga Sana ila wamempa jina sijui ndio mutton curry sauce recipe etc
Umeliwakilisha Taifa vyema LAKINI Kwa upande huo.? Hongera SanaUkila huo wali binti huyo hukusaidia kuula na ukimaliza mwaosha vyombo, baada ya hapo baasi mwampumzika.
Nilikutana na huyu binti chuoni tena yeye alikuwa alipiwa gharama zote na serikali ya Indonesia.Umeliwakilisha Taifa vyema LAKINI Kwa upande huo.? Hongera Sana
Hahahahahahaa Hapo Sawa nimekuelewa vizuri sanaNilipokuwa huko nilikuwa nakumbuka wimbo wa Mbaraka Mwinshehe wa "ziara ya Japan ilifana sana EXPO 70"