Putin anahutubia Taifa muda huu kuhusu uasi ndani ya jeshi na kundi la Wagner

Putin anahutubia Taifa muda huu kuhusu uasi ndani ya jeshi na kundi la Wagner

Sijui mpango wa prizoo ila nachijua CIA tokea zamani wanawaza jinsi ya kuivunja russia vipande vipande, alafu kwenye hivyo vipande waweke viongoz ambao ni mamluki wao. Sema Ukraine lilikuwa pandee kubwa sana lililokuwa wameshafanikiwa kuweka zele wao kitu kilichomuuma sana Putini.
Unachanganya historia na uhalisia , Urusi amekuwa anakaribishwa kwenye kila shughuli za mataifa ya magharib kumfanya awe rafiki ila Putin ni yule mtoto kiburi yaana hatak kukaa kwenye nafasi yake anataka aonekane yupo juu sawa na kaka mkubwa , na matatizo yameanzia hapa
 
Wekeni akiba ya maneno, hao Jamaa watazimwa hamtana amini. Muda utaongea
Ndio maaa wazungu wanatutawala huwa hatuwaz nje ya box , malengo ya hao jamaa ni kuonesha kuwa uasi uanezekana so hata wakishindwa wanafungua njia kwa wengine , walianza wale jamaa wakashindwa then wagner hatui baadae utasikia chen chen and so on , Urusi inadhoofika
 
Labda hiyo ndio iwe nafasi ya majeshi ya Ukraine kuingia Urusi kupitia Rostov.


Ila atasambaratishwa

Kwan Chechnya ilikuaje ??.
Unapoandika jifunz kulinganisha , chenyia sio sawa na Ukraine ya sasa , ukraine ya sasa kiubora ni zaid ya majeshi makubwa ya ulaya , Ukraine ina kila silaha za kila nchi ya ulaya
 
Tumeona propaganda za Magharibi zinavyojitahidi lakini tunawaambia Urusi hamuiwezi. Hamuiwezi kabisa. Tena mkae kwa kutulia. Mtachapwa sana. Ndo mjue hilo ni Taifa kubwa na China.

Mataifa ya Magharibi nayachukia sana. Tena sana. Hayafai kabisa kuwepo Duniani. Yericko Nyerere njoo uendelee mimi nina hasira sana.
Huna akili kichwa chako nimzigo kwashingo
 
Hivi vikundi vya kijeshi binafsi, marekan wanavyo vingi, ila wao wamehakikisha PENTAGON imedhibiti.


Huyu Muasi wa Urusi, hakupaswa kuachwa kujiinua sana.

Sasa Wamekuja kushtuka baadae, ndo wakamtaka awe chini ya Jeshi .


Ila atakipata tu , Sahizi NATO najua wataanza kuingiza silaha Rostov kupitia Ukraine
Ila si Urusi aliyataka mwenyew USA anajitahid kuish vzr na majiran zake ili wasiwe uchochoro wa maadui zake , simple logic ila Putin mara Moldova , mara Ukraine , Mara Korean wars , mara Georgia mara Finland yaan kila kona anachochea mafuta tu
 
Ukraine wa kumchezea michezo mpk ya kuteka kambi yako ? PUTIN hana rafiki ila Putin ana akili sana kucheza na dunia ila kwenye hili sina imani kbs
Hili jamaa pumbavu sana halina maisha marefu Putin atalikata kichwa.
 
Back
Top Bottom