Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Unajua ishu sio hao jamaa kuzimwa, ishu ni haya majaribio kutoka kwa wenzenu yenye hadhi ya kutangaza hali ya hatari mkiwa na mgogoro na nchi nyingine.Wekeni akiba ya maneno, hao Jamaa watazimwa hamtana amini. Muda utaongea
Imagine una ugomvi na jirani halafu mwanao anaazisha ugomvi na wewe mkiwa hamjamalizana na jirani. Si salama kwa familia.