Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia!Putin anyongwe kabisa, pumbavu zake, analeta shobo kwa wanaume??
Ni kweli kaka, hii angle haikutegemewa mzee.Haa haa haa. Lilikuwa suala la muda tu. Cheza na chochote lakini usicheze na Western countries. Mtandao wao ku-inflict maumivu kwa adui unapangwa na kuja katika angle ambayo hukuitegemea kabisa.
Kwa maana hiyo maeneo ambayo wagner wanayashikilia huko Ukraine watayaachia?naaam wagner wame geuza kibao kipigo kimetoka Rostov kina elekea kremlin
Mkuu acha utani, wameteka kambi?Tayari Wagner wameteka kambi kusini mwa urusi na commender kukimbia. Mkuu wa wagner kasema safari ya kumar h hadi moscow imeanza. CIA ni hatariiii.
Kama CIA na M16 huu ndo ulikuwa mpango wao, basi hawa watu ni balaa mzee.... alivyo mjinga hakujua Wagner walikuwa mafunzoni Ukraine. Wamewiva sasa wanaelekea kukamilisha mission iliyopangwa for decades.
Mmarekani wa buza unavyopambana kwenye keyboard pembeni umeweka ghahawa hapana chezeaTayari Wagner wameteka kambi kusini mwa urusi na commender kukimbia. Mkuu wa wagner kasema safari ya kumar h hadi moscow imeanza. CIA ni hatariiii.
Misigano ya hawa watu ilianza muda tu. Ilikuwa inaniwia vigumu kuhisi CIA wameshindwa kumteka kiakili mkuu wa Wagner.Ila huyu jamaa sio wa kumuamini na mwenzake Putin unaweza Kuta Kuna chezo linachezwa hapo dhidi ya Ukraine na ndugu zake.
Labda kambi ya buza huku ila st.petersburg kwema zaidi ya umofiaMkuu acha utani, wameteka kambi?
Endelea kuota mchanaIla huyu jamaa sio wa kumuamini na mwenzake Putin unaweza Kuta Kuna chezo linachezwa hapo dhidi ya Ukraine na ndugu zake.
Ha ha ha ha nimecheka saana, kwahiyo Mwalimu JK aliwakataa kabisa waamerika?Nakazia tena na tena " achaneni kabisa na binadamu Marehemu JkNyerere aliyemuita Mwamerika!!!!" Ni kiumbe hatari mno ila wajinga hawajui
Labda kambi ya buza huku ila st.petersburg kwema zaidi ya umofiaMkuu acha utani, wameteka kambi?
Pole sana mkuu, kunywa maji mengi kwanza!Tumeona propaganda za Magharibi zinavyojitahidi lakini tunawaambia Urusi hamuiwezi. Hamuiwezi kabisa. Tena mkae kwa kutulia. Mtachapwa sana. Ndo mjue hilo ni Taifa kubwa na China.
Mataifa ya Magharibi nayachukia sana. Tena sana. Hayafai kabisa kuwepo Duniani. Yericko Nyerere njoo uendelee mimi nina hasira sana.
Huyo mwamerika aliye shindwa kuuangusha utawala wa Ayatullah miaka zaidi ya 40 ndo aje kuipindua serikali ya Urusi.Nakazia tena na tena " achaneni kabisa na binadamu Marehemu JkNyerere aliyemuita Mwamerika!!!!" Ni kiumbe hatari mno ila wajinga hawajui
Wanasema hilo kundi linamatawi mpaka huko sudani migodini..... alivyo mjinga hakujua Wagner walikuwa mafunzoni Ukraine. Wamewiva sasa wanaelekea kukamilisha mission iliyopangwa for decades.
Acha kuota dogo propaganda huwa hazipikwi kwa stairi hiyo, mara nyingi huwa zinalenga kuboost morale au kuupumbaza umma kuhusu ushindi kwenye uwanja wa vitaIla huyu jamaa sio wa kumuamini na mwenzake Putin unaweza Kuta Kuna chezo linachezwa hapo dhidi ya Ukraine na ndugu zake.