passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Ni mjinga tu anayedhani putin anagusikaPutin anyongwe kabisa, pumbavu zake, analeta shobo kwa wanaume??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mjinga tu anayedhani putin anagusikaPutin anyongwe kabisa, pumbavu zake, analeta shobo kwa wanaume??
Ila Hao Wagner ni washenzi zaidi kuliko Putin,Huyo Prigojine ndo awe Rais,vita ya tatu hii hapa.Na hivi kishakamata Mali,Burkina Faso,Centrafrique, na nchi kibao Africa.Putin anyongwe kabisa, pumbavu zake, analeta shobo kwa wanaume??
Ni mjinga tu anayedhani Russia inaweza kuvunjika kipande kipande.Sijui mpango wa prizoo ila nachijua CIA tokea zamani wanawaza jinsi ya kuivunja russia vipande vipande, alafu kwenye hivyo vipande waweke viongoz ambao ni mamluki wao. Sema Ukraine lilikuwa pandee kubwa sana lililokuwa wameshafanikiwa kuweka zele wao kitu kilichomuuma sana Putini.
Anagusika,ujue Prigojine anamjua Sana Putin kuliko mtu yeyote. Alikuwa mpishi wake.Sema mimi siamini kabisa kama wanaweza gombana .Muda utaongea.Ni mjinga tu anayedhani putin anagusika
Rais wa Russia anahutubia Taifa muda ni kuhusu uasi ndani ya jeshi na kundi la Wagner.
Pia soma: SMO yageukia ndani ya Urusi. Wagner group wazidisha taharuki ya uasi
Sawaa USSR si haikuvunjika ila ilimeguka vipandeNi mjinga tu anayedhani Russia inaweza kuvunjika kipande kipande.
Hawezi kunyongwa kirahisi rahisi.kisayansi huyo hayupo watu bado wako kazini hamna haraka.Putin anyongwe kabisa, pumbavu zake, analeta shobo kwa wanaume??
Unaweza kuta anawaondoa maaskari kijanja janja ili apige nyukliaIla huyu jamaa sio wa kumuamini na mwenzake Putin unaweza Kuta Kuna chezo linachezwa hapo dhidi ya Ukraine na ndugu zake.
Kiboko ya mashoga... mtutafsirie anachosema dikteta mjinga asiye na akili.
Carlos The JackalRais wa Russia anahutubia Taifa muda ni kuhusu uasi ndani ya jeshi na kundi la Wagner.
Pia soma: SMO yageukia ndani ya Urusi. Wagner group wazidisha taharuki ya uasi
Wagner walishajua wana wiki 1 tu kujisalimisha maana kabla ya Tarehe 1 walitakiwa wote wawe chini ya MoDUsaha ushatumbuka, Rostov ishaanguka na hii ni Site ya kijeshi, raia wa mji huu wametangaziwa wakae in doors Wagner anasema hakubali mpaka atinge Moscow
Wagner walishajua wana wiki 1 tu kujisalimisha maana kabla ya Tarehe 1 walitakiwa wote wawe chini ya MoD
Inasemekana pia Wagner wamekuwa wakihusika na kuvujisha kambi za Russia kwa Ukraine
Mkuu Wagner Aljazeera leo asubuhi wanadai wanajeshi wao walipigwa mabomu ni jeshi la Urusi ndio kisa kimeanzia hapo, sasa kiongozi wao Pregozine amesema hakubali atalipiza kisasi ndiyo hayo mashambulizi ya Rostove site ya kijeshi wameiteka na amesema hadi apelekewe viongozi wa kijeshi wa Moscow otherwise ni mashambulizi dhidi yao hadi Moscow, kule kwetu wanasema Mtu apigwa ngombeweWagner walishajua wana wiki 1 tu kujisalimisha maana kabla ya Tarehe 1 walitakiwa wote wawe chini ya MoD
Inasemekana pia Wagner wamekuwa wakihusika na kuvujisha kambi za Russia kwa Ukraine
Eneo la kijeshi Rostove lipo chini ya Wagner nacheki Aljazeera apa live wahuni wa Wagener wanaranda randa huku wakionyesha bendera yao ndao ya urusi., mzaha mzaha sasa usaha ushatumbuka mtu apigwa ngombeweWekeni akiba ya maneno, hao Jamaa watazimwa hamtana amini. Muda utaongea
Mkuu Nyamizi please rudisha picha ya mama Theresa tuliyokuzoea kwenye avatar picha Yako.Tayari Wagner wameteka kambi kusini mwa urusi na commender kukimbia. Mkuu wa wagner kasema safari ya kumar h hadi moscow imeanza. CIA ni hatariiii.
Zile ni nchi zilijitengaSawaa USSR si haikuvunjika ila ilimeguka vipande
Utaona matokeo ya huu mgogoroAnagusika,ujue Prigojine anamjua Sana Putin kuliko mtu yeyote. Alikuwa mpishi wake.Sema mimi siamini kabisa kama wanaweza gombana .Muda utaongea.