Putin anahutubia Taifa muda huu kuhusu uasi ndani ya jeshi na kundi la Wagner

Putin anahutubia Taifa muda huu kuhusu uasi ndani ya jeshi na kundi la Wagner

Sijui mpango wa prizoo ila nachijua CIA tokea zamani wanawaza jinsi ya kuivunja russia vipande vipande, alafu kwenye hivyo vipande waweke viongoz ambao ni mamluki wao. Sema Ukraine lilikuwa pandee kubwa sana lililokuwa wameshafanikiwa kuweka zele wao kitu kilichomuuma sana Putini.
Ni mjinga tu anayedhani Russia inaweza kuvunjika kipande kipande.
 
Usaha ushatumbuka, Rostov ishaanguka na hii ni Site ya kijeshi, raia wa mji huu wametangaziwa wakae in doors Wagner anasema hakubali mpaka atinge Moscow
Wagner walishajua wana wiki 1 tu kujisalimisha maana kabla ya Tarehe 1 walitakiwa wote wawe chini ya MoD

Inasemekana pia Wagner wamekuwa wakihusika na kuvujisha kambi za Russia kwa Ukraine
 
Wagner walishajua wana wiki 1 tu kujisalimisha maana kabla ya Tarehe 1 walitakiwa wote wawe chini ya MoD

Inasemekana pia Wagner wamekuwa wakihusika na kuvujisha kambi za Russia kwa Ukraine
Mkuu Wagner Aljazeera leo asubuhi wanadai wanajeshi wao walipigwa mabomu ni jeshi la Urusi ndio kisa kimeanzia hapo, sasa kiongozi wao Pregozine amesema hakubali atalipiza kisasi ndiyo hayo mashambulizi ya Rostove site ya kijeshi wameiteka na amesema hadi apelekewe viongozi wa kijeshi wa Moscow otherwise ni mashambulizi dhidi yao hadi Moscow, kule kwetu wanasema Mtu apigwa ngombewe
 
Back
Top Bottom