HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Putin keshachagua kumtoa kafara Prigozhin pale alipotangaza kuwa wanajeshi wote wakujitolea na kulipwa lazima wasajiliwe kuwa wanajeshi kamili wa MoDHatari,hapa mkuu wa majeshi yupo against Prigo .Mkuu wa ulinzi na Prigo wote ni marafiki wa Putin.Sasa hapa Putin atasimama na nani?