Unachanganya historia na uhalisia , Urusi amekuwa anakaribishwa kwenye kila shughuli za mataifa ya magharib kumfanya awe rafiki ila Putin ni yule mtoto kiburi yaana hatak kukaa kwenye nafasi yake anataka aonekane yupo juu sawa na kaka mkubwa , na matatizo yameanzia hapaSijui mpango wa prizoo ila nachijua CIA tokea zamani wanawaza jinsi ya kuivunja russia vipande vipande, alafu kwenye hivyo vipande waweke viongoz ambao ni mamluki wao. Sema Ukraine lilikuwa pandee kubwa sana lililokuwa wameshafanikiwa kuweka zele wao kitu kilichomuuma sana Putini.
Kulikuwa na nn China kinachafanana na hiki kinachoendelea Urusi ?Hivi ile habari ya Xi Jiping kupinduliwa iliishia wapi?
Ndio maaa wazungu wanatutawala huwa hatuwaz nje ya box , malengo ya hao jamaa ni kuonesha kuwa uasi uanezekana so hata wakishindwa wanafungua njia kwa wengine , walianza wale jamaa wakashindwa then wagner hatui baadae utasikia chen chen and so on , Urusi inadhoofikaWekeni akiba ya maneno, hao Jamaa watazimwa hamtana amini. Muda utaongea
[emoji23] kusubscribe tenaWagner ni PMC, they are loyal kwa yoyote anae walipa kunsubscribe services zao
Ndo mnasemaga Urusi si Burundi hiyo nin sasa ? Hata Burundi hawapotezag mkoa kizembe hivyoUtaona matokeo ya huu mgogoro
Jimbo la Rostov limetekwa kwa kutumia maputo?Hao ni kitu kimoja hawawezi kurushiana risasi..mark my words
Unapoandika jifunz kulinganisha , chenyia sio sawa na Ukraine ya sasa , ukraine ya sasa kiubora ni zaid ya majeshi makubwa ya ulaya , Ukraine ina kila silaha za kila nchi ya ulayaLabda hiyo ndio iwe nafasi ya majeshi ya Ukraine kuingia Urusi kupitia Rostov.
Ila atasambaratishwa
Kwan Chechnya ilikuaje ??.
Huna akili kichwa chako nimzigo kwashingoTumeona propaganda za Magharibi zinavyojitahidi lakini tunawaambia Urusi hamuiwezi. Hamuiwezi kabisa. Tena mkae kwa kutulia. Mtachapwa sana. Ndo mjue hilo ni Taifa kubwa na China.
Mataifa ya Magharibi nayachukia sana. Tena sana. Hayafai kabisa kuwepo Duniani. Yericko Nyerere njoo uendelee mimi nina hasira sana.
Ila si Urusi aliyataka mwenyew USA anajitahid kuish vzr na majiran zake ili wasiwe uchochoro wa maadui zake , simple logic ila Putin mara Moldova , mara Ukraine , Mara Korean wars , mara Georgia mara Finland yaan kila kona anachochea mafuta tuHivi vikundi vya kijeshi binafsi, marekan wanavyo vingi, ila wao wamehakikisha PENTAGON imedhibiti.
Huyu Muasi wa Urusi, hakupaswa kuachwa kujiinua sana.
Sasa Wamekuja kushtuka baadae, ndo wakamtaka awe chini ya Jeshi .
Ila atakipata tu , Sahizi NATO najua wataanza kuingiza silaha Rostov kupitia Ukraine
[emoji23] kusubscribe tena
Hili jamaa pumbavu sana halina maisha marefu Putin atalikata kichwa.Ukraine wa kumchezea michezo mpk ya kuteka kambi yako ? PUTIN hana rafiki ila Putin ana akili sana kucheza na dunia ila kwenye hili sina imani kbs