[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajichosha tu mzee... Yani kuna kindu hum nimeliona ata umwelezee vipi hayuko tayar kukusikiliza mpk ufate mawazo yake hyo taarifa atakwambia ni Propaganda au umeedit... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2148988
Hilo Gap unalizbaje [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Af akati Raia wa USA washaanza kuisoma number uko
View attachment 2148990
Af uku kuna mswahili Mmoja anakwambia Urusi anateseka...
Yah vikwazo vitamsumbua ila watakaoteseka zaidi ni wao....
View attachment 2148989
The Country with over 30% of world natural resources kisha iko Occupied na just 1.5% of world Population utasema unamkomoa?
Unamwondolea Netflix, Uber, KFC kisha unazuia Ngano, Mafuta, Madini n.k af unakaa pemben unajinadi unamkomoa...
Italy washanza kufunga viwanda vyao kwa bei kubwa ya Umeme... Kwani tumesikia kuna kiwanda urusi kimeshindwa uzalishaji tangu vikwazo vianze [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]