Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

Bro mtu ashakwambia Almost twice ya Mrussia unahangaika kumjibu wa nini unapoteza mda... Me nimeisoma nikakausha tu asinimalizie charge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eti azalishe mara ya mbili ya Mrusi af akanunue tena kwa mtu anayezalisha kidogo kuliko yeye???

Kama anazalisha mara mbili kuliko mrusi kashindwa kujihudumia bei inazidi kufumuka ndo ataweza kuwazalishia jirani zake?

Europe nzima ina Population ya zaidi ya Mil.700 na ushee yan zaidi ya Mara mbili ya Taifa la USA lenye raia Mil. 320 ka skosei ila bado anawapelekea zaidi ya 40% na bado wakitaka kuongeza anawaambia ruksa...

Asilimia 40 ya populatiom ya watu zaidi ya million 700 ni takriban zaidi ya Mil. 280... hiyo idadi inakaribia idadi ya watu walioko marekani [emoji23][emoji23][emoji23]

Ko sawa na kusema ile Oil anayowauzia bara la ulaya ndo anayoitumia Mmarekan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Af mmachame mmoja hivi ankwambia USA anazalisha mara 2 zaidi kuliko mrusi....

Af na we unajichosha kutype kumjibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtu ka huyo unamwangalia tu aendelee kujifariji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Au tumuulize swali kama anazalisha mara 2 huko Venezuela kaenda kutalii sio?

Ila se wabongo ni mazuzu mno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji28][emoji28] tuna vijana wa hovyo sana nchi hii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajichosha tu mzee... Yani kuna kindu hum nimeliona ata umwelezee vipi hayuko tayar kukusikiliza mpk ufate mawazo yake hyo taarifa atakwambia ni Propaganda au umeedit... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2148988

Hilo Gap unalizbaje [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]

Af akati Raia wa USA washaanza kuisoma number uko

View attachment 2148990

Af uku kuna mswahili Mmoja anakwambia Urusi anateseka...

Yah vikwazo vitamsumbua ila watakaoteseka zaidi ni wao....

View attachment 2148989

The Country with over 30% of world natural resources kisha iko Occupied na just 1.5% of world Population utasema unamkomoa?

Unamwondolea Netflix, Uber, KFC kisha unazuia Ngano, Mafuta, Madini n.k af unakaa pemben unajinadi unamkomoa...

Italy washanza kufunga viwanda vyao kwa bei kubwa ya Umeme... Kwani tumesikia kuna kiwanda urusi kimeshindwa uzalishaji tangu vikwazo vianze [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuna mapimbi wengi sana humu[emoji28][emoji28]
 
Unazani wengine hizo Nuclear hawana tatizo mentality za kijamaa viongozi wanapenda kuonekana wababe ilihali wananchi wanatumia, Soma historia ya Russia Tangu walivyoangusha utawala wa Kifalme akaingia Lenin Hadi Leo uone namna wanavyopanda na kushuka kutoka na sera zao mbovu
nyie taifa lenu ambalo sio lakijamaa mumeizidi kipi RUSSIA?
 
Mkuu jaribu kutumia lugha ya staha , i think bado utaeleweka tu
Mtoto mdogo bado unakula kwenu. Ungekua unajua kujitafutia angalau sidiria tu ungejua madhara ya hii vita. Usingeongea hivi kama kinda la standard 3B
 
South Africa iliwahi kuwekewa vikwazo hivyo kipindi cha apatheid ikaibuka kuwa taifa lenye nguvu ktk Afrika kiuchumi hadi hapo walipoanza akina Mandela na waliofuata uchumi umeporomoka mno.

Madhara ya vikwazo vya Russia hata sisi tutayanywa , na tayari tumeanza, baada ya miezi mitatu utarudi kwa sauti ya upole sana, utakuwa unalia pamoja na Raia wa Russia na mataifa mengine.

Ni mjinga tu atakayeamini anayeathirika ni Urusi wakati waarabu wanategemea ngano kwa 85% na Urusi na Ukraine huzalisha 60% ya ngano yote duniani. Achalia Alizeti, Mafuta na gesi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
vilikuwa vikwazo maneno kutudanganya sisi waswazi
... nyuma ya pazia walifanya biashara na kaburu vizuri tu ... ndo ujue wazenge hawa hawatujali hata siku 1
 
Back
Top Bottom