Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

Inabidi tuwe wapenzi wasomaji wa comment tu hapa,lakini uhalisia wenyewe anaujua Putin na wanaomzunguka ndiyo maana kageuka kuwa motivational Speakaer kujaribu kuwaondolea hofu wananchi wake kwa kile kinachokuja mbele yao.Vita na iishe hata kesho,Putin aikalie Ukraine ikiwezekana halafu sasa tutarudi kwenye uhalisia tuone nani atakuwa mshindi wa hii vita.

😂😂😂😂 motivation SPAEAKER 😂😂
 
Jaribu kutumia vizuri ubongo na siyo kuutumia kula tunda kimasihara hivi unawezaje kusema kwamba mtwara isiutishe mkoa wa kilimanjaro kwa kilimo cha korosho na wakati mkoa mzima kwa mwaka hawezi kuvuna tani 100 na kati mtwara wanavuna zaidi ya tani laki moja? Hivi unaujua mzigo wa nuke uliyopo russia au kwa vile unaishi kwa shemela hata bei ya fungu la nyanya huijui?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1756][emoji1756]
 
Kuna watu humu ndani wanachojua wao ni kwamba russian anauza mafuta na gesi pekee hebu fikiria kuna nchi eg germani anaitegemea russia kuanzia makaa ya mawe gesi mafuta ya nishati mafuta ya kula ngano halafu kuna mtu humu anafunua funua mdomo wake na kukoment upuuzi akiwa hajui chochote na akati sasa hivi ulaya yote kuna shida ya gesi na mafuta hadi kufikia ujeruman kukataa ndani ya kikao kilichofanyika huko ufaransa kwamba hakubali vikwazo zaidi dhidi ya russia kwani kibano kimewapata huko waliko
Tuna wapuuzi sana humu hasa vitoto vya 2000's
 
Safi Sana! Unakataa kununua mahindi kwangu kunikomoa alafu watoto wako wanalala njaa Kwa kukosa ugali alafu unawaambia eti mimi mbaya wanilaumu nakunilaani!
Kweli wanaongoza vipofu!
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Mjinga hufahamu hata kwamba US ndo producer mkubwa wa mafuta duniani, almost twice ya russia

Hizi story za kijinga nani anawaambiaga? Au ndo mnapigaga mkiwa mmekaa na kobazi zenu
Nani jirani wakumuuzia?
Gharama ya kusafirisha hadi ulaya inafanana na Russia? Tumia kaubongo kadogooo
 
Vladmir Putin

Rais wa Russia Comrade Vladmir Putin Amesema Nchi hiyo inakwenda kuwa Nchi Imara na yenye Uchumi Mzito kuliko ilivyo Leo kinyume na Maadui zake wanavyojidanganya.

Putin aliyasema hayo Alhamis alipokuta na Baraza la Uongozi la Russia kwenye Kikao ambacho kilikuwa Live kwenye Radio na TV, na kuonyeshwa Live na TV na Radio zaidi ya 420, kwenye Mataifa Mbali mbali yenye Uhuru wa kuonyesha Habari kutoka Urusi.

"Lazima Mjuie, Tulijua kuwa watakuja na silaha hii butu, kwa sababu najua hawawezi kutupangia njia za kujilinda dhidi ya hatari tunayoiona, Nimeamua kufanya Operation ya Kijeshi kwa Serikali ya Kyiv kwa sababu za Usalama wa Russia na vizazi vyake vya kesho"...Hakuna wa kunizuia, hakuna wa kutupinga, na hata wakiweka Vikwazo mara elfu moja, bado tuna Haki ya Kusimama Kulinda usalama wetu"..Na sasa Maumivu waliyotaka kwetu yamerudi milango mwao..

"Ni Wapuuzi kabisa, na hivyo vikwazo vyao mmeona matokeo yake, Sasa Nauli za Ndege kwenda Hanoi ama Macau zimekuwa mara Mbili na zaidi, lakini kwa Vile Mataifa hayo yanaongoza Vipofu yamezuia kutolewa habari hizo, Viongozi wao wanaendelea kufanya Mzaha na kujaribu kuwafumba watu wao"...

"Nilipokea siku hiyo hiyo waliposema Russia isisafirishe Mafuta kwa Nchi za America, Ajabu siku tatu Baadae wamelalamika Bei za Mafita zimekuwa karibu mara mbili, na Mfumuko wa Bei za Bidhaa zao Hazielezeki kabisa, Ni Kichaa tu anayeweza kusema Eti Tunaumia sisi kuliko Ambaye Bidhaa zake zimepanda kwa 170.6% ..

"Kwa sasa katika Ulaya Nzima penye Unafuu wa Maisha ni Russia tu, Wengine hata Gesi Imegeuka dhahabu, hupati gesi, watawala wao wamejipiga shaka kwa kujaribu kupambana na Russia"...Rais putin alinukuliwa akisema.

"Walitaka tukubali kuhatarisha usalama wetu kisa manufaa Kiduchu ya kiuchumi, Haiwezekani, hatukubali na siku yoyote ikiwa hivyo tutajibu vikali zaidi kuliko Operation ya Ukraine "..
Hizi huwa ni porojo za Nchi za kijamaa kujifariji.

Kumbuka Mr.Jiwe Mwendazake na stori za kufariji watu na maneno ya uzalendo wakati their economy is sinking 😁😁
 
Mpaka Putin anaingia vitani, haya yote alishayabaini na kuyafanyia mahesabu. Si mjinga. Vikwazo vinawaumiza wote, wa nje tena zaidi. Kila mtu, popote pale, atajikuta analipia gharama za kushupaza huku shingo.

Unabana kumkomoa Putin huku mzigo unarudi kutesa raia wako wanaotegemea gesi na mafuta 'rahisi' kutoka hukohuko ulipobana.

Kiburi cha Putin ni kuamini Ulaya inamhitaji yeye zaidi kuliko anavyoihitaji.
Kwenye vikwazo huwa hakuna mbabe tatizo watz tunapenda ushabiki tu ila kwasasa Russia vikwazo vimemkalia kooni sema ndio vile jeuri tu kama North Korea
 
Jaribu kutumia vizuri ubongo na siyo kuutumia kula tunda kimasihara hivi unawezaje kusema kwamba mtwara isiutishe mkoa wa kilimanjaro kwa kilimo cha korosho na wakati mkoa mzima kwa mwaka hawezi kuvuna tani 100 na kati mtwara wanavuna zaidi ya tani laki moja? Hivi unaujua mzigo wa nuke uliyopo russia au kwa vile unaishi kwa shemela hata bei ya fungu la nyanya huijui?
Unazani wengine hizo Nuclear hawana tatizo mentality za kijamaa viongozi wanapenda kuonekana wababe ilihali wananchi wanatumia, Soma historia ya Russia Tangu walivyoangusha utawala wa Kifalme akaingia Lenin Hadi Leo uone namna wanavyopanda na kushuka kutoka na sera zao mbovu
 
Kwenye vikwazo huwa hakuna mbabe tatizo watz tunapenda ushabiki tu ila kwasasa Russia vikwazo vimemkalia kooni sema ndio vile jeuri tu kama North Korea
Ubabe na huku na wewe unaumia? Nani wa kumreplace Russia? Mzee hii inakula kote. Qatar mwenyewe ashakiri kuwa hawawezi kumreplace Russia kwenye production.
JamiiForums-1648586943.jpg
 
Ubabe na huku na wewe unaumia? Nani wa kumreplace Russia? Mzee hii inakula kote. Qatar mwenyewe ashakiri kuwa hawawezi kumreplace Russia kwenye production.View attachment 2148846
Wanaweza sema kule USA matajiri wanagoma kuongeza uwezo wa kuzalisha, hata Saudia kagoma kisa mtoto wa mfalme amewekewa vikwazo na USA kisa mauaji ya Kashogi
 
The last kick of a dying donkey.

Russia imekua kama kisiwa, hakuna ndege wala meli inayoweza kwenda ama kutoka Russia.

Hii ni failed state after 2 months ahead
Eti a failed state [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... Eeeenhe una miaka mingapi kwanza [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847] tusije anza elekeza watoto wa nursery yaliyo nje ya uwezo wao....
 
Nani jirani wakumuuzia?
Gharama ya kusafirisha hadi ulaya inafanana na Russia? Tumia kaubongo kadogooo
Bro mtu ashakwambia Almost twice ya Mrussia unahangaika kumjibu wa nini unapoteza mda... Me nimeisoma nikakausha tu asinimalizie charge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eti azalishe mara ya mbili ya Mrusi af akanunue tena kwa mtu anayezalisha kidogo kuliko yeye???

Kama anazalisha mara mbili kuliko mrusi kashindwa kujihudumia bei inazidi kufumuka ndo ataweza kuwazalishia jirani zake?

Europe nzima ina Population ya zaidi ya Mil.700 na ushee yan zaidi ya Mara mbili ya Taifa la USA lenye raia Mil. 320 ka skosei ila bado anawapelekea zaidi ya 40% na bado wakitaka kuongeza anawaambia ruksa...

Asilimia 40 ya populatiom ya watu zaidi ya million 700 ni takriban zaidi ya Mil. 280... hiyo idadi inakaribia idadi ya watu walioko marekani [emoji23][emoji23][emoji23]

Ko sawa na kusema ile Oil anayowauzia bara la ulaya ndo anayoitumia Mmarekan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Af mmachame mmoja hivi ankwambia USA anazalisha mara 2 zaidi kuliko mrusi....

Af na we unajichosha kutype kumjibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtu ka huyo unamwangalia tu aendelee kujifariji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Au tumuulize swali kama anazalisha mara 2 huko Venezuela kaenda kutalii sio?

Ila se wabongo ni mazuzu mno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ubabe na huku na wewe unaumia? Nani wa kumreplace Russia? Mzee hii inakula kote. Qatar mwenyewe ashakiri kuwa hawawezi kumreplace Russia kwenye production.View attachment 2148846
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajichosha tu mzee... Yani kuna kindu hum nimeliona ata umwelezee vipi hayuko tayar kukusikiliza mpk ufate mawazo yake hyo taarifa atakwambia ni Propaganda au umeedit... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2148988

Hilo Gap unalizbaje [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]

Af akati Raia wa USA washaanza kuisoma number uko

IMG_20220313_120055_928.jpg


Af uku kuna mswahili Mmoja anakwambia Urusi anateseka...

Yah vikwazo vitamsumbua ila watakaoteseka zaidi ni wao....

View attachment 2148989

The Country with over 30% of world natural resources kisha iko Occupied na just 1.5% of world Population utasema unamkomoa?

Unamwondolea Netflix, Uber, KFC kisha unazuia Ngano, Mafuta, Madini n.k af unakaa pemben unajinadi unamkomoa...

Italy washanza kufunga viwanda vyao kwa bei kubwa ya Umeme... Kwani tumesikia kuna kiwanda urusi kimeshindwa uzalishaji tangu vikwazo vianze [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom