Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

The last kick of a dying donkey.

Russia imekua kama kisiwa, hakuna ndege wala meli inayoweza kwenda ama kutoka Russia.

Hii ni failed state after 2 months ahead
Hata biden aliwaza upuuzi kama huu na sasa analazimika kufumua reserve ya mafuta ili kuokoa jahazi sasa wewe endelea kuvembewa magimbi ukidhani urusi ni kama sudani kusini
 
Vladmir Putin

Rais wa Russia Comrade Vladmir Putin Amesema Nchi hiyo inakwenda kuwa Nchi Imara na yenye Uchumi Mzito kuliko ilivyo Leo kinyume na Maadui zake wanavyojidanganya.

Putin aliyasema hayo Alhamis alipokuta na Baraza la Uongozi la Russia kwenye Kikao ambacho kilikuwa Live kwenye Radio na TV, na kuonyeshwa Live na TV na Radio zaidi ya 420, kwenye Mataifa Mbali mbali yenye Uhuru wa kuonyesha Habari kutoka Urusi.

"Lazima Mjuie, Tulijua kuwa watakuja na silaha hii butu, kwa sababu najua hawawezi kutupangia njia za kujilinda dhidi ya hatari tunayoiona, Nimeamua kufanya Operation ya Kijeshi kwa Serikali ya Kyiv kwa sababu za Usalama wa Russia na vizazi vyake vya kesho"...Hakuna wa kunizuia, hakuna wa kutupinga, na hata wakiweka Vikwazo mara elfu moja, bado tuna Haki ya Kusimama Kulinda usalama wetu"..Na sasa Maumivu waliyotaka kwetu yamerudi milango mwao..

"Ni Wapuuzi kabisa, na hivyo vikwazo vyao mmeona matokeo yake, Sasa Nauli za Ndege kwenda Hanoi ama Macau zimekuwa mara Mbili na zaidi, lakini kwa Vile Mataifa hayo yanaongoza Vipofu yamezuia kutolewa habari hizo, Viongozi wao wanaendelea kufanya Mzaha na kujaribu kuwafumba watu wao"...

"Nilipokea siku hiyo hiyo waliposema Russia isisafirishe Mafuta kwa Nchi za America, Ajabu siku tatu Baadae wamelalamika Bei za Mafita zimekuwa karibu mara mbili, na Mfumuko wa Bei za Bidhaa zao Hazielezeki kabisa, Ni Kichaa tu anayeweza kusema Eti Tunaumia sisi kuliko Ambaye Bidhaa zake zimepanda kwa 170.6% ..

"Kwa sasa katika Ulaya Nzima penye Unafuu wa Maisha ni Russia tu, Wengine hata Gesi Imegeuka dhahabu, hupati gesi, watawala wao wamejipiga shaka kwa kujaribu kupambana na Russia"...Rais putin alinukuliwa akisema.

"Walitaka tukubali kuhatarisha usalama wetu kisa manufaa Kiduchu ya kiuchumi, Haiwezekani, hatukubali na siku yoyote ikiwa hivyo tutajibu vikali zaidi kuliko Operation ya Ukraine "..

Hahahaaa huyu Mwamba ni noma sana yani haogopi na hana wa kumuogopa apo ulaya [emoji123]
 
Yaani putini ana mawazo ya kijamaa yaliyopitwa na wakati, ana ubabe uchwarwa ana mikwara uchwara. Anatishia watu na nuclear utadhani ni yeye peke yake anayo hapa duniani. Us, uk na France wanayo wakiamua kumtisha si atajinyea.
Jaribu kutumia vizuri ubongo na siyo kuutumia kula tunda kimasihara hivi unawezaje kusema kwamba mtwara isiutishe mkoa wa kilimanjaro kwa kilimo cha korosho na wakati mkoa mzima kwa mwaka hawezi kuvuna tani 100 na kati mtwara wanavuna zaidi ya tani laki moja? Hivi unaujua mzigo wa nuke uliyopo russia au kwa vile unaishi kwa shemela hata bei ya fungu la nyanya huijui?
 
South Africa iliwahi kuwekewa vikwazo hivyo kipindi cha apatheid ikaibuka kuwa taifa lenye nguvu ktk Afrika kiuchumi hadi hapo walipoanza akina Mandela na waliofuata uchumi umeporomoka mno.

Madhara ya vikwazo vya Russia hata sisi tutayanywa , na tayari tumeanza, baada ya miezi mitatu utarudi kwa sauti ya upole sana, utakuwa unalia pamoja na Raia wa Russia na mataifa mengine.

Ni mjinga tu atakayeamini anayeathirika ni Urusi wakati waarabu wanategemea ngano kwa 85% na Urusi na Ukraine huzalisha 60% ya ngano yote duniani. Achalia Alizeti, Mafuta na gesi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kuna watu humu ndani wanachojua wao ni kwamba russian anauza mafuta na gesi pekee hebu fikiria kuna nchi eg germani anaitegemea russia kuanzia makaa ya mawe gesi mafuta ya nishati mafuta ya kula ngano halafu kuna mtu humu anafunua funua mdomo wake na kukoment upuuzi akiwa hajui chochote na akati sasa hivi ulaya yote kuna shida ya gesi na mafuta hadi kufikia ujeruman kukataa ndani ya kikao kilichofanyika huko ufaransa kwamba hakubali vikwazo zaidi dhidi ya russia kwani kibano kimewapata huko waliko
 
South Africa iliwahi kuwekewa vikwazo hivyo kipindi cha apatheid ikaibuka kuwa taifa lenye nguvu ktk Afrika kiuchumi hadi hapo walipoanza akina Mandela na waliofuata uchumi umeporomoka mno.

Madhara ya vikwazo vya Russia hata sisi tutayanywa , na tayari tumeanza, baada ya miezi mitatu utarudi kwa sauti ya upole sana, utakuwa unalia pamoja na Raia wa Russia na mataifa mengine.

Ni mjinga tu atakayeamini anayeathirika ni Urusi wakati waarabu wanategemea ngano kwa 85% na Urusi na Ukraine huzalisha 60% ya ngano yote duniani. Achalia Alizeti, Mafuta na gesi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Humu JF watu wengi ni ushabiki athari hizo hawazioni.
 
IMG-20220311-WA0538.jpg
 
Angalizo: Admins wa JF naona mmeamua kufuta baadhi ya nyuzi zangu nazozianzisha kuhusu mgogoro wa kivita nchini Ukraine. Siju shida ni nini
Wanaogopa kujihusisha mzee Putin asije akalipua servers za jf
 
Hana uwezo huo .Kilichowatatokea ukraine na Sisi wa afrika Wanasema msiwe na nuclear Sisi NATO tutawasaidia .Angalia yaliyowakuta ukraine .Sisi vita ya dunia afrika tutafanyaje
 
Kwa sasa urusi itaanza kufanya vitu bila mipaka tutarajie teknoliajia kubwa kutoka kwa hawa mabwana tutalajie mapinduzi makubwa sana. Ila anguko la marekani naona lipo karibu. Leo hii marekan inaipigia magoti venezuela? Mpaka nimechoka
Wewe unaongea vitu vya kitoto sana mzee
 
Back
Top Bottom