Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

The last kick of a dying donkey.

Russia imekua kama kisiwa, hakuna ndege wala meli inayoweza kwenda ama kutoka Russia.

Hii ni failed state after 2 months ahead
South Africa iliwahi kuwekewa vikwazo hivyo kipindi cha apatheid ikaibuka kuwa taifa lenye nguvu ktk Afrika kiuchumi hadi hapo walipoanza akina Mandela na waliofuata uchumi umeporomoka mno.

Madhara ya vikwazo vya Russia hata sisi tutayanywa , na tayari tumeanza, baada ya miezi mitatu utarudi kwa sauti ya upole sana, utakuwa unalia pamoja na Raia wa Russia na mataifa mengine.

Ni mjinga tu atakayeamini anayeathirika ni Urusi wakati waarabu wanategemea ngano kwa 85% na Urusi na Ukraine huzalisha 60% ya ngano yote duniani. Achalia Alizeti, Mafuta na gesi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hata yeye anajua hofu kuu waliyonayo lakini pia deep down hana amani,huwezi watawala watu waliojawa na hofu ya nini hatma yao ya kesho na hasa watu wenyewe ni kama hao ambao tayari walishaonja matunda ya kuishi na kula bata kibepari.Mtu kazoe kwenda kushop kwa LV,GUCCI,PRADA and the likes leo hii anaona hakuna tena maduka kama hayo achilia mbali wenye maisha ya kawaida ambao ni wengi zaidi wataumia
Kuna aina fulani hivi ya tourture, unafungwa sehemu ambayo matone ya maji yanakudondokea utosini sehemu ile ile. Dos dos dos dos dos kwenye utosi, mwanzoni haiumizi kabisa ila baada ya muda unateseka. Dos dos dos dos dos yanapiga pale pale kila sekunde dos dos dos dos.
 
Yaani putini ana mawazo ya kijamaa yaliyopitwa na wakati, ana ubabe uchwarwa ana mikwara uchwara. Anatishia watu na nuclear utadhani ni yeye peke yake anayo hapa duniani. Us, uk na France wanayo wakiamua kumtisha si atajinyea.
 
Yaani putini ana mawazo ya kijamaa yaliyopitwa na wakati, ana ubabe uchwarwa ana mikwara uchwara. Anatishia watu na nuclear utadhani ni yeye peke yake anayo hapa duniani. Us, uk na France wanayo wakiamua kumtisha si atajinyea.
Yaani mtu Anazungumza for fact kuhusu usalama wa taifa lao, halafu wewe unaleta Unazi !? Like seriously!!!?
 
Kwa sasa urusi itaanza kufanya vitu bila mipaka tutarajie teknoliajia kubwa kutoka kwa hawa mabwana tutalajie mapinduzi makubwa sana. Ila anguko la marekani naona lipo karibu. Leo hii marekan inaipigia magoti venezuela? Mpaka nimechoka
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Watu wa JF munajitahid kuzungumzia uchumi lakin hamna kitu ,wengi wa humu wanadhani uchumi ni thamani ya pesa tu. Utakuta mtu anasema Uchumi wa Russia hamna kitu au wa Iran hamna kitu hata hawaz hivyo vikwazo vilikuwepo toka mwaka gani na kufatilia maendeleo ya hizo nchi kwa sasa zilipo. Mfano mdogo Iran toka wafanye mapinduzi kumtoa kibaraka wa marekan mpaka wanadumu na vikwazo lakin Muiran huyo huyo kapeleka mafuta kwa Maduro meli 3 baada ya marekan kuiwekea vikwazo Venezuela na hamna alichomfanya unadhan bira ya kua na power unaweza fanya hivi mbele ya marekan hebu mda mwengine tujaribu japo kulinganisha nchi yetu isiewekewa vikwazo na inayopewa misaada yote na hizo nchi zilizowekewa vikwazo je tunazikaribia kwa uchumi ,labda hapo mtu utaweza kuandika point inayoeleweka kidogo.
Wana akili Basi !!! Wanaropokaga tu [emoji16][emoji16]
SMH [emoji16]
 
Haya ni maneno ya Putin ya kijamaaa, lakini katika dunia ya SASA yanaitajika kweli uache kutumia bidhaaa za Western Union kisa Putin

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Russia sio Tanzania au wilaya ya kinondoni unapo izungumzia Russia unaiongelea nchi kubwa yenye high tech na jeshi kubwa duniani, kwa namna yoyote ile nchi Kama hiyo usalama wa taifa lake ndio kipaumbele kikuu , so ulitaka waache kuimarisha usalama wa taifa lao halafu wakaribishe maadui milangoni mwao ili baadae taifa lao liporomoshwe !?
 
Watu wa JF ukiwafuatilia sana utazani wana uchumi kumzidi Russia, wakati wenzetu wanajitegemea kwa kila kitu. Leo sis ndio tuwe na ufaham mwingi kuwazidi wao hahahaha.
SMH [emoji16][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Ukitumia ubongo vizur kutafakar hii kauli ya Putin ni kana kwamba analalamika kwamba vikwazo ni vibaya ila anachofanya ni kuwapa wananchi matumaini ili hali akijua nchi yake inateketea haina tofauti na Zelesky unamuona anajigamba live kwenye tv huku akijua wazi kwamba ana hali mbaya kutokana na mashambulizi ya Russia, mfa maji haachi kutapatapa
 
Ukitumia ubongo vizur kutafakar hii kauli ya Putin ni kana kwamba analalamika kwamba vikwazo ni vibaya ila anachofanya ni kuwapa wananchi matumaini ili hali akijua nchi yake inateketea haina tofauti na Zelesky unamuona anajigamba live kwenye tv huku akijua wazi kwamba ana hali mbaya kutokana na mashambulizi ya Russia, mfa maji haachi kutapatapa
We ukitafakari unaona nani anaumia?
 
Back
Top Bottom