Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

Every min Russian souldier are killed, Shida ni WA ukraine wote hawawapendi wala kuwaunga mkono / unless urusi ipeleke wanajeshi malaki kwa malaki wawe wengi kuliko raia.

FNho0sjXoAEgs4d.jpeg
 
Putin alisema hakujawa na mbadala wa kile Urusi inachokiita operesheni yake maalum ya kijeshi nchini Ukraine na kwamba Urusi sio nchi ambayo inaweza kukubali kuathiri uhuru wake kwa aina fulani ya faida za kiuchumi za muda mfupi.
Haya ni maneno ya Putin ya kijamaaa, lakini katika dunia ya SASA yanaitajika kweli uache kutumia bidhaaa za Western Union kisa Putin

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
nchi nyingi sana ambazo ni marafiki na USA ni nchi ambazo haziko stable kiuchumi na nyingi kisiri lazima zinatafuta namna ya kujitoa kwenye mkono wa hili beberu la west. ila nchi nyingi sana ambazo ziko stable kiuchumi ni zile ambazo wako na uhuru wao bila kutazama west wanafanya nini mwangalie mchini, Russia mwenyewe mwangalie mkolea, mwanagalie libya enzi yuko Raisi wao pendwa angalia na wakati alipo pingwa tukio ni wakati sasa nchi za west ziondoe vikwazo vyao kwa kutishia kuporomoka kwa uchumi lakini kwa mda mfupi alafu uchumi wa kila mmoja duniani utakua sawaa kulingana na matakwa ya nchi husika na uongozi uliopo madarakani
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema mwisho wa siku Urusi hatimaye itaibuka na nguvu na uhuru zaidi baada ya kukabiliana na matatizo yaliyosababishwa na kile alichokiita vikwazo haramu vya nchi za Magharibi.

Putin alisema hakujawa na mbadala wa kile Urusi inachokiita operesheni yake maalum ya kijeshi nchini Ukraine na kwamba Urusi sio nchi ambayo inaweza kukubali kuathiri uhuru wake kwa aina fulani ya faida za kiuchumi za muda mfupi.

Chanzo: Reuters

LONDON, March 10 (Reuters) - Russian President Vladimir Putin said on Thursday that Russia would ultimately emerge stronger and more independent after overcoming the difficulties caused by what he called the West's illegitimate sanctions.

Putin said there had been no alternative to what Russia calls its special military operation in Ukraine and that Russia was not a country which could accept compromising its sovereignty for some sort of short-term economic gain.



"These sanctions would have been imposed in any case," Putin told a meeting of the Russian government. "There are some questions, problems and difficulties but in the past we have overcome them and we will overcome them."

Source: ReutersView attachment 2146411
Kwisha habari yake alijua ataingusha Ukraine siku 2 tu, sasa leo anaongea hivi mara vile., si alisema yeye hatatetereka kwa vikwazo mbona sasa anaviita haramu maana yake ni kwamba anakiri anaumia na kudhoofika, kama ataibuka kuwa taifa lenye nguvu maana yake kwamba sasa hali ni ngumu sana na anahitaji muda na hajuwi pia kwa baadae hali itakuwaje, majenerali wake 2 wamepata kibano ukraine, amepata pigo nadhan moyoni anajuta
 
Watu wa JF munajitahid kuzungumzia uchumi lakin hamna kitu ,wengi wa humu wanadhani uchumi ni thamani ya pesa tu. Utakuta mtu anasema Uchumi wa Russia hamna kitu au wa Iran hamna kitu hata hawaz hivyo vikwazo vilikuwepo toka mwaka gani na kufatilia maendeleo ya hizo nchi kwa sasa zilipo. Mfano mdogo Iran toka wafanye mapinduzi kumtoa kibaraka wa marekan mpaka wanadumu na vikwazo lakin Muiran huyo huyo kapeleka mafuta kwa Maduro meli 3 baada ya marekan kuiwekea vikwazo Venezuela na hamna alichomfanya unadhan bira ya kua na power unaweza fanya hivi mbele ya marekan hebu mda mwengine tujaribu japo kulinganisha nchi yetu isiewekewa vikwazo na inayopewa misaada yote na hizo nchi zilizowekewa vikwazo je tunazikaribia kwa uchumi ,labda hapo mtu utaweza kuandika point inayoeleweka kidogo.
Vikwazo alivyowekewa russia ni kifo., haijawahi tokea kama hivi kwa nchi yoyte, ngoja kwanza watu wajipigie ngawira meli za makampuni ya russia zinashikwa uko ufaransa watu wanakula ngawira
 
Asant mkuu mshana Jr
Putin alisema hakujawa na mbadala wa kile Urusi inachokiita operesheni yake maalum ya kijeshi nchini Ukraine na kwamba Urusi sio nchi ambayo inaweza kukubali kuathiri uhuru wake kwa aina fulani ya faida za kiuchumi za muda mfupi.
 
Back
Top Bottom