Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Naona ndo anawapa moyo watendaji wake wasikate tamaa.Hali ilishakuwa mbaya huko!!na wananchi wake wameshaanza kumkataa!!na zamu hii atapata shida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ndo anawapa moyo watendaji wake wasikate tamaa.Hali ilishakuwa mbaya huko!!na wananchi wake wameshaanza kumkataa!!na zamu hii atapata shida sana
Watu wa JF ukiwafuatilia sana utazani wana uchumi kumzidi Russia, wakati wenzetu wanajitegemea kwa kila kitu. Leo sis ndio tuwe na ufaham mwingi kuwazidi wao hahahaha.Watu wa JF munajitahid kuzungumzia uchumi lakin hamna kitu ,wengi wa humu wanadhani uchumi ni thamani ya pesa tu. Utakuta mtu anasema Uchumi wa Russia hamna kitu au wa Iran hamna kitu hata hawaz hivyo vikwazo vilikuwepo toka mwaka gani na kufatilia maendeleo ya hizo nchi kwa sasa zilipo. Mfano mdogo Iran toka wafanye mapinduzi kumtoa kibaraka wa marekan mpaka wanadumu na vikwazo lakin Muiran huyo huyo kapeleka mafuta kwa Maduro meli 3 baada ya marekan kuiwekea vikwazo Venezuela na hamna alichomfanya unadhan bira ya kua na power unaweza fanya hivi mbele ya marekan hebu mda mwengine tujaribu japo kulinganisha nchi yetu isiewekewa vikwazo na inayopewa misaada yote na hizo nchi zilizowekewa vikwazo je tunazikaribia kwa uchumi ,labda hapo mtu utaweza kuandika point inayoeleweka kidogo.
Inabidi tuwe wapenzi wasomaji wa comment tu hapa,lakini uhalisia wenyewe anaujua Putin na wanaomzunguka ndiyo maana kageuka kuwa motivational Speakaer kujaribu kuwaondolea hofu wananchi wake kwa kile kinachokuja mbele yao.Vita na iishe hata kesho,Putin aikalie Ukraine ikiwezekana halafu sasa tutarudi kwenye uhalisia tuone nani atakuwa mshindi wa hii vita.Yaani kichwa cha habari hakiendani na content.
Kweli.Inabidi tuwe wapenzi wasomaji wa comment tu hapa,lakini uhalisia wenyewe anaujua Putin na wanaomzunguka ndiyo maana kageuka kuwa motivational Speakaer kujaribu kuwaondolea hofu wananchi wake kwa kile kinachokuja mbele yao.Vita na iishe hata kesho,Putin aikalie Ukraine ikiwezekana halafu sasa tutarudi kwenye uhalisia tuone nani atakuwa mshindi wa hii vita.
Halafu watu tuko hapa tunadharau vikwazo utadhani waliovibuni viwepo walikuwa wajinga.Tungekuwa na uwezo kama tunaouonyesha katika hii mijadala wa kudharau waliotuzidi Tanzania ingekuwa Ulimwengu wa kwanza ki uchumi na katika nyanja mbali mbali,lakini kwakuwa tumejaliwa midomo tu ya kuongea basi tutaendela kuwa hivi hivi tulivyo kizazi hadi kizazi.Hali ilishakuwa mbaya huko!!na wananchi wake wameshaanza kumkataa!!na zamu hii atapata shida sana
Hata yeye anajua hofu kuu waliyonayo lakini pia deep down hana amani,huwezi watawala watu waliojawa na hofu ya nini hatma yao ya kesho na hasa watu wenyewe ni kama hao ambao tayari walishaonja matunda ya kuishi na kula bata kibepari.Mtu kazoe kwenda kushop kwa LV,GUCCI,PRADA and the likes leo hii anaona hakuna tena maduka kama hayo achilia mbali wenye maisha ya kawaida ambao ni wengi zaidi wataumiaNaona ndo anawapa moyo watendaji wake wasikate tamaa.
Na wale wanaodharau Upande wa pili je?Watu wa JF ukiwafuatilia sana utazani wana uchumi kumzidi Russia, wakati wenzetu wanajitegemea kwa kila kitu. Leo sis ndio tuwe na ufaham mwingi kuwazidi wao hahahaha.
Red Army [emoji635][emoji635][emoji635]Vladmir Putin
Rais wa Russia Comrade Vladmir Putin Amesema Nchi hiyo inakwenda kuwa Nchi Imara na yenye Uchumi Mzito kuliko ilivyo Leo kinyume na Maadui zake wanavyojidanganya...
Mpaka Putin anaingia vitani, haya yote alishayabaini na kuyafanyia mahesabu. Si mjinga. Vikwazo vinawaumiza wote, wa nje tena zaidi. Kila mtu, popote pale, atajikuta analipia gharama za kushupaza huku shingo.
Baada ya hiyo miezi miwili, mkuu, tuombe Mungu tukutane hapa alafu tuone.The last kick of a dying donkey.
Russia imekua kama kisiwa, hakuna ndege wala meli inayoweza kwenda ama kutoka russia.
Hii ni failed state after 2 months ahead
Keep your wordsThe last kick of a dying donkey.
Russia imekua kama kisiwa, hakuna ndege wala meli inayoweza kwenda ama kutoka russia.
Hii ni failed state after 2 months ahead
Breaking News: The US threatens to sanction China for not sanctioning Russia
Source: RT news https://www.rt.com/russia/551569-us-threat-china-trade/
Marekani yatishia kuiwekea vikwazo China endapo kama haitaiwekea vikwazo Urusi.
*******
Bado tu hamjaanza kuona mgonjwa( USA) anakaribia kukata roho!!?
Labda unaongelea russia ya chato.ukiondoa siraha za nyukria, kwa vikwazo walotandikwa urusi itakuwa sawa na southafrica
Anaongea kwa mtazamo kwamba wao pamoja na wamagharibi watasota kiuchumi nani ataibuka kwanza. Wamagharibi pamoja na makelele mengi hawakutegemea huyu jamaa ataenda kijeshi chap ivo na hawakuwa tayari. Aidha wangeshajiandaa mambo ya mafuta nkRais wa Urusi Vladimir Putin amesema mwisho wa siku Urusi hatimaye itaibuka na nguvu na uhuru zaidi baada ya kukabiliana na matatizo yaliyosababishwa na kile alichokiita vikwazo haramu vya nchi za Magharibi.
Putin alisema hakujawa na mbadala wa kile Urusi inachokiita operesheni yake maalum ya kijeshi nchini Ukraine na kwamba Urusi sio nchi ambayo inaweza kukubali kuathiri uhuru wake kwa aina fulani ya faida za kiuchumi za muda mfupi.
Chanzo: Reuters
LONDON, March 10 (Reuters) - Russian President Vladimir Putin said on Thursday that Russia would ultimately emerge stronger and more independent after overcoming the difficulties caused by what he called the West's illegitimate sanctions.
Putin said there had been no alternative to what Russia calls its special military operation in Ukraine and that Russia was not a country which could accept compromising its sovereignty for some sort of short-term economic gain.
"These sanctions would have been imposed in any case," Putin told a meeting of the Russian government. "There are some questions, problems and difficulties but in the past we have overcome them and we will overcome them."
Source: ReutersView attachment 2146411
aisee wanatapatapa... afu ndo kabisa wanakaribisha bonge la muungano
Ntarudi baada ya miezi 3The last kick of a dying donkey.
Russia imekua kama kisiwa, hakuna ndege wala meli inayoweza kwenda ama kutoka Russia.
Hii ni failed state after 2 months ahead
The last kick of a dying donkey.
Russia imekua kama kisiwa, hakuna ndege wala meli inayoweza kwenda ama kutoka Russia.
Hii ni failed state after 2 months ahead