Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji28][emoji28] tuna vijana wa hovyo sana nchi hii
 
Tuna mapimbi wengi sana humu[emoji28][emoji28]
 
nyie taifa lenu ambalo sio lakijamaa mumeizidi kipi RUSSIA?
 
Mkuu jaribu kutumia lugha ya staha , i think bado utaeleweka tu
Mtoto mdogo bado unakula kwenu. Ungekua unajua kujitafutia angalau sidiria tu ungejua madhara ya hii vita. Usingeongea hivi kama kinda la standard 3B
 
vilikuwa vikwazo maneno kutudanganya sisi waswazi
... nyuma ya pazia walifanya biashara na kaburu vizuri tu ... ndo ujue wazenge hawa hawatujali hata siku 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…