Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Russia anatakiwa kukutana na wendawazimu kama Finland, hao ndiyo hata yeye Russia anawagwaya.

Mwaka 1939 aliivamia Finland ili kuitanua himaya yake ya Soviet, pamoja na uhodari wa Jeshi lake na vifaa vyake vya kivita Russia aliishia kupata hasara kubwa sana kwenye ile winter war, zaidi akaishia kufukuzwa uanachama kutoka The League of Nations kabla haijabadilika na kuwa UN.

Baada ya vita kuu ya pili ya dunia akaendelea kuzitisha na kuzimavamia nchi za Ulaya ili kuziunganisha ma Soviet na kwa kuwa alikua ni giant, hivyo hakukua na wa kumzuia. Ndipo mwaka 1949 Ulipoanzishwa Umoja wa kujihami wa nchi za Ulaya (NATO), NATO ilianzishwa ili kujihami na Russia and nobody else.

Finland hakutaka kujiunga, maana alishaamua hamuogopi na akimleta zake watamalizana.

Hivi majuzi Russia alipowaonya majirani zake kuwa yeyote atakayetaka kujiunga na NATO lazima amshikishe adabu na kweli Ukraine akaanza kusumbuliwa waswahili wanasema akakiona cha moto, ndipo Finland akatangaza kujiunga na NATO, yaani ni kama vile kumwambia “wapangie hao hao mambwiga, mimi huna la kunifanya" na akaenda mbali zaida kwa kuagiza Israeli SPYDER air defense system, mfumo ambao Ukraine aliuomba vita ilipoanza ili kulinda anga lake, lakini Russia alipoona hivyo akaanza kulalamika na kuitisha Israel kuwa Russia haitahusika na Ulinzi wa assets za Israel mchini Syria, kitu ambacho haki make sense, kwani Israel hama anachomtegemea Russia huko Syria maana hata ule mfumo wa Russia wa S-300 hundred si lolote kwa Israel kutimiza mission zake.

Pamoja na hayo Israel aliamua ku back off na kutompatia Ukraine mfumo ule sababu aliona si busara kuupeleka mfumo ule wakati huu vita na yeye ana maslahi na ukaribu na nchi zote mbili, na ndiyo iliyopelekea hata Moscow ikubali Israel kuwa mediator kwenye vita hii.

Lakini Finland ameshaagiza mzigo wake na anaenda kufungiwa.

Leo waziri wake wa Ulinzi amemkumbusha Urusi kwamba ntakulisha biscuit kwenye Vita ya kwenye baridi kama hapo awali cheza uone” hii imakuja baada ya Urusi kusema kwamba Endapo Finland itajiunga atapata Tabu sana”

Wataalamu wa Masuala ya Saikolojia wamemzunguka Putin kumshauri kila mara baada ya kuona kila mission yake haitimii

Mfano Kumrejesha Kibaraka wake UKRAINE na kuiangusha Dola ya Zelensky kaishia kupata hasara yeye.

Britanicca
 
Usipende kutumia past events kujipatia reliability of what will happen in present time ..nadhan umenielewa it's like football leo unashinda kesho unafungwa in the likes of Real Madrid na Bayern na Manchester City
 
Finland ni wapole sana sidhani kama wanajua vita.
Finland ni taifa pole sana na ndio maana Stalin wa Urusi akaivamia na Cha moto alikipata.....Finland anapoilinda nchi yake yupo tayari kushirikiana na mtu yoyote

Ikumbukwe tu alishirikiana na NAZI jerumani dhidi ya Soviet hivyo hawezi shindwa shirikiana na NATO

Putin kashindwa zicheza karata vizuri kidiplomasia na wazungu wenzie Sasa hajiimalishe tu na bara la Asia
 
Usipende kutumia past events kujipatia reliability of what will happen in present time ..nadhan umenielewa it's like football leo unashinda kesho unafungwa in the likes of Real Madrid na Bayern na Manchester City
Historia ina Tabia ya kujirudia ndio maana watu wanajihami....si mara ya kwanza Russia kuvamia nchi za Magharibi na nchi anazozionea tangia zamani ni Finland Sweden Ukraine na Poland ndio maana zimeamua kujiegemeza na NATO
 
Finland ni taifa pole sana na ndio maana Stalin wa Urusi akaivamia na Cha moto alikipata.....Finland anapoilinda nchi yake yupo tayari kushirikiana na mtu yoyote

Ikumbukwe tu alishirikiana na NAZI jerumani dhidi ya Soviet hivyo hawezi shindwa shirikiana na NATO

Putin kashindwa zicheza karata vizuri kidiplomasia na wazungu wenzie Sasa hajiimalishe tu na bara la Asia
Kwa jinsi tu ulivyoandika hapo..jerumani..hajiimalishe! Yatosha kutambua kwamba huna uelewa wowote katika chochote! Urudi tu porini ukaokote matunda kama wenzio kule hifadhi ya gombe.
 
Kwa jinsi tu ulivyoandika hapo..jerumani..hajiimalishe! Yatosha kutambua kwamba huna uelewa wowote katika chochote! Urudi tu porini ukaokote matunda kama wenzio kule hifadhi ya gombe.
Jerumani au Germany niliandika hivyo ili nikusaidie wale wenye matatizo ya uchungu ambao unapelekea kujiua au depression. Ebu katibiwe kwanza mtindio wa ubongo

Halafu ukipona kajifunze historia sababu ilo SoMo sio lazima ukae darasani kwahiyo usiogope na elimu yako ya kuunga unga ya darasa la 7B
 
Finland haina jeuri hiyo tena. Wafanyabiashara wa Urusi wanamiliki karibia nusu ya Ufini kwa taarifa yako, na Soko kubwa la Finland ni Urusi kwa asilimia 80+, huyo siyo mtu wa kumchokonoa.

Kwa sasa kuna mjinga mmoja tu Waziri Mkuu Sana Marin na rays Sauli Ninistö ambaye anasiasa za kuinga mkono NATO toka mwanzo ndo wanataka kuipeleka Finland kujiunga na NATO.

Wengi wa waFini hawataki kujiunga na NATO kwani kuna mabadiliko makubwa yametokea since 1939. Kwa sasa Finland inaongozwa na feminists, midume imewekwa pembeni. Taifa linatawaliwa na uwoga.
 
Mwaka wa tano mfululizo wa Finnish ni watu wenye furaha duniani
Wasiharibiwe hilo
Ni nchi ya baridi sana ambapo hawaoni mwanga sana yaani ni giza kwenda mbele ila wana furaha sana maana serikali yao inawajali sana wananchi

Nina ndugu huko

Naomba wasipate misukosuko
 
Back
Top Bottom