Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

Tuwekee hapa source inayoonyesha Putin alisema watachuikua Ukraine kwa masaa 3.

Ukishindwa kuweka source then toka hapo nje ya nyumba kisha angalia juu na useme kwa sauti Mara 3 huku ukijipiga piga kifua ukisema 'hakika Mimi nilipewa fuvu kwa ajili ya kushikilia meno tu'.
ww ni kipengelee , kaandika masaa 72 ila ww umeandika masaa 3, ttzo lilianzia hapo
 
Finland anapigwa mimba na Urusi asubuhi na inaingia yote, Finland si nchi hata kidogo ya kuwa na ubavu kwa Russia.
 
Mambo mengine utadhani anaandiks mtoto wa darasa la 4,hivi kwa akili ya kawaida kabisa ukiacha ushabiki.
Nchi za NATO zote zinaiogopa Urusi,halafu anakuja MTU anakwambia Nchi Fulani tu Finland ndio Urusi anaiogopa.Yani Urusi asiohope USA aje aigope Finland hizi ni akili au matope???
 
Finland anapigwa mimba na Urusi asubuhi na inaingia yote, Finland si nchi hata kidogo ya kuwa na ubavu kwa Russia.
Haya yote kayataka Russia mwenyewe kachokoza ugomvi na mtoto mdogo(Ukraine)matokeo yake mtoto kamtoa nundu🤣....Kila mtu ameona udhaifu wa mkubwa kwenye ugomvi na haya ndo matokeo yake Kila mtu anaomba sparing🥊🥊na yeye atest bahati yake🤣🤣
 
Umelipwa shilingi ngapi kueneza propaganda?
Thread sijui ya 10 hii.

Alafu ile thread mama ya huu mgogoro haitaki. Anaikimbia maana kule ukija na habari za kugushi na uchambuzi uchwara unapigwa na 'facts' unatulia.

Kaona aanzishe thread independent kila baada ya dk 5.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Russia anatakiwa kukutana na wendawazimu kama Finland, hao ndiyo hata yeye Russia anawagwaya.
Mwaka 1939 aliivamia Finland ili kuitanua himaya yake ya Soviet, pamoja na uhodari wa Jeshi lake na vifaa vyake vya kivita Russia aliishia kupata hasara kubwa sana kwenye ile winter war, zaidi akaishia kufukuzwa uanachama kutoka The League of Nations kabla haijabadilika na kuwa UN.
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia akaendelea kuzitisha na kuzimavamia nchi za Ulaya ili kuziunganisha ma Soviet na kwa kuwa alikua ni giant, hivyo hakukua na wa kumzuia. Ndipo mwaka 1949 Ulipoanzishwa Umoja wa kujihami wa nchi za Ulaya (NATO), NATO ilianzishwa ili kujihami na Russia and nobody else. Finland hakutaka kujiunga, maana alishaamua hamuogopi na akimleta zake watamalizana.

Hivi majuzi Russia alipowaonya majirani zake kuwa yeyote atakayetaka kujiunga na NATO lazima amshikishe adabu na kweli Ukraine akaanza kusumbuliwa waswahili wanasema akakiona cha moto, ndipo Finland akatangaza kujiunga na NATO, yaani ni kama vile kumwambia “wapangie hao hao mambwiga, mimi huna la kunifanya" na akaenda mbali zaida kwa kuagiza Israeli SPYDER air defense system, mfumo ambao Ukraine aliuomba vita ilipoanza ili kulinda anga lake, lakini Russia alipoona hivyo akaanza kulalamika na kuitisha Israel kuwa Russia haitahusika na Ulinzi wa assets za Israel mchini Syria, kitu ambacho haki make sense, kwani Israel hama anachomtegemea Russia huko Syria maana hata ule mfumo wa Russia wa S-300 hundred si lolote kwa Israel kutimiza mission zake.

Pamoja na hayo Israel aliamua ku back off na kutompatia Ukraine mfumo ule sababu aliona si busara kuupeleka mfumo ule wakati huu vita na yeye ana maslahi na ukaribu na nchi zote mbili, na ndiyo iliyopelekea hata Moscow ikubali Israel kuwa mediator kwenye vita hii.

Lakini Finland ameshaagiza mzigo wake na anaenda kufungiwa,

Leo waziri wake wa Ulinzi amemkumbusha Urusi kwamba ntakulisha biscuit kwenye Vita ya kwenye baridi kama hapo awali cheza uone” hii imakuja baada ya Urusi kusema kwamba Endapo Finland itajiunga atapata Tabu sana”

Wataalamu wa Masuala ya Saikolojia wamemzunguka Putin kumshauri kila mara baada ya kuona kila mission yake haitimii

Mfano Kumrejesha Kibaraka wake UKRAINE na kuiangusha Dola ya Zelensky kaishia kupata hasara yeye


Britanicca

Unaota
 
Kwa jinsi tu ulivyoandika hapo..jerumani..hajiimalishe! Yatosha kutambua kwamba huna uelewa wowote katika chochote! Urudi tu porini ukaokote matunda kama wenzio kule hifadhi ya gombe.
Nikategemea uonyeshe utofauti wa 'uelewa' wako vs unayemkosoa.Kumbe unaishia kuleta maneno matupu.
 
ibaki tu wazi Russia katandikwa Shinda diplomasia kwa influence lakini sio intimidating jirani zako kisa una Nukes

Amepigwa imeisha hiyo
Na huu ndiyo ukweli,Pro Russia hawaamini kilichotokea Ukraine
 
taifa kubwa kama US halikuweza kufanya hivyo kwa LIBYA nchi dhaifu
UKRAINE imebakia vifusi endeleeni kushinda kwenye MEDIA
Huo ndiyo ushindi mnaojivunia,vifusi.Lakini Putin lengo lake kuu limefail vibaya sana
 
[emoji16][emoji16] yaani mtu aliyepigwa na bado ameimega ardhi ya Ukraine kwa 40% yaani hio ardhi ilishakua Ni Mali ya warussi forever.

Hakika Ukraine inashinda Vita.
Maneno matupu,mtu mzima kalambishwa mchanga na Zelensky,mengine ruksa kujifariji hasa hapa JF
 
Mambo mengine utadhani anaandiks mtoto wa darasa la 4,hivi kwa akili ya kawaida kabisa ukiacha ushabiki.
Nchi za NATO zote zinaiogopa Urusi,halafu anakuja MTU anakwambia Nchi Fulani tu Finland ndio Urusi anaiogopa.Yani Urusi asiohope USA aje aigope Finland hizi ni akili au matope???
NATO wanajiongeza kutoukuza mgogoro
 
Russia anatakiwa kukutana na wendawazimu kama Finland, hao ndiyo hata yeye Russia anawagwaya.
Mwaka 1939 aliivamia Finland ili kuitanua himaya yake ya Soviet, pamoja na uhodari wa Jeshi lake na vifaa vyake vya kivita Russia aliishia kupata hasara kubwa sana kwenye ile winter war, zaidi akaishia kufukuzwa uanachama kutoka The League of Nations kabla haijabadilika na kuwa UN.
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia akaendelea kuzitisha na kuzimavamia nchi za Ulaya ili kuziunganisha ma Soviet na kwa kuwa alikua ni giant, hivyo hakukua na wa kumzuia. Ndipo mwaka 1949 Ulipoanzishwa Umoja wa kujihami wa nchi za Ulaya (NATO), NATO ilianzishwa ili kujihami na Russia and nobody else. Finland hakutaka kujiunga, maana alishaamua hamuogopi na akimleta zake watamalizana.

Hivi majuzi Russia alipowaonya majirani zake kuwa yeyote atakayetaka kujiunga na NATO lazima amshikishe adabu na kweli Ukraine akaanza kusumbuliwa waswahili wanasema akakiona cha moto, ndipo Finland akatangaza kujiunga na NATO, yaani ni kama vile kumwambia “wapangie hao hao mambwiga, mimi huna la kunifanya" na akaenda mbali zaida kwa kuagiza Israeli SPYDER air defense system, mfumo ambao Ukraine aliuomba vita ilipoanza ili kulinda anga lake, lakini Russia alipoona hivyo akaanza kulalamika na kuitisha Israel kuwa Russia haitahusika na Ulinzi wa assets za Israel mchini Syria, kitu ambacho haki make sense, kwani Israel hama anachomtegemea Russia huko Syria maana hata ule mfumo wa Russia wa S-300 hundred si lolote kwa Israel kutimiza mission zake.

Pamoja na hayo Israel aliamua ku back off na kutompatia Ukraine mfumo ule sababu aliona si busara kuupeleka mfumo ule wakati huu vita na yeye ana maslahi na ukaribu na nchi zote mbili, na ndiyo iliyopelekea hata Moscow ikubali Israel kuwa mediator kwenye vita hii.

Lakini Finland ameshaagiza mzigo wake na anaenda kufungiwa,

Leo waziri wake wa Ulinzi amemkumbusha Urusi kwamba ntakulisha biscuit kwenye Vita ya kwenye baridi kama hapo awali cheza uone” hii imakuja baada ya Urusi kusema kwamba Endapo Finland itajiunga atapata Tabu sana”

Wataalamu wa Masuala ya Saikolojia wamemzunguka Putin kumshauri kila mara baada ya kuona kila mission yake haitimii

Mfano Kumrejesha Kibaraka wake UKRAINE na kuiangusha Dola ya Zelensky kaishia kupata hasara yeye


Britanicca

Endeleeni tu kuwanyenyekea wamarekani na washirika wake, mafuta yashapanda bei leo babaa,,, this time mtanyooka tu. Walijifanya kumuwekea vikwazo mwanaume, kumbe jamaa anawalia timing tu 😁 sasa wamebaki kulialia tu.
 
Back
Top Bottom