Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

17 December 2024
Moscow, Russia

Mlipuko wa Moscow LIVE: Mkuu wa Kikosi cha Kulinda Nyuklia cha Urusi Igor Kirillov auawa katika mlipuko wa bomu

1734426912354.jpeg


Jenerali wa jeshi la Urusi aliuawa katika mlipuko mjini Moscow siku ya Jumanne. Luteni Jenerali Igor Kirillov, ambaye ni mkuu wa Kikosi cha Kulinda mitambo ya Nyuklia, Biolojia na Kemikali cha Urusi, alikuwa akitoka kwenye jengo la makazi wakati bomu lililofichwa kwenye skuta ya umeme lililipuliwa na kumuua.

Msaidizi wa Kirillov pia aliuawa katika mlipuko uliotokea nje ya jengo la ghorofa huko Ryazansky Prospekt, ambalo lipo umbali wa (barabara) kilomita saba au maili 4 kusini mashariki mwa Ikulu ya Kremlin, shirika la habari la Reuters liliripoti kunukuu Kamati ya Uchunguzi ya Urusi
 
Urusi Wana Uzembe sana
Ama rushwa au ujinga mwingi inakuaje Generali mhimu kama huyu hana Ulinzi wa Kutosha au hata kuwa na Vifaa na mitambo ya Usalama?? Shenzi
 
Urusi Wana Uzembe sana

Kuna idara ya utambuzi ya jeshi la Ukraine Military Intelligence Unit hatari sana, inaongozwa na jamaa ana makovu ya majeraha aliyopata kwa nyakati mbalimbali za opereheni za utumishi wa umma.
 
Kitakachofuata ni hayo majimbo kuitisha kura ya Maoni wataamua wawe sehemu ya Urusi na ndio mchezo umeisha .....Nadhani kwasasa tukubali ipo siku zitawaka kati ya US na Hao jamaa zake na Urusi kwa upande mwingine.

Lakini pia Upande Mwingine simlaumu Mrusi nalaumu Ukraine kutokujitambua wao wanaambiwa usijiunge na hao NATO watakuja Kutusumbua hapa Jirani wanangangania. Hii ni Vita Ya Wababe kila mmoja ana Maslahi yake unadhani EU inaweza kukataa Gas ya Urusi wakati ndio wanatumia kwa kujihami na baridi??

Mtu mwenyewe wanahangaika nae Putin ambae hajali kitisho kabisaaa. . .Putin Hajali na mpaka anachukua hatua Hii hakua na namna kwasababu Ukraine ikijiunga NATO ni hatari zaidi kwao or so waanzishe Ile Cuba Crisis ya Mwaka 1962 nae Russia atege silaha zake kule Venezuela au Cuba....

Ukraine ndio watakaoumia hapa wala hamna kingine..Issue ya vikwazo ni kelele tu....
umeandika kana kwamba Urusi hana majiran ambao ni NATO , mtu mweusi huwa hapend kuumiza akili ,habari anaibeba kama ilivyo East axis wananufaika na watu wa kariba hii , NATO inatumiwa tu kama chambo , aya tuambie Georgia na Moldova walitaka jiunga NATO ?
 
Back
Top Bottom