Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
general wa nchi gani akaenda vitani (front line)?Hahahaaaa.....!
Amepoteza majenerali wangapi?
Kama ni hivyo kwanini sasa Russia wanaingia na meli za kivita ukrain? Ngomba bado mbichiRais wa Urusi, Vladmir Putin amesema kuwa operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine imefanikiwa na kuwa hatoiruhusu nchi hiyo kutumika kama uwanja wa kuitishia Urusi.
Akizungumza katika mkutano wa serikali uliorushwa moja kwa moja kwenye televisheni, Putin amesema operesheni yake inaendelea vizuri kwa kufuata kikamilifu mipango waliyoiweka.
Rais huyo ameongeza kuwa Benki Kuu ya Urusi haina haja ya kuchapisha pesa kwa kuwa nchi hiyo ina rasilimali za kutosha za kifedha za kukabiliana na changamoto za sasa za vikwazo.
Mazungumzo kati ya pande hizo mbili za kivita yanaendelea kwa sasa huku kila mmoja akielezea matumaini ya kupatikana suluhu.
Source: DW
Kulinda amaniKama ni hivyo kwanini sasa Russia wanaingia na meli za kivita ukrain? Ngomba bado mbichi
View attachment 2154009
Mti mkavu wa Tanzania!general wa nchi gani akaenda vitani (front line)?
Acha propagandaKulinda amani
😂 Kawa kama Mzee Yusuph
😅😂Hahahaaaa....... Anakula dengu India.
Usinikumbushe Kyiv kuwa majivu ndani ya masaa kadhaa yajayo,leo siku ya 21 😂😂Ya kuichukua Kiev ndani ya siku 3...😝😝😝😝😝😝
Labda umuweke awe rais wa ukoo wenuKwani nani alisema Kiev inachukuliwa kwenda wapi, wewe nawe!
#Putin4WorldPresident!
Kuangamiza kambi na silaha za wanazi ndo lengo.Malengo yepi yaliyotimia bwashee?
Sasa we ulifkiri ile ni shughuli ya kumtoa mwali huko MsangaHahahaaaa.....!
Amepoteza majenerali wangapi?
Pro Russia wenzio walituhakikishia hapa Kyiv inakwenda na majiKwani nani alisema Kiev inachukuliwa kwenda wapi, wewe nawe!
#Putin4WorldPresident!
Akatawale mpaka Panya wa ukoo wao kabisaLabda umuweke awe rais wa ukoo wenu
Anabugia bagia za ndengu na pilipiliLeo ni siku ya 21 bwashee!
Putin yuko India.
Kwa sasa mguu mmoja Russia mguu mwingine Punjab kwa wahindi!Kuangamiza kambi na silaha za wanazi ndo lengo.
Tayari keshatimiza hilo.
Mission completed
Ukweli Putin ni liability kwa RussiaPutin anahamisha magoli na kusema sizitaki mbichi hizi, alifikiri vita inajua Super Power.
Wananchi wa Russia uchumi wao unarudi kule kule kwa USSR, kupanga foleni hata kwa kununua mkate 🍞 na kuvaa mitumba kutoka nchi za magharibi.
hao walipewa vyeo vya general baada ya vita,russia yuko kwenye operation ukumbuke.hicho cheo ni cha order na advice sio physical warMti mkavu wa Tanzania!
Kumbe yupo KigomaRais wa Urusi, Vladmir Putin amesema kuwa operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine imefanikiwa na kuwa hatoiruhusu nchi hiyo kutumika kama uwanja wa kuitishia Urusi.
Akizungumza katika mkutano wa serikali uliorushwa moja kwa moja kwenye televisheni, Putin amesema operesheni yake inaendelea vizuri kwa kufuata kikamilifu mipango waliyoiweka.
Rais huyo ameongeza kuwa Benki Kuu ya Urusi haina haja ya kuchapisha pesa kwa kuwa nchi hiyo ina rasilimali za kutosha za kifedha za kukabiliana na changamoto za sasa za vikwazo.
Mazungumzo kati ya pande hizo mbili za kivita yanaendelea kwa sasa huku kila mmoja akielezea matumaini ya kupatikana suluhu.
Source: