Putin asema operesheni ya Urusi nchini Ukraine imefanikiwa

Putin asema operesheni ya Urusi nchini Ukraine imefanikiwa

Silas Mayunga 'Mti mkavu' alkuwa Major general (two [emoji93] [emoji93] insiginia), not a General(four [emoji93][emoji93][emoji93][emoji93] insiginia).

Hivyo tofautisha Kati ya Brigade general([emoji93]), Major general ([emoji93][emoji93]), Lieutenant general ([emoji93][emoji93][emoji93]) na General([emoji93][emoji93][emoji93][emoji93]).
Hao wote ni General Bwashee,kinachowatofautisha ni idadi ya nyota tuu.
 
Asipoteze kwani alituma malaika kwenda kupigana? casualties kwenye vita ni kawaida...............cha muhimu malengo kutimia
Inaweza ikawa too late maana jamaa ndo kwanza wanajiandaa kumpa alichokitaka.
Evacuation ya raia inaendelea kwa kasi sana pale Battlefield ili ikianza kazi hamna poo.
Dunia nzima imechukizwa na huyo Prutini
 
Inaweza ikawa too late maana jamaa ndo kwanza wanajiandaa kumpa alichokitaka.
Evacuation ya raia inaendelea kwa kasi sana pale Battlefield ili ikianza kazi hamna poo.
Dunia nzima imechukizwa na huyo Prutini
Imechukizwa kwa mujibu wa wamagharibi......ila kwa wengine putin ni kama mwokozi dhidi ya mifumo onevu ya kibepari
 
Ukiwaeleza wanakudai source ukiwapa source wanampinga hata putin na kutoa kisingizio kingine humu kuna wendawazimu sema hawajijui. Ni bora wote tujitanabaishe kama mashabiki tu. NA WAKATI TUKISHABIKIA TUKUBALIANE KABISA KWAMBA MASHABIKI WA RUSSIA WANAONGOZA KWA MAGOLI,BALL POSSESSION, SHORT ON GOAL,ON TARGET,NDO UKWELI WENYEWE.
 
Br hiyo pichA ya hizo meli Vita ilipigws mwaka 2017 kwenye mazoezi ya kivita yaliyoitwa zapad na sio hivyo BBC imetukaririsha..
Nb. Hiyo headline ya BBC ukiifungua Haina maelezo kabisa ndani yake zaidi ya update za Vita Ukraine.
N
IMG_1189 (1).jpg
 
hakuna sehem kasema lengo limetimia na kukamilika nimamambo yanayofanana ila yanatofautiana
lengo limetimia ila bado halijakamilika ila limetimia
nandio maana hta US lengo lakumuua SADAM lilitimia ila halikukamilika lengo lao ndio maana baada yakumuua wakakaa sana zaidi ya miaka 10s
kwahio RUSSIA bado wapo wapo sana UKRAINE tena sanaaaa
Nipe tofauti ya kukamilika na kutimia.
 
Back
Top Bottom