Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najaribu kufikilia wamarekani wa tandale watajibu nini kuhusu hili bandiko
Kama una ushahidi kashitaki.Humpunguzii kitu, wewe endelea tu kuwapenda na kuona wana akili hao wanaotengeneza ma virus vya maangamizi kwa binadamu na kuja kufanyia majaribio Africa
Hujitambui wala humjui Putin basiMwanzo nilijua wazungu wote walio na nafasi kubwa za kisiasa wanajielewa, kumbe yapo na mazungu ya hovyo, mfano Putin. Nimemdharau sana huyu mzee.
Asante,Hujitambui wala humjui Putin basi
What happened to Stalin's Invision of Finland in 1939/1940 will happen to Putin's Invasion of Ukraine.Rais wa Urusi, Vladmir Putin amesema kuwa operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine imefanikiwa na kuwa hatoiruhusu nchi hiyo kutumika kama uwanja wa kuitishia Urusi.
Akizungumza katika mkutano wa serikali uliorushwa moja kwa moja kwenye televisheni, Putin amesema operesheni yake inaendelea vizuri kwa kufuata kikamilifu mipango waliyoiweka.
Rais huyo ameongeza kuwa Benki Kuu ya Urusi haina haja ya kuchapisha pesa kwa kuwa nchi hiyo ina rasilimali za kutosha za kifedha za kukabiliana na changamoto za sasa za vikwazo.
Mazungumzo kati ya pande hizo mbili za kivita yanaendelea kwa sasa huku kila mmoja akielezea matumaini ya kupatikana suluhu.
Source: DW
Kama lengo la vita limetimia maana yake vita itakuwa imeisha.operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine imefanikiwa na kuwa hatoiruhusu nchi hiyo kutumika kama uwanja wa kuitishia Urusi.
Br hiyo pichA ya hizo meli Vita ilipigws mwaka 2017 kwenye mazoezi ya kivita yaliyoitwa zapad na sio hivyo BBC imetukaririsha..Kama ni hivyo kwanini sasa Russia wanaingia na meli za kivita ukrain? Ngomba bado mbichi
View attachment 2154009
Hakuna lakujibu mzee baba kaishamaliza kaziNajaribu kufikilia wamarekani wa tandale watajibu nini kuhusu hili bandiko
wanateseka[emoji23][emoji23][emoji23]Maboya wanaogopa hadi screensaverView attachment 2154394
wewe endelea na doubtfulOperesheni "imefanikiwa" ama "inaendelea vizuri"? Lipi hasa?
Operesheni "imefanikiwa" kuendana na malengo yote tuliyotangaziwa? Doubtful!
Operesheni "inaendelea vizuri" kuelekea katika malengo yao yote tuliyotangaziwa? Also, doubtful!
hakuna sehem kasema lengo limetimia na kukamilika nimamambo yanayofanana ila yanatofautianaKama lengo la vita limetimia maana yake vita itakuwa imeisha.
Kama ataendelea na vita maana yake bado hajafanikiwa lengo lake.
Tunatarajia kuwa vita imeishaa
Malengo gani hayo,embu tuorodheshee hapa.Asipoteze kwani alituma malaika kwenda kupigana? casualties kwenye vita ni kawaida...............cha muhimu malengo kutimia
Hahahaha mbona Chui wa Karatasi Putin alisema atakaeisaidia Ukraine atakipata cha moto,mbona hajafanya kitu sasa?Masanja ana msaada wa nchi ngapi za Nato? Umeaikia ni kiasi gani cha Silaha kapewa? Na bado anapigwa.
Inaenda RussiaKwani nani alisema Kiev inachukuliwa kwenda wapi, wewe nawe!
#Putin4WorldPresident!
Hawa hapageneral wa nchi gani akaenda vitani (front line)?
Hahahaha kweli Super Power ya mchongo kipindi hiki mmepatikana aisee,kazi yenu kubadili tunes tuu.Kuangamiza kambi na silaha za wanazi ndo lengo.
Tayari keshatimiza hilo.
Mission completed
Kwani Putin alisemaje?Sasa we ulifkiri ile ni shughuli ya kumtoa mwali huko Msanga
Hahahaha vichekesho kama hivi tunabonyeza namba gani?hao walipewa vyeo vya general baada ya vita,russia yuko kwenye operation ukumbuke.hicho cheo ni cha order na advice sio physical war