Putin asema operesheni ya Urusi nchini Ukraine imefanikiwa

Putin anahamisha magoli na kusema sizitaki mbichi hizi, alifikiri vita inajua Super Power.

Wananchi wa Russia uchumi wao unarudi kule kule kwa USSR, kupanga foleni hata kwa kununua mkate 🍞 na kuvaa mitumba kutoka nchi za magharibi.
 
Kama ni hivyo kwanini sasa Russia wanaingia na meli za kivita ukrain? Ngomba bado mbichi

 
Kumbe yupo Kigoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…