Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Hajaelewa huyu mwanaccmIn the battle field, there must be collateral damages, it however doesn’t necessarily mean a defeat.
Kuzuia west wasilete military supplies kupitia Baltic seaKama ni hivyo kwanini sasa Russia wanaingia na meli za kivita ukrain? Ngomba bado mbichi
View attachment 2154009
Silas Mayunga 'Mti mkavu' alkuwa Major general (two [emoji93] [emoji93] insiginia), not a General(four [emoji93][emoji93][emoji93][emoji93] insiginia).Mti mkavu wa Tanzania!
Najaribu kufikilia wamarekani wa tandale watajibu nini kuhusu hili bandiko
Kuinyong'onyeza Ukraine kijeshiMalengo yepi yaliyotimia bwashee?
Mwanzo nilijua wazungu wote walio na nafasi kubwa za kisiasa wanajielewa, kumbe yapo na mazungu ya hovyo, mfano Putin. Nimemdharau sana huyu mzee.Usinikumbushe Kyiv kuwa majivu ndani ya masaa kadhaa yajayo,leo siku yam
Kumbe ulitaka ubishi wa Kigoma tu?Silas Mayunga 'Mti mkavu' alkuwa Major general (two [emoji93] [emoji93] insiginia), not a General(four [emoji93][emoji93][emoji93][emoji93] insiginia).
Hivyo tofautisha Kati ya Brigade general([emoji93]), Major general ([emoji93][emoji93]), Lieutenant general ([emoji93][emoji93][emoji93]) na General([emoji93][emoji93][emoji93][emoji93]).
Kwa msaada wa Punjab?!Kuinyong'onyeza Ukraine kijeshi
Bandiko chungu sana kwa wamarekani wa tandalePutin akisema operation Ukraine imefanikiwa ,elewa kuwa
1. Kwa muda guy Ukraine Haina kabisa jeshi Wala vituo vya anga
2.vita inapiganiwa ndani ya Ukraine hakuna hata jiwe lililowahi kudondoka Russia
3.Russia imedhibiti mipaka karibu yote ya anga la Ukraine na kinachoingia na kutoka angani S400 Ina uwezo wa kudetect na kuattack at a second refer S400 zilizofungwa Belarus kazi zilizofanya.
4. Target karibu zote za Russia, zimeharibu miundombinu ya kijeshi na wanajeshi na kuwaepuka raia hili ni jeshi Bora kabisa kuwahi kutokea,
5.Hakuna NATO,USA, Wala Uk aliyejaribu kusogea kumsaidia Ukraine, wote wamemkimbia kibaraka wao kwa hofu ya kichapo Cha Russia.
6.vikwazo alivyowekewa Russia vinaathiri zaidi NATO, ULAYA, USA ,AFRICA kuliko RUSSIA yenyewe why
A.Russia ndiye msambazaji mkuu wa gesi na fuel kwa Ulaya na marekani
B .Russia anafanya biashara nzuri na China,India na nchi nyingi tu.
C.Russia ana silaha hatari kuliko hao NATO na US mfano ana ngao ya kukinga anga lake automatically director ukishambulia Russia , mfumo wa anga unaweza kuditect shambulio lilipotokea na kujibu automatically by nuclear hii ndio hofu kuu ya mashoga
D. Russia ana natural resource ambazo Ulaya na us hawana.
Humpunguzii kitu, wewe endelea tu kuwapenda na kuona wana akili hao wanaotengeneza ma virus vya maangamizi kwa binadamu na kuja kufanyia majaribio AfricaMwanzo nilijua wazungu wote walio na nafasi kubwa za kisiasa wanajielewa, kumbe yapo na mazungu ya hovyo, mfano Putin. Nimemdharau sana huyu mzee.
Mkuu sorry kwani point ya jamaa hapo ni Ukraine kushinda/kuelemewa au ni kuwa idadi ya ma-generals waliouwawa!?Yaani ni unazi mtupu. Alafu vyombo vya habari vya kiMagharibi navyo vinasambaza huo upuuzi wakati ukweli ni kwamba Ukraine imeelemewa.
Mkuu umesahau kuhusu "denazification" maana alizungumzia mawili kuwa ni moja ya malengo yake(denazification na demilitarization) kwahiyo haya yote amefanikiwa mkuu?Putin akisema operation Ukraine imefanikiwa ,elewa kuwa
1. Kwa muda guy Ukraine Haina kabisa jeshi Wala vituo vya anga
2.vita inapiganiwa ndani ya Ukraine hakuna hata jiwe lililowahi kudondoka Russia
3.Russia imedhibiti mipaka karibu yote ya anga la Ukraine na kinachoingia na kutoka angani S400 Ina uwezo wa kudetect na kuattack at a second refer S400 zilizofungwa Belarus kazi zilizofanya.
4. Target karibu zote za Russia, zimeharibu miundombinu ya kijeshi na wanajeshi na kuwaepuka raia hili ni jeshi Bora kabisa kuwahi kutokea,
5.Hakuna NATO,USA, Wala Uk aliyejaribu kusogea kumsaidia Ukraine, wote wamemkimbia kibaraka wao kwa hofu ya kichapo Cha Russia.
6.vikwazo alivyowekewa Russia vinaathiri zaidi NATO, ULAYA, USA ,AFRICA kuliko RUSSIA yenyewe why
A.Russia ndiye msambazaji mkuu wa gesi na fuel kwa Ulaya na marekani
B .Russia anafanya biashara nzuri na China,India na nchi nyingi tu.
C.Russia ana silaha hatari kuliko hao NATO na US mfano ana ngao ya kukinga anga lake automatically director ukishambulia Russia , mfumo wa anga unaweza kuditect shambulio lilipotokea na kujibu automatically by nuclear hii ndio hofu kuu ya mashoga
D. Russia ana natural resource ambazo Ulaya na us hawana.