Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hao wote ni General Bwashee,kinachowatofautisha ni idadi ya nyota tuu.Silas Mayunga 'Mti mkavu' alkuwa Major general (two [emoji93] [emoji93] insiginia), not a General(four [emoji93][emoji93][emoji93][emoji93] insiginia).
Hivyo tofautisha Kati ya Brigade general([emoji93]), Major general ([emoji93][emoji93]), Lieutenant general ([emoji93][emoji93][emoji93]) na General([emoji93][emoji93][emoji93][emoji93]).
ExactlyWhat happened to Stalin's Invision of Finland in 1939/1940 will happen to Putin's Invasion of Ukraine.
Inaweza ikawa too late maana jamaa ndo kwanza wanajiandaa kumpa alichokitaka.Asipoteze kwani alituma malaika kwenda kupigana? casualties kwenye vita ni kawaida...............cha muhimu malengo kutimia
Imechukizwa kwa mujibu wa wamagharibi......ila kwa wengine putin ni kama mwokozi dhidi ya mifumo onevu ya kibepariInaweza ikawa too late maana jamaa ndo kwanza wanajiandaa kumpa alichokitaka.
Evacuation ya raia inaendelea kwa kasi sana pale Battlefield ili ikianza kazi hamna poo.
Dunia nzima imechukizwa na huyo Prutini
Kama hutaki nenda moscow kabisheMalengo gani hayo,embu tuorodheshee hapa.
Br hiyo pichA ya hizo meli Vita ilipigws mwaka 2017 kwenye mazoezi ya kivita yaliyoitwa zapad na sio hivyo BBC imetukaririsha..
Nb. Hiyo headline ya BBC ukiifungua Haina maelezo kabisa ndani yake zaidi ya update za Vita Ukraine.
N
Nipe tofauti ya kukamilika na kutimia.hakuna sehem kasema lengo limetimia na kukamilika nimamambo yanayofanana ila yanatofautiana
lengo limetimia ila bado halijakamilika ila limetimia
nandio maana hta US lengo lakumuua SADAM lilitimia ila halikukamilika lengo lao ndio maana baada yakumuua wakakaa sana zaidi ya miaka 10s
kwahio RUSSIA bado wapo wapo sana UKRAINE tena sanaaaa