Putin asema sasa yupo tayari kwa mazungumzo ya amani na Serikali ya Ukraine 'kama wanataka mazungumzo'

Putin asema sasa yupo tayari kwa mazungumzo ya amani na Serikali ya Ukraine 'kama wanataka mazungumzo'

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Baada ya kuonesha ubabe wake kwa Ukraine kwa kutangaza uhuru wa majimbo mawili ya mashariki mwa Ukraine na kisha kuingia kijeshi na kuchakaza miundombinu ya jeshi la Ukraine huku Ukraine ikiachwa kwenye mataa na wale iliyodhani watamsaidia (Marekani na NATO), Putin katoa ofa kwa serikali ya Ukraine kuwa yupo tayari kwa mazungumzo na Ukraine.

Akasisitiza kuwa kama viongozi wa Ukraine wanataka kuzungumza. Putin yeye ataka mambo mawili tu, Ukraine isijiunge na NATO, na wasiweke silaha za US na NATO kwenye ardhi ya Ukraine.

Ikumbukwe kuwa mapema leo, rais wa Ukraine alilalamika kuwa alijitahidi kumtafuta ktk simu Putin ili waongee lakini Putin hakupokea simu yake. Pengine Putin aliona kwanza atembeze mkono, ili hata wakiingia kwenye mazungumzo awe na mkono wa juu ktk mazungumzo hayo.
======


A Kremlin spokesman said on Thursday Russian President Vladimir Putin was ready to negotiate a settlement with Kyiv over Ukraine’s “neutrality,” amid an unfolding Russian invasion of its neighbor.

Kremlin press secretary Dmitry Peskov said Putin was prepared to talk with Ukrainian leaders about both neutrality and demilitarization.

“The president formulated his vision of what we would expect from Ukraine in order for the conceptual ‘red lines’,” he told reporters at a Kremlin press briefing, “if the leadership of Ukraine is ready to talk about it.”
 
Rais wa Ukraine amesema dirisha la diplomasia limefungwa.
Ha ha haa...mnyonge hawezi kuwa na option hata siku moja.

Kivita kesha chakazwa mno ndani ya masaa kadhaa. Facilities za kijeshi 74 zikiwemo air bases 11 za Ukraine zimeharibiwa na Russia

 
8e0289b3173d4e99847752fe6f044d4b.jpg
 
Wewe ni mrussia.

Naangalia aljazeera hapa kama puttin kaamua kuitisha mazungumzo ni vile ameshaona kipimo alichopima kimeleta majibu na kipimo kimeonyesha ataipoteza russia yake na ikiwezekana dunia nzima iwapo ataendelea na hiyo vita na wengine wakaamua potelea mbali liwalo na liwe.
20220224_192903.jpg
1645720459333822461443220273635.jpg
 
Put-in wants to demilitarise and de-nazify Ukraine 🙄
Ina maana hao wa-nazi wamejazana Ukraine tu?
 
Back
Top Bottom