Putin atafanya nini baada ya kuiangusha Serikali ya Ukraine? Au alikurupuka kwa hasira?

Putin atafanya nini baada ya kuiangusha Serikali ya Ukraine? Au alikurupuka kwa hasira?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wakuu habari, Russia yupo na uwezekano mkubwa wa kuiangusha Serikali ya Ukraine, japo Ukraine anaonyesha ustahimilivu lakini hawezi kudumu milele.

Sasa tukiangalia kiini cha hii vita ni Serikali ya Ukraine kukataa ,matakwa ya Putin ambayo yangemfanya Putin kuwa na control na sera za Ukraine, ambayo ilikuwa karibu sana na maadui zake

So ili kutimiza malengo yake, Putin baada ya kushinda vita, itabidi aunde Serikali mpya Ukraine na kuweka majeshi yake kwa muda pale kusimamia stability na kuhakikisha kuwa Serikali hiyo haitaenda kinyume na matakwa ya Urusi. Na hapa ndio penye kazi haswa.

Marekani keshaangusha Serikali kadhaa na kuweka serikali zake lakini kuzi maintain inakuwa ni kazi sana, sababu ya upinzani wa ndani na gharama, na anapoondoka tu Serikali hupinduliwa au hugeuka na kurudi walipotoka, mfano wa karibu ni Afghanistan

Sasa kwa siasa zilivyo Ukraine ni kuwa wananchi wengi hawaitaki Urusi na pia nchi za Magharibi zimeielemea Urusi kwa mashinikizo makali, Je Urusi atafanyaje? Ni kama Putin kaanzisha vita kwa hasira, na hajui ataimalizaje au ana plan gani? Karibuni tuchangie
 
wakuu habari, Russia yupo na uwezekano mkubwa wa kuiangusha Serikali ya Ukraine, japo Ukraine anaonyesha ustahimilivu lakini hawezi kudumu milele...
naunga mkono hoja,

kwamba urusi anaweza kuishnda serikali ya ukraine kwa sasa,

lakin raia hawaitaki urusi

atapata shda kubwa kuitawala au labda alijua kuwa raia watamuunga mkono,
 
Kwa vikwazo anavyoendelea kupigwa, tena vizito. Uvamizi wake hata kama ataiangusha serikali ya Ukraine, bado uchumi wake wa kuisaidia serikali mpya hautakuwepo,

Time will tell, yaani kufikia mwezi mach katikati civilian's crisis itakuwa imeshika kasi ya hatari Urus na the end of Putin utakuwa umefika mwisho
 
Kwa vikwazo anavyoendelea kupigwa,tena vizito. Uvamizi wake hata kama ataiangusha serikali ya Ukraine,bado uchumi wake wa kuisaidia serikali mpya hautakuwepo,

Time will tell,yaani kufikia mwezi mach katikati civilian's crisis itakuwa imeshika kasi ya hatari Urus na the end of Putin utakuwa umefika mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atakua na kazi mbili. Kwanza kusimamisha uchumi wa ukraine 🇺🇦 ambao utakua umeharibiwa kutokana na vita, pili kupambana na vikwazo vya magharibi ili kunusuru uchumi wake.

Huyu mzee alikurupuka sana na ubabe wake wa mwaka 47
 
wakuu habari, Russia yupo na uwezekano mkubwa wa kuiangusha Serikali ya Ukraine, japo Ukraine anaonyesha ustahimilivu lakini hawezi kudumu milele.

Sasa tukiangalia kiini cha hii vita ni Serikali ya Ukraine kukataa ,matakwa ya Putin ambayo yangemfanya Putin kuwa na control na sera za Ukraine, ambayo ilikuwa karibu sana na maadui zake

So ili kutimiza malengo yake, Putin baada ya kushinda vita, itabidi aunde Serikali mpya Ukraine na kuweka majeshi yake kwa muda pale kusimamia stability na kuhakikisha kuwa Serikali hiyo haitaenda kinyume na matakwa ya Urusi. Na hapa ndio penye kazi haswa.

Marekani keshaangusha Serikali kadhaa na kuweka serikali zake lakini kuzi maintain inakuwa ni kazi sana, sababu ya upinzani wa ndani na gharama, na anapoondoka tu Serikali hupinduliwa au hugeuka na kurudi walipotoka, mfano wa karibu ni Afghanistan

Sasa kwa siasa zilivyo Ukraine ni kuwa wananchi wengi hawaitaki Urusi na pia nchi za Magharibi zimeielemea Urusi kwa mashinikizo makali, Je Urusi atafanyaje? Ni kama Putin kaanzisha vita kwa hasira, na hajui ataimalizaje au ana plan gani? Karibuni tuchangie

Putin hataki kuitawala Ukraine. Anachokipinga ni Ukraine kujiunga na EU na hatimaye NATO.

Hii ni kwasababu Ukraine ni nchi ya kimkakati kwa Urusi hususani kiusalama na pia kibiashara hivyo NATO ikiweka silaha zake Ukraine, usalama wa Urusi unakuwa mashakani. Kumbuka NATO inaichukulia Urusi kama adui yake ndiyo maana Urusi alipoomba kujiunga nao walimkatalia.

So Putin anataka Ukraine ibaki nchi huru isiyopokea maelekezo kutoka NATO au EU.
 
Siku hizi JF inapoteza hadhi yake. Mbumbumbu kama huyu naye karuhusiwa kuwa na account!? Nawashauri mods. Kwa sasa mtu akitaka kujiunga JF alete barua ya maombi toka serikali za mitaa.
Oyaaa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Putin hataki kuitawala Ukraine. Anachokipinga ni Ukraine kujiunga na EU na hatimaye NATO.

Hii ni kwasababu Ukraine ni nchi ya kimkakati kwa Urusi hususani kiusalama na pia kibiashara hivyo NATO ikiweka silaha zake Ukraine, usalama wa Urusi unakuwa mashakani. Kumbuka NATO inaichukulia Urusi kama adui yake ndiyo maana Urusi alipoomba kujiunga nao walimkatalia.

So Putin anataka Ukraine ibaki nchi huru isiyopokea maelekezo kutoka NATO au EU.
Hilo nalifahamu na nimelieleza, ugumu unakuja atatekelezaje hilo baada ya kuiangusha serikali ya ukraine.?
 
Back
Top Bottom