Putin atafanya nini baada ya kuiangusha Serikali ya Ukraine? Au alikurupuka kwa hasira?

Putin atafanya nini baada ya kuiangusha Serikali ya Ukraine? Au alikurupuka kwa hasira?

Kumbe haujamwelewa Putin? Ni hivi, anazuia hiyo seikali isijiunge na NATO
Kwani kabla ya vita mbona walikuwa bado hawajajiunga nato ?

Kama hawakujiunga hata kabla ya vita kulikuwa na haja gani ya kuanzisha vita ?
 
Anachokipinga ni Ukraine kujiunga na EU na hatimaye NATO
Mbona walikuwa hawajajiunga hata kabbla ya hii vita ?

Kuna haja gani ya mrusi kutumia hoja hiyo kuhalalisha uvamizi huu wakati hata kabla ya vita hawakujiunga NATO ?
 
Kwani kabla ya vita mbona walikuwa bado hawajajiunga nato ?

Kama hawakujiunga hata kabla ya vita kulikuwa na haja gani ya kuanzisha vita ?
Alitaka kuhakikishiwa na NATO wenyewe kuwa Ukraine haitakaa iwe mwanachama wao, wakakata kumpa hiyo guarantee
 
Putin hataki kuitawala Ukraine. Anachokipinga ni Ukraine kujiunga na EU na hatimaye NATO.

Hii ni kwasababu Ukraine ni nchi ya kimkakati kwa Urusi hususani kiusalama na pia kibiashara hivyo NATO ikiweka silaha zake Ukraine, usalama wa Urusi unakuwa mashakani. Kumbuka NATO inaichukulia Urusi kama adui yake ndiyo maana Urusi alipoomba kujiunga nao walimkatalia.

So Putin anataka Ukraine ibaki nchi huru isiyopokea maelekezo kutoka NATO au EU.
Mkuu mimi namwona Putin kama mtu ambaye anajiona yeye ni zaidi ya wengine, yeye anajua na ana uelewa mkubwa, anaona bila yeye bara la Asia na Asia ya Mbali itahodhiwa na Ulaya au Amerika. Yeye aliomba kujiunga na NATO, Ukraine hakupinga wala kulalamika. Leo Ukraine anaomba kujiunga na NATO imekuwa nongwa kwake na vita juu.

NATO walimkataa kujiunga nao kwa sababu wanajua nia na matamanio yake: > apate nguvu za kuzinyanyasa nchi ambazo zilikuwa majimbo USSR. > apate mwanya wa kujua nini kipo ndani ya NATO na hatimaye kuisambaratisha. > Apate mwanya wa ushawishi wa yeye kuwa RAIS wa Urusi wa kudumu kwa mbinu yake ya kujiongezea muda wa kukaa madarakani Rais ama kuwa Waziri Mkuu. Hii vita itamgharimu sana.
 
Sasa

Kwa nini asimpige nato moja kwa moja ambae hataki kutoa guarantee ?
ingekuwa kazi kubwa zaidi. Ukraine alikuwa kapewa sharti la kuweka kwenye serikali yake watu watakaohakikisha hajiungi NATO, akakataa pia
 
Uliwapa shida sana walimu, very slow learner. Hopefully umeelewa
slow learner hapa nadhani ni wewe maana majibu unayonipa nishayaeleza kwenye uzi wangu, pengine umejibu bila kusoma
Swali ni ataweza vipi kuweka serikali kibaraka kwa political resistance iliyopo Ukraine na pressure za West?
 
ingekuwa kazi kubwa zaidi. Ukraine alikuwa kapewa sharti la kuweka kwenye serikali yake watu watakaohakikisha hajiungi NATO, akakataa pia
Basi yeye ndo alitakiwa ampige adui yake NATO,kama ni ngumu basi akaona ampoge ukraine huo ni uonevu.

Sawasawa na mtu kakuchokoza alafu yule mtu ni jitu kubwa huliwezi basi ukatafuta mwanaye mdogomdogo ukaanza kumpiga EBO
 
Mkuu mimi namwona Putin kama mtu ambaye anajiona yeye ni zaidi ya wengine, yeye anajua na ana uelewa mkubwa, anaona bila yeye bara la Asia na Asia ya Mbali itahodhiwa na Ulaya au Amerika. Yeye aliomba kujiunga na NATO, Ukraine hakupinga wala kulalamika. Leo Ukraine anaomba kujiunga na NATO imekuwa nongwa kwake na vita juu.

NATO walimkataa kujiunga nao kwa sababu wanajua nia na matamanio yake: > apate nguvu za kuzinyanyasa nchi ambazo zilikuwa majimbo USSR. > apate mwanya wa kujua nini kipo ndani ya NATO na hatimaye kuisambaratisha. > Apate mwanya wa ushawishi wa yeye kuwa RAIS wa Urusi wa kudumu kwa mbinu yake ya kujiongezea muda wa kukaa madarakani Rais ama kuwa Waziri Mkuu. Hii vita itamgharimu sana.

Ni mtazamo wako kutokana na unavyoichanganua hali halisi na historia kwa mtazamo wako. Sina sababu ya kupingana na mtazamo wako, that makes us different
 
Mkuu mimi namwona Putin kama mtu ambaye anajiona yeye ni zaidi ya wengine, yeye anajua na ana uelewa mkubwa, anaona bila yeye bara la Asia na Asia ya Mbali itahodhiwa na Ulaya au Amerika. Yeye aliomba kujiunga na NATO, Ukraine hakupinga wala kulalamika. Leo Ukraine anaomba kujiunga na NATO imekuwa nongwa kwake na vita juu.

NATO walimkataa kujiunga nao kwa sababu wanajua nia na matamanio yake: > apate nguvu za kuzinyanyasa nchi ambazo zilikuwa majimbo USSR. > apate mwanya wa kujua nini kipo ndani ya NATO na hatimaye kuisambaratisha. > Apate mwanya wa ushawishi wa yeye kuwa RAIS wa Urusi wa kudumu kwa mbinu yake ya kujiongezea muda wa kukaa madarakani Rais ama kuwa Waziri Mkuu. Hii vita itamgharimu sana.

Nakuomba kama una data na muda spare time to build a deeper understanding of the underlying problem through this.

Perhaps this might help a bit.

 
Siku hizi JF inapoteza hadhi yake. Mbumbumbu kama huyu naye karuhusiwa kuwa na account!? Nawashauri mods. Kwa sasa mtu akitaka kujiunga JF alete barua ya maombi toka serikali za mitaa.
Umbumbumbu wake ni upi!? Hebu elezea.
 
Nakuomba kama una data na muda spare time to build a deeper understanding of the underlying problem through this.

Perhaps this might help a bit.


Mkuu nimemsikiliza na nimemuelewa. Kwa ufupi ni kama nilivyo elezea nadhani jana: Kwamba Urusi anajaribu kwa kila hali kuona USSR ina rudi (na Ukraine ni USSR) kama zamani ikiwa na nguvu za kijeshi na za kiuchumi na ikiwezekana kuzipata nchi ndogondogo za Ulaya zilizopo mashariki (zinazo pakana na Urusi). Aidha Ulaya (NATO) hapendi kuona ndoto za Urusi zikotia. Lengo la NATO ni kuhakikisha njia zote za kijeshi na kiuchumi zinaratibiwa nao hapo Ulaya na Asia. Tatizo lingine, NATO wamuona Putin kama mlevi wa madaraka na hivyo mtu hatari kwa ustawi wa Ulaya.
 
wewe ni mpumbavu kweli kweli unadhani Putin amekurupuka tu... kwamba wewe una akili kuliko yeye !!!!...mpango umeratibiwa zaidi ya miaka saba nyuma kwamba itakuwaje wewe leo ndio unakurupuka!!!!..yote hayo ya vikwazo unavyoviona wenzio walishayajadili miaka saba iliyopita na wakajiridhisha kuwa sasa wanaweza kuanza oparation baada ya ramani nzima kukamilika
 
Mkuu nimemsikiliza na nimemuelewa. Kwa ufupi ni kama nilivyo elezea nadhani jana: Kwamba Urusi anajaribu kwa kila hali kuona USSR ina rudi (na Ukraine ni USSR) kama zamani ikiwa na nguvu za kijeshi na za kiuchumi na ikiwezekana kuzipata nchi ndogondogo za Ulaya zilizopo mashariki (zinazo pakana na Urusi). Aidha Ulaya (NATO) hapendi kuona ndoto za Urusi zikotia. Lengo la NATO ni kuhakikisha njia zote za kijeshi na kiuchumi zinaratibiwa nao hapo Ulaya na Asia. Tatizo lingine, NATO wamuona Putin kama mlevi wa madaraka na hivyo mtu hatari kwa ustawi wa Ulaya.
Nchi nyingi zilizokuwepo USSR tayari zipo NATO, na kuna nchi zinataka kujiunga na NATO baada ya Urusi kuvamia Ukraine, naona kama ana task ngumu sana..Maana kuunda empirte kama ya USSR anatakiwa awe na ushaiwshi wa kisiasa na nguvu za kijeshi
 
wewe ni mpumbavu kweli kweli unadhani Putin amekurupuka tu... kwamba wewe una akili kuliko yeye !!!!...mpango umeratibiwa zaidi ya miaka saba nyuma kwamba itakuwaje wewe leo ndio unakurupuka!!!!..yote hayo ya vikwazo unavyoviona wenzio walishayajadili miaka saba iliyopita na wakajiridhisha kuwa sasa wanaweza kuanza oparation baada ya ramani nzima kukamilika
kumbeee..na hiyo mipango ni ipi sasa maana ndio swali langu nimeuliza
 
slow learner hapa nadhani ni wewe maana majibu unayonipa nishayaeleza kwenye uzi wangu, pengine umejibu bila kusoma
Swali ni ataweza vipi kuweka serikali kibaraka kwa political resistance iliyopo Ukraine na pressure za West?
Nikusaidie, let me be nice to a mentally challenged individual, embu elewa, kwanza nature of the conflict. Ni sphere of influence, a geographical location ambayo Russia haitaki military presense ya western countries i.e America and her allies NATO. Hiyo serikali iliyopo madarakani inataka kujiunga NATO maana yake ni kwamba, NATO itakua na pilika pilika jirani na Russia. Sasa lengo la Russia ni kuitoa hiyo serikali na kama hakutakua na vibaraka basi ni kuikalia kimabavu Ukraine mpaka hapo vibaraka watakapopatikana au watakapopata akili. UZI wako unaonesha hauna ulewa wa hili jambo na uwezo wako wa kuelewa ni mdogo.
 
Siku hizi JF inapoteza hadhi yake. Mbumbumbu kama huyu naye karuhusiwa kuwa na account!? Nawashauri mods. Kwa sasa mtu akitaka kujiunga JF alete barua ya maombi toka serikali za mitaa.

Inaonyesha hata ukiingia maktaba unaweza kupinga kitabu utazani umekiandika wewe.mwenzako kawa na wazo na ufikiri.sasa ulitaka hafanane na wewe akili finyu.
ndio nyie mliopo mnaorudisha nyuma hata mambo mengine na utakiwi kabisa kuishi USA maana utakuwa idiot wa dream country
 
Back
Top Bottom