Putin atafanya nini baada ya kuiangusha Serikali ya Ukraine? Au alikurupuka kwa hasira?

Putin atafanya nini baada ya kuiangusha Serikali ya Ukraine? Au alikurupuka kwa hasira?

Mkiambiwa Dictators sio wazuri muwe mnaelewa. Russian federation watapata tabi sana na hii vita italitesa hilo taifa kiasi watachapana wenyewe kwa wenyewe nakugawana vipande. Hakuna nchi ulaya inafurahia kile kinaendelea Ukraine na kwa taarifa za siri idara za usalama zinajuwa why Russian wameanza hii vita na ili kumuonyesha ni mpumbavu wamesema hawatoenda kuipigania Ukraine ila putin will pay high price... Kiufupi Putin watamuondoa na kwa data zipo kufika July2022 Russian watakuwa na hali mbaya ya uchumi..
Sasa Kama Russia ndiye atakaye umia peke yake kiuchumi kwanini kila siku kukicha wanapiga simu cremlin kwa bwana Putin na kumuomba asitishe Vita !? Wanaogopa Nini !? Wakati wanasilaha ya vikwazo dhidi ya Russia , kwanini wasiendelee kuweka vikwazo tu bila kumfuata mrusi na kumuomba Vita iiishe !?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tukishamalizana na Ukraine, tutawachimbia mkwara mzito vile vinchi tunavyopakana navyo vijitoe NATO la sivyo tutavikatia supply ya gesi na mafuta vikanunue huko kwenye NATO yao kwa bei ya kuruka.
Vikiendelea na ubishi tunavipelekea Moto kwa mpigo kuliko wa Ukraine
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]namna hiyo
 
Yaani kaeni mkijua endapo Russia akimaliza salama hii operation yake huko Ukraine Basi itatokea kuwa taifa linalo ogopwa mnooo yaani ile hofu ya kuogopwa kwa Russia ita upgrade Mara 5, na hapo ndio Russia itakuwa umezidi kujiweka katk mazingira chanya ya kuuza silaha zake na kuongeza ushawishi ktk medani za kisiasa na kijeshi ,

Yaaani Kazi mnayo Sana [emoji16][emoji16]
 
Wakuu habari, Russia yupo na uwezekano mkubwa wa kuiangusha Serikali ya Ukraine, japo Ukraine anaonyesha ustahimilivu lakini hawezi kudumu milele.

Sasa tukiangalia kiini cha hii vita ni Serikali ya Ukraine kukataa ,matakwa ya Putin ambayo yangemfanya Putin kuwa na control na sera za Ukraine, ambayo ilikuwa karibu sana na maadui zake

So ili kutimiza malengo yake, Putin baada ya kushinda vita, itabidi aunde Serikali mpya Ukraine na kuweka majeshi yake kwa muda pale kusimamia stability na kuhakikisha kuwa Serikali hiyo haitaenda kinyume na matakwa ya Urusi. Na hapa ndio penye kazi haswa.

Marekani keshaangusha Serikali kadhaa na kuweka serikali zake lakini kuzi maintain inakuwa ni kazi sana, sababu ya upinzani wa ndani na gharama, na anapoondoka tu Serikali hupinduliwa au hugeuka na kurudi walipotoka, mfano wa karibu ni Afghanistan

Sasa kwa siasa zilivyo Ukraine ni kuwa wananchi wengi hawaitaki Urusi na pia nchi za Magharibi zimeielemea Urusi kwa mashinikizo makali, Je Urusi atafanyaje? Ni kama Putin kaanzisha vita kwa hasira, na hajui ataimalizaje au ana plan gani? Karibuni tuchangie
Wasoviet hawataki kitu ila wataiacha Ukraine kama Libya
 
Kwa vikwazo anavyoendelea kupigwa, tena vizito. Uvamizi wake hata kama ataiangusha serikali ya Ukraine, bado uchumi wake wa kuisaidia serikali mpya hautakuwepo,

Time will tell, yaani kufikia mwezi mach katikati civilian's crisis itakuwa imeshika kasi ya hatari Urus na the end of Putin utakuwa umefika mwisho
vp ule mwezi machi c ndio huu unaelekea ukingoni ama tungojee mwezi machi wa mwakani?
RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Mkiambiwa Dictators sio wazuri muwe mnaelewa. Russian federation watapata tabi sana na hii vita italitesa hilo taifa kiasi watachapana wenyewe kwa wenyewe nakugawana vipande. Hakuna nchi ulaya inafurahia kile kinaendelea Ukraine na kwa taarifa za siri idara za usalama zinajuwa why Russian wameanza hii vita na ili kumuonyesha ni mpumbavu wamesema hawatoenda kuipigania Ukraine ila putin will pay high price... Kiufupi Putin watamuondoa na kwa data zipo kufika July2022 Russian watakuwa na hali mbaya ya uchumi..
taarifa za siri unazijua wewe Tumaini halaf FSB hawazijui
maajabu haya[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu mimi namwona Putin kama mtu ambaye anajiona yeye ni zaidi ya wengine, yeye anajua na ana uelewa mkubwa, anaona bila yeye bara la Asia na Asia ya Mbali itahodhiwa na Ulaya au Amerika. Yeye aliomba kujiunga na NATO, Ukraine hakupinga wala kulalamika. Leo Ukraine anaomba kujiunga na NATO imekuwa nongwa kwake na vita juu.

NATO walimkataa kujiunga nao kwa sababu wanajua nia na matamanio yake: > apate nguvu za kuzinyanyasa nchi ambazo zilikuwa majimbo USSR. > apate mwanya wa kujua nini kipo ndani ya NATO na hatimaye kuisambaratisha. > Apate mwanya wa ushawishi wa yeye kuwa RAIS wa Urusi wa kudumu kwa mbinu yake ya kujiongezea muda wa kukaa madarakani Rais ama kuwa Waziri Mkuu. Hii vita itamgharimu sana.
PUTIN sio KAGAME
 
Siku hizi JF inapoteza hadhi yake. Mbumbumbu kama huyu naye karuhusiwa kuwa na account!? Nawashauri mods. Kwa sasa mtu akitaka kujiunga JF alete barua ya maombi toka serikali za mitaa.
Nasisi sote tupokonywe uanachama ili tuombe upya kwa utaratibu mpya...
 
Back
Top Bottom