green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
NATO ameshafunga mifumo ya kuzuia makombora pale poland ,NATO sio wajinga kama Putin anavyodhania hawezi kushambulia ndani ya Russia huku wakijua hawana kinga .
Hao NATO nao wanazo Nukra za kutosha putin ajue hata yeye mauaji yanamuhusu alishambulia naye anashambuliwa.asiwe mjinga mjinga
USSR
Shida inaanzia hapo inakuwaje mtu mzima rais na akili zake atume vikosi kuvamia nchi nyingine tena jirani bila haya auwe watoto na wanawakeBinadamu wajinga sana kila siku kutaka kupigana , kila mtu abaki kweny nchi yake ndio kupunguza matatizo
Shida ya Putin ndo hiyo , akipiga nyuklia na yeye ameisha. Warusi wako tayari wateketee kisa wanataka mikoa 4 ya Ukraine? Hiyo ni sababu ndogo ya kusababisha vita ya 3 ya dunia. Pia siku nyingine atavamia nchi yoyote jirani halafu atishie nyuklia. USA, UK, France, wana nyukilia. Huwezi tishia nyuklia na wakati na wao wanazo nyuklia, anaona wazungu wa NATO ni waoga wa vita ndo maana anajaribu kutishia, mwenzake China hawezi kujiingiza kwenye vita vya nyuklia. Uzuri vita vya nyuklia havina mshindi atalipwa na wao watalipua, makombora yatakuwa yanapishana angani na baharini. Mwenye air defence system nzuri ndo atapona.Ila kuna uwezekano mkubwa wa Rusia kuwahi kuteketea kabla ya nchi zote za NATO, Africa tujiandae kupokea wakimbizi toka Rusia na Nchi za NATONATO ameshafunga mifumo ya kuzuia makombora pale poland ,NATO sio wajinga kama Putin anavyodhania hawezi kushambulia ndani ya Russia huku wakijua hawana kinga .
Hao NATO nao wanazo Nukra za kutosha putin ajue hata yeye mauaji yanamuhusu alishambulia naye anashambuliwa.asiwe mjinga mjinga
USSR
Si mara ya kwanza kusema hivyo.⚠️BREAKING NEWS⚠️☢️☢️☢️☢️
Putin amesema NATO inafanya makosa makubwa kushambulia ndani ya Russia, Jibu la Russia itakua na sehemu mbili Kuanzisha Vita vya tatu vya Dunia na kuiangamiza NATO au Kuwa twanga Nyuklia☢️☢️☢️
Putin:
NATO is making big mistake to strike inside Russia, we will destroy NATO either by fighting world war III or by nuclear weapons .
Russia ni mbabe, mgonvi, arrogant, na asiye weza kukaa vizuri na majirani zake kwa njia za ushawishi. Anataka wafanye yeye atakavyo kwa lazima. Karibu a kila jirani yake amegombana naye.Shida ya Putin ndo hiyo , akipiga nyuklia na yeye ameisha. Warusi wako tayari wateketee kisa wanataka mikoa 4 ya Ukraine? Hiyo ni sababu ndogo ya kusababisha vita ya 3 ya dunia. Pia siku nyingine atavamia nchi yoyote jirani halafu atishie nyuklia. USA, UK, France, wana nyukilia. Huwezi tishia nyuklia na wakati na wao wanazo nyuklia, anaona wazungu wa NATO ni waoga wa vita ndo maana anajaribu kutishia, mwenzake China hawezi kujiingiza kwenye vita vya nyuklia. Uzuri vita vya nyuklia havina mshindi atalipwa na wao watalipua, makombora yatakuwa yanapishana angani na baharini. Mwenye air defence system nzuri ndo atapona.Ila kuna uwezekano mkubwa wa Rusia kuwahi kuteketea kabla ya nchi zote za NATO, Africa tujiandae kupokea wakimbizi toka Rusia na Nchi za NATO
Na wewe unaamini itatokea?⚠️BREAKING NEWS⚠️
Putin:
If Ukraine joins NATO , we will not wait a second to remove Ukraine and NATO from the map of the world.
Russia and china started preparing their armies to combat NATO. China supports Russia against Ukraine and West.
Huu ni ujinga mtu yupo America ila majeshi yake yapo kila konaShida inaanzia hapo inakuwaje mtu mzima rais na akili zake atume vikosi kuvamia nchi nyingine tena jirani bila haya auwe watoto na wanawake
USSR
Debe tupu haliachi kutika.BREAKING NEWS
Putin amesema NATO inafanya makosa makubwa kushambulia ndani ya Russia, Jibu la Russia itakua na sehemu mbili kuanzisha Vita vya tatu vya Dunia na kuiangamiza NATO au kuwatwanga Nyuklia.
NATO is making big mistake to strike inside Russia, we will destroy NATO either by fighting world war III or by nuclear weapons.
View attachment 3040010View attachment 3040011
Mifumo ya NATO ndio hii inayobondwa kila siku huko Ukraine na Israel...Kinzal na Hypersonic haizuiliki na Mfumo wowote ulinzi uliopo kwasasaNATO ameshafunga mifumo ya kuzuia makombora pale poland ,NATO sio wajinga kama Putin anavyodhania hawezi kushambulia ndani ya Russia huku wakijua hawana kinga .
Hao NATO nao wanazo Nukra za kutosha putin ajue hata yeye mauaji yanamuhusu alishambulia naye anashambuliwa.