Putin atahadharisha ataingamiza NATO kwa WWIII au Nyuklia

Putin atahadharisha ataingamiza NATO kwa WWIII au Nyuklia

Shida ya Putin ndo hiyo , akipiga nyuklia na yeye ameisha. Warusi wako tayari wateketee kisa wanataka mikoa 4 ya Ukraine? Hiyo ni sababu ndogo ya kusababisha vita ya 3 ya dunia. Pia siku nyingine atavamia nchi yoyote jirani halafu atishie nyuklia. USA, UK, France, wana nyukilia. Huwezi tishia nyuklia na wakati na wao wanazo nyuklia, anaona wazungu wa NATO ni waoga wa vita ndo maana anajaribu kutishia, mwenzake China hawezi kujiingiza kwenye vita vya nyuklia. Uzuri vita vya nyuklia havina mshindi atalipwa na wao watalipua, makombora yatakuwa yanapishana angani na baharini. Mwenye air defence system nzuri ndo atapona.Ila kuna uwezekano mkubwa wa Rusia kuwahi kuteketea kabla ya nchi zote za NATO, Africa tujiandae kupokea wakimbizi toka Rusia na Nchi za NATO
Uwapokee mara mbili. Wapo warusi wa kutosha wameingia hapa bongo nyie endeleeni kushangilia simba n yanga. Time haiko upande wetu aisee. Tujiandae. Wewe unaona mwarabu anajitanua Africa sisi bado tumelala. Mchina kajitanua Africa bado tumelala.
 
NATO ameshafunga mifumo ya kuzuia makombora pale poland ,NATO sio wajinga kama Putin anavyodhania hawezi kushambulia ndani ya Russia huku wakijua hawana kinga .

Hao NATO nao wanazo Nukra za kutosha putin ajue hata yeye mauaji yanamuhusu alishambulia naye anashambuliwa.asiwe mjinga mjinga

USSR
Kufunga Kinga ya makombora haikupi uhakika 100% kuwa makombora hayatopita maana Russians Wana mifumo Bora ya ulinzi na missiles zinapenya au Israel makombora ya Hezbollah yanapita mengine yanatunguliwa kwahyo usianzishe ugomvi ukafikiri kwako hakutoguswa sababu ya air defense.
 
BREAKING NEWS

Putin amesema NATO inafanya makosa makubwa kushambulia ndani ya Russia, Jibu la Russia itakua na sehemu mbili kuanzisha Vita vya tatu vya Dunia na kuiangamiza NATO au kuwatwanga Nyuklia.

NATO is making big mistake to strike inside Russia, we will destroy NATO either by fighting world war III or by nuclear weapons.

View attachment 3040010View attachment 3040011
Putin ni mlevi wa wap..atawatwanga na nyuklia afu wao wanamtazama tuu???
 
Kufunga Kinga ya makombora haikupi uhakika 100% kuwa makombora hayatopita maana Russians Wana mifumo Bora ya ulinzi na missiles zinapenya au Israel makombora ya Hezbollah yanapita mengine yanatunguliwa kwahyo usianzishe ugomvi ukafikiri kwako hakutoguswa sababu ya air defense
Mpe elimu huyo mwanamgambo wa Ukraine 😅
 
Kufunga Kinga ya makombora haikupi uhakika 100% kuwa makombora hayatopita maana Russians Wana mifumo Bora ya ulinzi na missiles zinapenya au Israel makombora ya Hezbollah yanapita mengine yanatunguliwa kwahyo usianzishe ugomvi ukafikiri kwako hakutoguswa sababu ya air defense.
Hujui umuhimu wa air defence raia mmoja wewe , unadhani kelele za vita vyote tangu enzi za Clinton Russia alikuwa hataki nini zaidi ya THAAD ?

Hakuta nchi zilizo karibu yake ziingie NATO sasa zote zinaingia ukrane ndio inakuwa ya mwisho mwaka huu ,hakutaka ujenzi wa air defence poland tayari na soon Sweden na ukrane zinajengwa na hayo maeneo yanachukuliwa kiufupi hakuna alilofanya zaidi ya kumalizana jeshi lake ambalo kwa sasa linakodi mamluki nje huko India, Iran na PDRK hana la maana

USSR
 
Hio Nuclear imeisha kuwa nyimbo Russia kuwatisha Nato n Israel kuwatisha Hamasi, Hezbullah na Iran.

Mimi nimependa kitu kimoja Yahya Sinwar kasema hatishiki na Vifaru. Ndege za vita na hata Nuclear sababu anamini kufa ni amri ya Mungu tu sio Nuclear au maboom n.k
 
NATO ameshafunga mifumo ya kuzuia makombora pale poland ,NATO sio wajinga kama Putin anavyodhania hawezi kushambulia ndani ya Russia huku wakijua hawana kinga .

Hao NATO nao wanazo Nukra za kutosha putin ajue hata yeye mauaji yanamuhusu alishambulia naye anashambuliwa.asiwe mjinga mjinga

USSR
Yaani wewe mtu wakawaida amabae hata kutengeneza kijiko nchi yako imeshindwa ,then ujifanye una akili kushinda Puting?? Kama wewe ulie ulimwengu wa tatu huku umeweza kuwaza hayo vipi kuhusu putini? tena jasusi mstaafu aliekuwa anawahenyesha wazungu pale ujerumani??

Watanzia tupunguze ujuaji wakijinga
 
Russia ni mbabe, mgonvi, arrogant, na asiye weza kukaa vizuri na majirani zake kwa njia za ushawishi. Anataka wafanye yeye atakavyo kwa lazima. Karibu a kila jirani yake amegombana naye.
- recklessness ya waafrica itaiingiza vitan kwa kujuwa ama kutokujuwa. Huyo anayeonwa kama mkimbizi atadictate kila kitu hata akiwa ndani ya Africa
"Aseyeweza kukaa vizuri na majirani zake".hii kauli umekua ukiirudiarudia sana,mie nikidhani unaweza kugundua kosa lako na usiitaje Tena lkn wapi,nasikitika kukuambia uko mtupu kabisa kichwani
Aisee inaonesha jinsi ulivyo mweupe kichwani Bro.
Nakuambia kabisa uko mweupe sana kichwani,haijaliahi una Phd,Masters, Bachelor, Diploma au certificate.
Sijakutukana lkn ila nimeiona ulivyo mtupu kabisa.
 
Scott Ritter: Ukraine an 'Open Target for Russia to Take Apart'

No matter how many and what kind of air defense systems NATO plans to donate to the Kiev regime, Russia will continue to pursue its military objectives while grinding through those weapons, underscored Scott Ritter. Fueling the ongoing proxy war in Ukraine will leave the West facing depleted stocks of its own air defense systems.
Russia is able to wipe out the military equipment provided to the Kiev regime, especially air defense, at a rate "far greater than the West can even replenish its own stocks," former US marine intelligence officer Scott Ritter told Sputnik.
“This is a losing equation. And without air defense, Ukraine is literally an open target for Russia to take apart as it best sees fit,” said Ritter.
On the opening day of the recent NATO summit in Washington, US President Joe Biden pledged to provide Ukraine with five new strategic air defense systems and dozens of smaller, strategic anti-air batteries over the coming year. In remarks delivered at the opening of the summit, Biden said that to donate the Patriot systems, the US would join forces with Germany, Romania, Italy, and the Netherlands.
The announcement came two days after a missile strike hit a children's hospital in Kiev, with the Zelensky-led neo-Nazi regime and its Western allies groundlessly accusing Russia of targeting the building.
Photographs and videos taken in Kiev confirm that a building on the grounds of the Okhmatdet hospital was hit by a surface-to-air missile fired from the Western-made NASAMS air defense system during a Russian attack on military targets in Kiev, according to the Russian Ministry of Defense. The ministry linked the Kiev regime's accusations to the then-upcoming NATO summit set to discuss Ukraine's potential membership among other issues, and new arms deliveries to Kiev.
 
Back
Top Bottom