Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Wadadisi wa mambo Wanasema ni mwanzo mzuri🤔
...
...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keshasema hakuna mazungumzumzo bila Ukraine kutambua mikoa4 iliyotwaliwa otherwise vita iendeleeKazidiwa huyo!!
Waache upuuzi, wakae meza ya majadilianoUkraine imegomaaaaa
Putin ametema Bungo?Wadadisi wa mambo Wanasema ni mwanzo mzuri🤔
...
Sasa vita iendelee hapo hapo anaomba cease fire ya masaa 36?Keshasema hakuna mazungumzumzo bila Ukraine kutambua mikoa4 iliyotwaliwa otherwise vita iendelee
Wakati wa Krismas December 25th mbona alindelea kurusha mabomu. Sasa hivi kabanwa makende bndiyo anaanza kulialia.Kazidiwa huyo. Hiyo sababu alioitoa ni chaka la kujifichia. Huwezi kuua watu hovyo halafu uwe na hofu ya kweli ya kwenda kinyume na imani za kiroho/kidini.
Na kwa nchi isiyo na demokrasia kama Russia, Watawala huwa hawana hofu ya kufanya mambo yanayogusa imani za watu za kidini kwani hawana hofu ya kukataliwa kupitia sanduku la kura.
Puttin anatafuta kupumua japo kwa muda.
Mnafiki tu huyo. Maji yamezidi unga.Wakati wa Krismas December 25th mbona alindelea kurusha mabomu. Sasa hivi kabanwa makende bndiyo anaanza kulialia.
Wangeomba wangekubaliwa tu. Putin muungwana sanaWakati wa Krismas December 25th mbona alindelea kurusha mabomu. Sasa hivi kabanwa makende bndiyo anaanza kulialia.
Watu wa FOREXyou make money on both bad and good political issues or wars. Kama najua sarafu inaweza ikawa strong so Kama ipo kwa quote against USD time to sell
Jamaa Putin kasema very clearly Ukraine atambue mipaka mipya ili mazungumzo yaendelee au akaze fuvu Oparesheni ilendelee🤣🤣🤣Sasa vita iendelee hapo hapo anaomba cease fire ya masaa 36?
Madaraka yaliyopitiliza kiasi kwa muda mrefu hulevya na kudumaza akili. Comedian huwa anact, yeye hapo hafanyi comedy bali ndio upeo wake wa kuwaza ulipofikia.Putin siku hizi kawa comedian kushinda hata Zelenksy [emoji23]