Putin Atangaza Kusitishwa Kwa Vita Vya Urusi Na Ukraine Kwa Masaa 36

Putin Atangaza Kusitishwa Kwa Vita Vya Urusi Na Ukraine Kwa Masaa 36

Madaraka yaliyopitiliza kiasi kwa muda mrefu hulevya na kudumaza akili. Comedian huwa anact, yeye hapo hafanyi comedy bali ndio upeo wake wa kuwaza ulipofikia.

Wakati anataka kuanza uvamizi, alishauriwa na viongozi wote wa nchi za Magharibiu kuwa asifanye uvamizi huo. Hatu wake wake wa security council nao walimshauri vivyo hivyo, lakini kwa vile uwezo wake wa kufikiri umeshadumaa hakuona busara ya ushauri huo aliopewa bure. Sasa hivi anawapigia propaganda watu wa Ursusi kuwa Urusi haikuwa na jinsi bali kuingia vitani kutokana na uchokozi wa NATO ilihali alikuwa anawakaribisha viongozi karibu owte wa NATO kwenye lile meza lake refu na kughairi ushauri wao
Akawa mkaidi, halafu viongozi wakienda kukutana naye ili wamshauri , anakutana nao kwenye meza ndefu kama basi kubwa la mwendo kasi.
 
Amakweli Putin na Urusi yake wadharaulika.Angalia jinsi walivyovimbiwa na Ukraine 🤔
...
Screenshot_20230106-063816.png
 
Amakweli Putin na Urusi yake wadharaulika.Angalia jinsi walivyovimbiwa na Ukraine 🤔
...
View attachment 2470422
Apigwe Tura Mkubwa huyo alishauliwa sana ndio maana Biden alisema hatoweza kumpigia simu kuhusu hiyo vita aliyoamua mwenyewe kwa kushindwa kusikiliza washauri wake,wacha apigwe tuu anataka mazungumzo ya kupewa maeneo wakati Vita imemshinda...
 
Habari haijajitosheleza pro lgbtq wasapoti mashoga. Kasema hivyo kupisha sikukuu ya Christmas [emoji319] kwao
 
Kaomba kwa sababu ya kusherehekea Christmas, ila Ukraine akishambuliwa atapokea majibu stability.
Ukraine hawapigani atakavyo Putini, wanapigana wajuavyo wao so Putin asijitie wazimu kudhani kasitisha vita.
Kuna kipindi mbona Ukraine wanasitisha mashambulizi halafu hata hawamtangazii mtu, wakija kuibuka wanapiga tukio zito halafu kimya.
Hata hili la juzi lililoua wanajeshi 600+ mmewahi kusikia Ukraine akisema yeye ndiye kawakata pumzi?
So, Putin aendelee na kazi yake ya usemaji wa vita huku Ukraine wakiendelea na wakifanyacho
 
Kuna watu humu wa mivyeti na midigirii.Lakini hawawafahamu wazungu.mnashangiliaje mipango ya kizungu kama manyumbu.
 
Back
Top Bottom