Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Cfd speculators/Trading sio forex. Ukisema forex you narrow the real thing or you fail to Capture the meaning. Mfano hapo mafuta yatashuka Bei so this is speculation. It's an art like any arts CraftWatu wa FOREX
Hakunaaaa. Mpaka kieleweke.Waache upuuzi, wakae meza ya majadiliano
AiseeePutin siku hizi kawa comedian kushinda hata Zelenksy [emoji23]
Akawa mkaidi, halafu viongozi wakienda kukutana naye ili wamshauri , anakutana nao kwenye meza ndefu kama basi kubwa la mwendo kasi.Madaraka yaliyopitiliza kiasi kwa muda mrefu hulevya na kudumaza akili. Comedian huwa anact, yeye hapo hafanyi comedy bali ndio upeo wake wa kuwaza ulipofikia.
Wakati anataka kuanza uvamizi, alishauriwa na viongozi wote wa nchi za Magharibiu kuwa asifanye uvamizi huo. Hatu wake wake wa security council nao walimshauri vivyo hivyo, lakini kwa vile uwezo wake wa kufikiri umeshadumaa hakuona busara ya ushauri huo aliopewa bure. Sasa hivi anawapigia propaganda watu wa Ursusi kuwa Urusi haikuwa na jinsi bali kuingia vitani kutokana na uchokozi wa NATO ilihali alikuwa anawakaribisha viongozi karibu owte wa NATO kwenye lile meza lake refu na kughairi ushauri wao
Apigwe Tura Mkubwa huyo alishauliwa sana ndio maana Biden alisema hatoweza kumpigia simu kuhusu hiyo vita aliyoamua mwenyewe kwa kushindwa kusikiliza washauri wake,wacha apigwe tuu anataka mazungumzo ya kupewa maeneo wakati Vita imemshinda...Amakweli Putin na Urusi yake wadharaulika.Angalia jinsi walivyovimbiwa na Ukraine 🤔
...
View attachment 2470422
Hayo ni mazoezi ya kuikimbia Ukrainesamaki katema ndoano
Uzee umemfika tayariPutin siku hizi kawa comedian kushinda hata Zelenksy [emoji23]
[emoji28]putin atulie shuguli iishe wauni ndo kwanza wameingiza kichwa. round ya kwanza mbna alivumilia vizuri tu.
Amezidiwa sana wacha apumue ajiliwaze kwa misiba ya askari wake zaidi ya 400, naona jana US na ujerumani wamepeleka mizigo mipya Ukraine (Patriots,) Putin alibugi sanaWadadisi wa mambo Wanasema ni mwanzo mzuri🤔
...
Kaomba kwa sababu ya kusherehekea Christmas, ila Ukraine akishambuliwa atapokea majibu stability.Sasa vita iendelee hapo hapo anaomba cease fire ya masaa 36?
Jamaa muungwana sana, tofauti na West wanavyoaminisha duniaWangeomba wangekubaliwa tu. Putin muungwana sana
Ukraine hawapigani atakavyo Putini, wanapigana wajuavyo wao so Putin asijitie wazimu kudhani kasitisha vita.Kaomba kwa sababu ya kusherehekea Christmas, ila Ukraine akishambuliwa atapokea majibu stability.
Kumbuka mwanzoni alisema hataki mazungumzoKeshasema hakuna mazungumzumzo bila Ukraine kutambua mikoa4 iliyotwaliwa otherwise vita iendelee