Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣🤣🤣Umetisha mkuuHuo upumbafu wake aufanyie huko huko asije akajaribu kutugusa huku Africa atajuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Umetisha mkuuHuo upumbafu wake aufanyie huko huko asije akajaribu kutugusa huku Africa atajuta.
... Bome-e, Putin mwenyewe kapagawa kwa flagship yake kuzamishwa; bado msimamo wako ni uleule kwamba ni "meli la kizamani"?![]()
Putin mouthpiece declares World War III started after Russia ship sunk
VLADIMIR Putin's leading propagandist claimed the invasion of Ukraine has now effectively evolved into "World War 3" after Russia's flagship Moskva was sunk in the Black Sea.www.express.co.uk
... warusi wa Kwa Mtogole jibuni hii hoja!jmn si urusi imesema meli ilipata hitilafu tu haikushambuliwa sasa hasira yann?
Maelezo mengi ya Urusi huwa ni propaganda tupu!jmn si urusi imesema meli ilipata hitilafu tu haikushambuliwa sasa hasira yann?
😂😂Huo upumbafu wake aufanyie huko huko asije akajaribu kutugusa huku Africa atajuta.
waongo mpk wanasahauMaelezo mengi ya Urusi huwa ni propaganda tuu!
... kwa statement hiyo ya Putin; nilitegemea hadi muda huu wakuu wa AU wawe njiani kuelekea Addis kwenye kikao cha dharura ikiwa ni pamoja na Samia kukatisha ziara yake Marekani kuelekea Addis kujadili na wakuu wenzake. Hili jambo ni zito sana!Huo upumbafu wake aufanyie huko huko asije akajaribu kutugusa huku Africa atajuta.
Hizo utopolo tu mionzi ikikita kwenye maji ya kunywa na chinese wanazokula wabongo nani atasurvive? Utajikinga kwa muda ila si kwa wakati woteHii vita sio ya Mrusi tu ni dunia nzima
Kama likitokea la kutokea maana Hakuna aijuae kesho
Mara karusha kombora na kajibiwa na huko Pakistan na India kikanuka hujakaa vizuri Manowari zilizopo Djibouti zikaanza kutandikwa
Naijua vita vizuri sana maana nimeahiriki mbili sehemu
Wengi tunaamini hakuna WW3 lakini hata sasa inafukuta taratibu au tumo kabisa
Nimeangalia mauzo na watu wananunua vifaa vya kujihami na nuclear nyie pigeni miluzi tu ohoooo
Jipatie hii kwa Tsh 2m tu full kila kitu View attachment 2189499
Kuzamishwa kwa hile meli inawezekana ukawa mpango maalum uliofanywa ili kumfanya Putin awe aingie vitan kiujumla na hili nazani ndo hili ndilo litalomtoa comedian madarakan very soon... Bome-e, Putin mwenyewe kapagawa kwa flagship yake kuzamishwa; bado msimamo wako ni uleule kwamba ni "meli la kizamani"?
Hizo utopolo tu mionzi ikikita kwenye maji ya kunywa na chinese wanazokula wabongo nani atasurvive? Utajikinga jwa muda ila si kwa wakati wote
Wengine uwa mnawaza kupitia nini?. 😕Kuzamishwa kwa hile meli inawezekana ukawa mpango maalum uliofanywa ili kumfanya Putin awe aingie vitan kiujumla na hili nazani ndo hili ndilo litalomtoa comedian madarakan very soon
Mjomba utafanya Pro Ukraine na Wamarekani wa Bonyokwa wakimbilie kwenye mapango ngoja tuwachape kwanza kavukavu[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji123][emoji23][emoji23][emoji23]![]()
Putin mouthpiece declares World War III started after Russia ship sunk
VLADIMIR Putin's leading propagandist claimed the invasion of Ukraine has now effectively evolved into "World War 3" after Russia's flagship Moskva was sunk in the Black Sea.www.express.co.uk
Mende wakiwa ni moja ya hao viumbeYaani ni hatari
Ila kuna viumbe wata survive
Mende wakiwa ni moja ya hao viumbe