Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Hivi unadhani Ukraine ni kama rwanda?? Ukraine ni kubwa mara tatu ya Tanzania huoni hata mafanikio ya Urusi au unadhani vita ni kama kukimbia mbio tu?
 
Hizi ni sababu mfu kabisa.
 
Mmh..sema putin ametreand sana kpnd hiki..but hope izo no propaganda,kama aeamia kukiwasha akiwashe mazima.
 
Itakusaidia zaidi siku ukiamua kuacha ubishi na kutaka kujifunza zaidi. Tunazungumzia nguvu aliyoitumia Urusi mpaka sasa na alichokipata kulinganisha na matarajio ya awali. Ana nukes ambazo hajatumia.
 
Itakusaidia zaidi siku ukiamua kuacha ubishi na kutaka kujifunza zaidi. Tunazungumzia nguvu aliyoitumia Urusi mpaka sasa na alichokipata kulinganisha na matarajio ya awali. Ana nukes ambazo hajatumia.
Generali Lloyd Austin hajaongelea stori za silaha za nyuklia, wala haamini kuwa Putin anaweza au ahitajia kutumia silaha hizo Ukraine. Yeye ana ujuzi na taarifa zaidi za jeshi la Russia kuliko wewe. Sasa tuchukue stori zako wewe ambaye hata pengine hujawahi kushuhudia kwa macho yako tu vita ilivyo, au tuchukue kauli ya General Austin ambaye amewahi kuongoza vikosi vya Marakani ktk vita ya Iraq?

BTW, huyu hapa chini anakujibu zaidi ujue nguvu za Russia
 
Punguza munkari, uongozi wa NATO ni rotational na sasa uongozi upo kwa Ufaransa, ndio maana unaona Macron anafanya mawasiliano kwa niaba ya NATO.
Hapo sawa nimekuelewa Boss!! lkn bado la pili hili kiherehere cha wao kutoka mbaali vile kuja kutaka kusaidia huku ni uchokozi wa wazi!!
 
Mkuu ni sawa na kumlazimisha binti aolewe na akikataa atauawa
Binti akikataa na process za kumuua zikianza uanze tena kusema unaunga mkono uhuru wa kuamua lakini huoni ulazima wa binti kukataa kwa gharama ya kunyongwa

Uhuru wa masharti sio uhuru tena
 
Hapo sawa nimekuelewa Boss!! lkn bado la pili hili kiherehere cha wao kutoka mbaali vile kuja kutaka kusaidia huku ni uchokozi wa wazi!!
Anachofanya Urusi ni sawa na mtu atoke anakotoka aje kwako kukupangia watu gani wawe rafiki zako. Ikifika hatua ambapo taifa moja linaweza kujiamulia kupiga taifa lingine kwa sababu zake, bila mataifa mengine kuweza kumsaidia anayeonewa, basi hii dunia itakuwa imekaribia mwisho.
 
Wewe ni mtu wa kupuuzia.
 
Mbona hayo ndo anafanya M marekani kila siku. Au mkuki kwa nguruwe
 
Tufanye Russia arudi she makombora yake ya nukes pale Cuba kama alivyo fanya 1963. Je USA atakubali ingali Cuba ni nchi huru inayoweza kujiamulia chochote
 

Sawa msemaji wa NATO,,,Eti nchi yote 😁😁😁😁 huwa mnawaza nini kabla hamjaongea!!😁😁

Wakazi wa tandale bwana
 

Sawa msemaji wa NATO,,,Eti nchi yote 😁😁😁😁 huwa mnawaza nini kabla hamjaongea!!😁😁

Wakazi wa tandale bwana
 
Sawa msemaji wa NATO,,,Eti nchi yote [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] huwa mnawaza nini kabla hamjaongea!![emoji16][emoji16]

Wakazi wa tandale bwana
Nimeona umenukuu mara mbilimbili nikadhani una hoja,wewe tokea kwenye mada zako za udini nilishakupotezea siku nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…