Kama ulikua hujui kuwa URUSI ni Nchi nzuri sana na viongozi wake ni wastaarabu sana wacha nikufahamishe;-
Huo Ndio ukweli URUSI Ndio Nchi Kubwa Kuliko zote duniani,
Urusi ni nchi namba mbili kwa ukubwa wa Jeshi duniani,
Ni Nchi ya kwanza Kwa kuzalisha gesi Duniani,
Na ni Nchi ya pili Kwa kuzalisha mafuta Duniani,
URUSI ndio nchi pekee Duniani inayopakana na mabara mawili yaani upande mmoja wa nchi ipo Barani ASIA na upande mwengine wa nchi ipo Barani ULAYA,
Lakini pia Watu wake wengi wamesoma na wanauwezo Mkubwa kiuchumi, kiteknolojia, na kijeshi,
Lakini Pamoja na sifa zote hizo hawajawahi kuwafanyia ubaya wowote wa AFRIKA,
Sasa wewe muafrika unaanzaje kuichukia URUSI na kuwapenda NATO wakati wao wamefanya mambo ya hovyo mengi AFRIKA,
Waafrika inabidi tuamke na kuipenda URUSI kwasababu zifuatazo;-
1) URUSI Hajawahi kuchukua watumwa Afrika
2)Urusi haijawahi kuitawala Afrika kiukoloni.
3) URUSI haijawahi kushiriki Berlin conference, mkutano wa kuigawa Afrika.
4) URUSI hawajahi kupora rasilimali za Afrika.
5) URUSI haijawahi kuweka mikataba ya kilaghai na Machifu wa Afrika.
6) URUSI haijawahi Kupora Ardhi ya Afrika au kuwa mlowezi wa Afrika Kama wale waliopo south Afrika, Kenya na wale walionyang'anywa ardhi na Mugabe kule Zimbabwe.
7) URUSI haijawahi kuivamia kijeshi Afrika Kama Yale majeshi ya NATO inchini Libya.
Makala hii imeletka kwenu na Dhulkad Madara Kutoka Morogoro