Wasiwasi wako tu. mrengo uliuchagua always sio wa kishinda wafazili wa makundi ya kigaidi nyie ndo wakombozi kwenu tulia jamaa washike usukani tumeona wana nia na maisha sio vita vya kuoneshana umwamba huku maisha ya watoto yanaharibikaIngia kwa milard uone propaganda za magharibi zinaendelea kupotosha.
Fuatilia CNN na BBC propaganda za kufa mtu. Ndiyomaana huwa cfuatilii hizi media za kipumbafu
Udhaifu mkubwa sana kama vile ule wa Kenya huko Somalia....kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika...
Ngoja tupate maoni ya warusi mbali mbali waliopo katika mikoa ya Tanzania kama vita iendelee ama isiendelee[emoji205]
Upande wa pili wa shilingi: Ni vyema vita ikaendelea ili 'tunufaike' zaidi na volatilty iliyopo kwenye financial market, Uki_hold currency Pair kwa 1hr pips za kutosha, GBP na EUR cross 'pairs' zinafanya vizuri sana tangu mvutano wa Russia_Ukrain uanze.Hii vita itaendelea
Dogo iyo ni vita ya kizamani sana! leo mkitaka kupigana wote mnapigwa bomu la ku para lyse wote kwa mkupuo kifupi unakufa polepole! unajiona!! na wanao mkeo una waona ivi!! sasa utakubali??Marekani hakukimbia Vietnam kisa silaha, kilichomtoa huko ni hili kosa analolifanya Putin la kutaka kupigana na taifa lote wakiwemo wananchi. Marekani alijikuta anapigana na akina mabibi, mababu, watoto, n.k.
Yaani mnapita kijiji wakulima wanaojilimia hawana issue, ghafla mnashangaa hao wakulima wanageuka kuwa wapiganaji wanawafyatulia risasi za ghafla.
Wananchi wakishaaminishwa propaganda za kutosha na kupata mzuka, mbona utaomba poo maana hizo silaha zako watakua wanazikojolea, utaua wangapi, mamilioni ya watu kwenye nchi yao, vitongoji vyao, milima yao, mashamba yao, mito yao....
Daaa bangi hizi?????Nendeni mkanye vichakani kwanza
View attachment 2135106
km kipara!!.......! asa mkuu una kipara au vipara!Putin Kidume Haswaaa
Una habari kama waandishi wa Kimataifa wako front?Ingia kwa milard uone propaganda za magharibi zinaendelea kupotosha.
Fuatilia CNN na BBC propaganda za kufa mtu. Ndiyomaana huwa cfuatilii hizi media za kipumbafu
Mbona US aliogopa Russia kuweka base Cuba. Anachofanya Urusi ndicho alichofanya Marekani kwa Cuba, aliogopa uwepo wa Russia kuweka base yake. Sasa hapa.kinachotokea Marekani ndio washenzi wanavunja makubaliano.Ye Putin kama anajiamini na silaha zake amwache Ukraine ajichagulie rafiki siku akiona hatari anapiga bomu huyo Ukraine na huyo rafiki yake..mbona basi amekuwa mwoga kupindukia
Nimeona wanasema eti wamekataliwa ni kweli?FSB itakuwa imelala PONO?
Lazima maongezi yafanyike kabla hawajakubaliwa.
Kwa sasa naona Ukraine inajiunga EU
Putin kishaminywa makende anatafuta pa kutokea na inaonekana hakujiandaa kiuchumi, ukiona central bank wameanza kuhaha ujue kinachofuata ni vita ya ndani, nasikia wamepandisha interest rate to 20% kutoka 9% na international bank zote sasa ni useless kutokana na sanctions alizopigwa, subiri warusi waanze kubeba pesa kwenye matoroli kwenda kununua mikate ndio utajua tumbo halina uzalendo
Application imepokelewa.Nimeona wanasema eti wamekataliwa ni kweli?
Mbona US aliogopa Russia kuweka base Cuba. Anachofanya Urusi ndicho alichofanya Marekani kwa Cuba, aliogopa uwepo wa Russia kuweka base yake. Sasa hapa.kinachotokea Marekani ndio washenzi wanavunja makubaliano.
Kwa uchumi upi wa kwenda sawa na vikwazo vyote hivyo siku ya tano tu Bank imeongeza riba 20% mnasema ni propaganda na wakati Putin mwenyewe wakati anaitisha vikosi vya nuclear alisema vikwazo anavyowekewa sio halali atulie dawa iingie..we bwege kweli urusi sio kama zimbabwe unapoiwekea vikwazo urusi na yenyewe inaweka vya kwake na ukumbuke kua venezwela iran china haya mataifa yote yapo upande wa urusi, na yana nguvu kiuchumi, vikwazo mtawekewa nyie dunia ya tatu mnaozunguka usiku na mchana kuomba omba mpka pesa ya kujengea vyoo vya shule f*kn sht!
Una habari kama waandishi wa Kimataifa wako front?
Kwa uchumi upi wa kwenda sawa na vikwazo vyote hivyo siku ya tano tu Bank imeongeza riba 20% mnasema ni propaganda na wakati Putin mwenyewe wakati anaitisha vikosi vya nuclear alisema vikwazo anavyowekewa sio halali atulie dawa iingie..
Ongea kiswahili ueleweke,,,wa kimataifa wako front ndio nini?
Kwamba kuna utajiri ukifikia huwezi filisika au unazungumzia kipi kwama wewe sio shabiki mkate bro..?hujui nguvu ya hivyo vikwazo mzee yani gharama za vita alafu nyuma vikwazo man..!nadhani haujajua russia ina impact gani kwenye uchumi wa dunia, unachokifanya wewe ni ushabiki maandazi