Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

I always see him as a very weak madman, ndio maana kila wakati anapenda kujitutumua,
Ukitaka kujua kwanini he is a weakman?
1.Anaogopa sana upinzania wa ndani
2.Anawaua sana wapinzani wake
3.Yuko tayari kutumia gharama kubwa kubaki madarakani
4.Anafanya kazi ya kurig elections
5.Anatumia weakness ya jeshi kujibakiza madarakani.
6. Bado ana mawazo ya Russia ya miaka ya 47.
Yani wewe kutoka bonyokwa unawashinda akili akina Biden nawengine walioufyata mkia!?
 
Yani wewe kutoka bonyokwa unawashinda akili akina Biden nawengine walioufyata mkia!?
Kwani Biden amefyata mkia au jamaa amezingatia madhara ya vita tena vita vya kupigana na mtu anae kurupuka kama ngurue pori ghafla tu ame alert nuclear...anaweza uwa watu yule mjinga
 
Sio wametenga wasiwasi wa kucheza na mjinga ni hatari tambua mjinga hana cha kupoteza mkuu Putin ni kama amepatwa wazimu anakurupuka tu sasa amepeleka 70%ya jeshi lote Ukraine wanajeshi wanapiga mabom raiya jamaa saivi alipo anaropoka tu hapo alipo.
Unaposema hivyo ni kama unamaanisha Putin anachukua maamuzi bila Cabinet yake inayomzunguka, hawezi kupeleka Jeshi lote kule....kule alipeleka vijana wadogo JKT wa huku
 
Unaposema hivyo ni kama unamaanisha Putin anachukua maamuzi bila Cabinet yake inayomzunguka, hawezi kupeleka Jeshi lote kule....kule alipeleka vijana wadogo JKT wa huku
Kwamba cabinet ndo ilimwambia mzee weka vikosi vya nuclear tayari tumpige yoyote yule bila kuangalia madhara? dunia ya leo sio ya kupigana vita vya kuuwa watoto tena. tunataka vita ya kibiashara.m
 
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Iraq USA na timu yake walitumia siku ngapi kweli? Na Yogoslavia je, NATO walitumia wiki ngapi?
 
Sio wametenga wasiwasi wa kucheza na mjinga ni hatari tambua mjinga hana cha kupoteza mkuu Putin ni kama amepatwa wazimu anakurupuka tu sasa amepeleka 70%ya jeshi lote Ukraine wanajeshi wanapiga mabom raiya jamaa saivi alipo anaropoka tu hapo alipo.

Media zimewateka sana akili zenu. Mnachokickia mtandaoni mnakurupuka kuyaleta humu. Marekani anajuwa kuwateka akili. 😁😁
 
Media zimewateka sana akili zenu. Mnachokickia mtandaoni mnakurupuka kuyaleta humu. Marekani anajuwa kuwateka akili. [emoji16][emoji16]
Sasa mbona wewe Russia amekuteka husemi? alafu sio vituo vyote vinavyo report ni vya America.
 
Yaani afike mwisho wakati hata tsar, Satan 2, flamethrower moja hazijatua Ukraine? Ukraine anashida mbona nchi kama Finland imepakana na Russia mpaka wa zaidi ya 1600km na hatujawahi sikia Russia kaivamia Ukraine unafiki wake acha umponze
Ye Putin kama anajiamini na silaha zake amwache Ukraine ajichagulie rafiki siku akiona hatari anapiga bomu huyo Ukraine na huyo rafiki yake..mbona basi amekuwa mwoga kupindukia
 
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Siraha zilizotumika ni duni mno. Unadhani warashia wajinga!!??
 
I always see him as a very weak madman, ndio maana kila wakati anapenda kujitutumua,
Ukitaka kujua kwanini he is a weakman?
1.Anaogopa sana upinzania wa ndani
2.Anawaua sana wapinzani wake
3.Yuko tayari kutumia gharama kubwa kubaki madarakani
4.Anafanya kazi ya kurig elections
5.Anatumia weakness ya jeshi kujibakiza madarakani.
6. Bado ana mawazo ya Russia ya miaka ya 47.

Wamarekani weuc bado mnalialia tu,,,c mwende mkawasaidie kama kweli ninyi ni vidume!!


Cku iraq inavamiwa saddam ameuawa, raia waco na hatia wamepoteza maisha na wengine kuyakimbia makazi yao, na hamkuthubutu kupaza sauti kanakwamba mlifurahia yaliyotokea.

Cku Libya inavamiwa, gaddafi ameuawa, raia waco na hatia wamepoteza maisha na wengine kuyakimbia makazi yao, hamkuthubutu kupaza sauti kana kwamba mlifurahia yaliyotokea.


Kwa upande wa palestina wanauliwa na hamkupaza sauti,, kwahiyo ya UKRAINE yana umuhimu zaidi kuliko hao wengine waliopotelewa na ndugu zao!!!! Jitathmini!!
 
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Duh jamaa unaandika kama unatapika..
Muwe mnafanya research kabla ya kuandika.
Umeambiwa ile ni evacuation mission?
Soma historia iliwachukua muda gani US ku conquer Iraq, Afghanistan.
Au unafikiri ile ni game pale?
Ile ni vita ya ardhini kwa asilimia kubwa. Sio rahisi kama unavyowaza. Huyo US aliona cha moto alipoingia Somalia kipindi hicho 1990's au ulikua hujazaliwa? Vita ya ardhini ni ngumu.
 
Back
Top Bottom