Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Pengine ulikuwa Mdogo vita vya Iraq ama unaamua makusudi kudanganya.

Marekani alianza kama hivi vita vya makombora akitokea Uturuki kuipiga iraq kabla hajaingiza jeshi la Ardhini. Na ilimchukua miezi 2 kuipiga Iraq.

Russia amefanya same Thing, jeshi Main hata halijafika Kiev.

Na kama Urusi ni mdhaifu kama mnavyotaka kutudanganya angeshapigwa siku nyingi tu, kwanini Ulaya Na Us wapo kimya? Nchi zaidi ya 50 si wangeimaliza tu Urusi fasta fasta?

Deployment ya Marekani kwa Iraq nimekuambia aliifanya kwa kupigia kwa mbali, hii hapa ya Mrusi ni kajirani kamemshinda ilhali yeye ametoka na all-out war.....
 
Hivi unatumia miwani kutizama hiyo picha yako??? Miji yote kivipi...halafu hako ka-Kiev kamekua mfupa uliomshinda fisi.....hii ni aibu yaani, Urusi bora angekaa kimya maana Wachina na majirani zake wote wamemuona bonge la bogus.
Screenshot_20220301-135208.png
 
Uko sahihi Mkuu.

Angalia hapa viongozi wenye akili wa Cuba na USSR walivyosovu kwa amani changamoto kama hiyo ya Ukraine (kuweka mizinga ya USSR nchini Cuba mwaka ya 1962) pasi na kusubiria vita kulipuka baina ya Marekani na Cuba/USSR.

=====

View attachment 2135071
Kweli.
 
Marekani hana nia ya kuingilia vita maana uhusika wake utasababisha alaaniwe na dunia yote kwa vile vita baina ya Marekani na Urusi vitavuruga kote
Acha porojo wewe, alaaniwe mara ngapi?

Mbona hizo vita za Iraq na kwingineko alilaaniwa na Ulimwengu wote (miafrika bwana ya hovyo sana, wazungu walilaani Marekani kwa uvamizi mbali mbali yeye aona Marekani ni malaika!)

Hakuna sababu zaidi ya kuogopa kuzichapa na Russia
SmartSelect_20220301-134854_Chrome.jpg
 
Deployment ya Marekani kwa Iraq nimekuambia aliifanya kwa kupigia kwa mbali, hii hapa ya Mrusi ni kajirani kamemshinda ilhali yeye ametoka na all-out war.....
Bado mnakula mizoga kama fisi halafu uje kuongelea Russia!? Tupid kenyan
Screenshot_20220301-135420.png
 
Acha porojo wewe, alaaniwe mara ngapi?

Mbona hizo vita za Iraq na kwingineko alilaaniwa na Ulimwengu wote (miafrika bwana ya hovyo sana, wazungu walilaani Marekani kwa uvamizi mbali mbali yeye aona Marekani ni malaika!)

Hakuna sababu zaidi ya kuogopa kuzichapa na Russia
View attachment 2135108

Kipindi hicho Marekani alilaaniwa kwa kuwaonea Iraq na jeshi lao, ila kwa sasa akianza vita dhidi ya taifa lenye silaja za nyuklia, wengi watapiga makelele maana Urusi hatakubali afe mwenyewe, atabonyeza bonyeza hizo silaha zitoke bila kujali zinapiga wapi, ndio maana inabidi asomwe kwanza uwezo wake kwenye hii vita baina yake na kataifa kadogo.
Kasome doctrine ya Mutual Assuraed Destruction (MAD)
 
Marekani hapo alikua anapigana vita vya mbali, deployment ya mbali sana ambayo hugharimu sana kijeshi, huyu Mrusi wenu kajirani kake hapo anafanya deployment ya all out na mpaka sasa ni ngonjera tu, Warusi wengi wanapata aibu maana walijua wako sawa kijeshi na walitembea kifua mbele siku zote, ila Putin kawatia aibu sana.
Kumbuka urusi yuko peke yake plus vikwazo na NATO wanaomsaidia Ukraine, lakini 2003 US alikuwa na washirika kibao Wala hakukuwa na vikwazo. Halafu marekani alikuwa na military base kitambo sana huko ghuba ya uajemi na uturuki, kwahiyo deployment ya vifaa na Askari haikuwa shida.
 
Rais Putin wa Russia kaeleza masharti yake juu ya kuimaliza vita yake inayoendelea na Ukraine wakati alipozungumza kwa simu jana na rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron. Mazungumzo hayo ya simu yalifanyika baada ya kikao cha mazungumzo ya amani kilichofanyika kati ya wajumbe wa Ukraine na Russia.

Putin kasisitiza kuwa amani nchini Ukraine itarejea tu kama madai ya msingi ya usalama wa Russia yatazingatiwa pasi na masharti yoyote, ikiwemo kutambua jimbo Crimea kama sehemu ya Russia, kuondoa silaha za NATO/US kwenye ardhi ya Ukraine, kuondoa waNazi ktk Ukraine, na kutoa hakikisho kuwa Ukraine haitojiunga na NATO.
======


Russian President, Vladimir Putin has laid out his conditions for stopping the ongoing war with Ukraine.

Russian forces have shelled Ukraine’s second city and Western nations are preparing even more sanctions.

A peace talk was held between Moscow and Kyiv in the Belarusian borders on Monday, being the first meeting since last Thursday when the war broke out.

The meeting ended with both sides merely agreeing to hold a second round of negotiations “soon”.

However, the Russian leader was able to pass the message on the only conditions under which he would consider withdrawing his troops from the neighbouring country during a phone conversation with France President, Emmanuel Macron on Monday.

“Putin stressed that a settlement is possible only if Russia’s legitimate security interests are unconditionally taken into account, including the recognition of Russian sovereignty over Crimea, the demilitarisation and denazification of the Ukrainian State and ensuring its neutral status,” CNN quoted a Russian statement via UK medium, PA News agency after the telephone conversation between the two leaders.

The war started on Thursday when President Putin ordered the invasion of Ukraine over some political reasons.

Even as the dialogue was underway on Monday, at least 11 people were killed by Russian attacks in Ukraine’s second largest city of Kharkiv.

Source: Russian President, Putin gives conditions to end war with Ukraine
Hakuna Vita tena hapo vinatafutwa visinuizio tu.
 
Deployment ya Marekani kwa Iraq nimekuambia aliifanya kwa kupigia kwa mbali, hii hapa ya Mrusi ni kajirani kamemshinda ilhali yeye ametoka na all-out war.....
Utofauti ni nini? Unaongelea as if wanajeshi wa marekani walikuwa wanapanda ndege na kutua Iraq.

Kama Vile Urusi alivyotumia Belarus na Usa Alitumia Nchi za Jirani kwa case ya Iraq ni Uturuki. Anga la Uturuki lilitumika kumpiga iraq.
 
Acha kutudanganya, Marekani jumlisha washirika wake (nchi kibao) iliwachukua siku 7 kuiangusha Baghdad, na walitumia zaidi ya mwezi 1 kuiangusha Iraq yote.

Sasa Russia ndani ya siku chache kachukua kishajitwalia majimbo mawili ya Ukraine na amezingira miji mingine kadhaa ikiwemo Kyiv

View attachment 2134966View attachment 2134967
Sasa Iraq na Ukraine sawa? Iraq alijiaandaa na alikuwa na uchumi mzuri kuliko maskini Ukraine
 
Uzuri wa Putin leo anaendelea kugawa kipigo cha mbwa koko huko Ukraine...yaani huko ni vilio na kusaga meno tu
kwani dozi ilipungua ndugu mrusi wa buza?
mbona anagawa kipigo na hatuoni kipigo chake zaidi ha kupiga maeneo ya raia tu

C4454AA3-FA60-4FF3-A7D5-FF653D573E65.png
 
Utofauti ni nini? Unaongelea as if wanajeshi wa marekani walikuwa wanapanda ndege na kutua Iraq.

Kama Vile Urusi alivyotumia Belarus na Usa Alitumia Nchi za Jirani kwa case ya Iraq ni Uturuki. Anga la Uturuki lilitumika kumpiga iraq.

Tofautisha umbali wa Iraq mpaka Marekani, ukizingatia Iraq ilikua taifa kubwa lenye zana za kila aina. Urusi hapo jirani katafa kadogo kanamtoza kamasi kwenye all-out war.....aibu sana hii.
 
Naongea kuhusu matamko ya huyo Putin, mwenyewe alianza kwa kusema ni special operation ya masaa 24, leo imeshindikana, hawezi kugeuza na pia kuingia ndani imekua mtihani.
Kadiri anavyo onyesha kulemewa ndivyo watu wa Ukrane wanapata mzuka.
Hayo mtajua nyinnyi, mwenye nguvu aende Ukraine kumtoa.
 
Kumbuka urusi yuko peke yake plus vikwazo na NATO wanaomsaidia Ukraine, lakini 2003 US alikuwa na washirika kibao Wala hakukuwa na vikwazo. Halafu marekani alikuwa na military base kitambo sana huko ghuba ya uajemi na uturuki, kwahiyo deployment ya vifaa na Askari haikuwa shida.

Hehehe!! Sasa mumeanza kujifichia kwenye vikwazo, mwenyewe si alijifanya mbabe kwamba atagaragaza Ukraine licha ya vikwazo, mjii wa Kiev umemshinda, zaidi ya wiki sasa.
 
Back
Top Bottom