Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Hizo base ku-maintain sio mchezo, yaani hadi ziwe na uwezo wa kupiga taifa kubwa na kulisambaratisha, huo ni ubabe wa kipekee, na usisahau hupigana vita kadhaa kwa wakati mmoja tena mbali sana ya nchi yake.
Marekani anaitwa huku narais wa Ukraine akaseti N-fly zone Ukraine ili kuzuia mashambulizi ya anga ya Mrusi. Mbona kakimbia huku Ikulu ya Marekani ikisema yaogopa kupigana vita na Russia?

SmartSelect_20220301-103136_Chrome.jpg
 
Mkuu vita sio kitu rahisi kama unavyo dhani.
Hizo silaha za Urusi unazo ziita dhaifu ndizo zimeifanya Syria kuwa shinda waasi waliokuwa wanatumia silaha za kimagharibi ,silaha za Urusi ndizo zilimfanya Marekani aikimbie Vietnam.


Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app

Marekani hakukimbia Vietnam kisa silaha, kilichomtoa huko ni hili kosa analolifanya Putin la kutaka kupigana na taifa lote wakiwemo wananchi. Marekani alijikuta anapigana na akina mabibi, mababu, watoto, n.k.

Yaani mnapita kijiji wakulima wanaojilimia hawana issue, ghafla mnashangaa hao wakulima wanageuka kuwa wapiganaji wanawafyatulia risasi za ghafla.

Wananchi wakishaaminishwa propaganda za kutosha na kupata mzuka, mbona utaomba poo maana hizo silaha zako watakua wanazikojolea, utaua wangapi, mamilioni ya watu kwenye nchi yao, vitongoji vyao, milima yao, mashamba yao, mito yao....
 
Marekani hakukimbia Vietnam kisa silaha, kilichomtoa huko ni hili kosa analolifanya Putin la kutaka kupigana na taifa lote wakiwemo wananchi. Marekani alijikuta anapigana na akina mabibi, mababu, watoto, n.k.
Yaani mnapita kijiji wakulima wanaojilimia hawana issue, ghafla mnashangaa hao wakulima wanageuka kuwa wapiganaji wanawafyatulia risasi za ghafla.
Wananchi wakishaaminishwa propaganda za kutosha na kupata mzuka, mbona utaomba poo maana hizo silaha zako watakua wanazikojolea, utaua wangapi, mamilioni ya watu kwenye nchi yao, vitongoji vyao, milima yao, mashamba yao, mito yao....
Sawasawa...
 
Hivi vita ni complicated, maana ataishia kupigana na Wa-Ukraine, sio jeshi tu, kadiri anavyozidi kushindwa kuiteka Kiev ndio raia wanazidi kuamini kumbe alikua nguvu ya soda na kupata ujasiri wa kujichimbia.
Hamna kitu kigumu kama kupigana na wananchi kwenye yao....
Mzee nenda kawaambie ndugu zako wasibake mbuzi.
Screenshot_20211114-121344.png
 
So unataka afanye maanganizi? Akili ndogo sana. Ulimwengu wote unafaham kuwa Russia ana silaha za nyuklia. So unataka azitumie? Attacks za mabom ya kawaida tu...yameleta madhara makubwa
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
 
Marekani anaitwa huku narais wa Ukraine akaseti N-fly zone Ukraine ili kuzuia mashambulizi ya anga ya Mrusi. Mbona kakimbia huku Ikulu ya Marekani ikisema yaogopa kupigana vita na Russia?

View attachment 2135078


Marekani hana nia ya kuingilia vita maana uhusika wake utasababisha alaaniwe na dunia yote kwa vile vita baina ya Marekani na Urusi vitavuruga kote mpaka kuwakuta hapo Uswahili, maana Mrusi hatakawia kuachia makombora ya nyuklia bila kujali yatapiga wapi, kwamba atakua anajitoa mhanga. Kumbuka Mrusi na Marekani walishaingia mkataba wa Mutual Assured Destruction (MAD)

kwa sasa kikubwa ni Ukraine kuendelea kumuaibisha Urusi aliyeaminisha dunia atamaliza mchezo ndani ya dakika 24
 
Marekani hana nia ya kuingilia vita maana uhusika wake utasababisha alaaniwe na dunia yote kwa vile vita baina ya Marekani na Urusi vitavuruga kote mpaka kuwakuta hapo Uswahili, maana Mrusi hatakawia kuachia makombora ya nyuklia bila kujali yatapiga wapi, kwamba atakua anajitoa mhanga. Kumbuka Mrusi na Marekani walishaingia mkataba wa Mutual Assured Destruction (MAD)

kwa sasa kikubwa ni Ukraine kuendelea kumuaibisha Urusi aliyeaminisha dunia atamaliza mchezo ndani ya dakika 24
Mzee wewe katika mambo haya ungeyaacha tu. Nenda kawadanganya wakikuyu wenzako kibera. By the way umekula!?
Screenshot_20211114-135616.png
 
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Pengine ulikuwa Mdogo vita vya Iraq ama unaamua makusudi kudanganya.

Marekani alianza kama hivi vita vya makombora akitokea Uturuki kuipiga iraq kabla hajaingiza jeshi la Ardhini. Na ilimchukua miezi 2 kuipiga Iraq.

Russia amefanya same Thing, jeshi Main hata halijafika Kiev.

Na kama Urusi ni mdhaifu kama mnavyotaka kutudanganya angeshapigwa siku nyingi tu, kwanini Ulaya Na Us wapo kimya? Nchi zaidi ya 50 si wangeimaliza tu Urusi fasta fasta?
 
Marekani hana nia ya kuingilia vita maana uhusika wake utasababisha alaaniwe na dunia yote kwa vile vita baina ya Marekani na Urusi vitavuruga kote mpaka kuwakuta hapo Uswahili, maana Mrusi hatakawia kuachia makombora ya nyuklia bila kujali yatapiga wapi, kwamba atakua anajitoa mhanga. Kumbuka Mrusi na Marekani walishaingia mkataba wa Mutual Assured Destruction (MAD)

kwa sasa kikubwa ni Ukraine kuendelea kumuaibisha Urusi aliyeaminisha dunia atamaliza mchezo ndani ya dakika 24
Kwanini vivuruge? Urusi si umesema hana kitu? Kwamba Taifa Kubwa kama Us si masaa 24 tu linaipiga Urusi?
 
So unataka afanye maanganizi? Akili ndogo sana. Ulimwengu wote unafaham kuwa Russia ana silaha za nyuklia. So unataka azitumie? Attacks za mabom ya kawaida tu...yameleta madhara makubwa

Akitumia nyuklia atagaragazwa na dunia maana atakua amegusa pabaya, hakuna taifa linalorushusiwa kutumia silaha za nyuklia kwenye ulimwengu wa leo, kwa kuzitumia hapo ina maana umejitoa mhanga.
Kwa sasa dunia inashuhudia anavyoaibishwa, inanikumbusha kitambo nikiwa mdogo shuleni, kuna mwanafunzi tulikua tunamwogopa kwa alivyokua mkubwa kimaumbile, ila siku moja akachokozana na dogo fulani, dogo alijitutumua japo alishindwa kwenye mapambano ila aliweza kudhihirisha udhaifu wa huyo tuliyekua tunamwogopa, na kuanzia hiyo siku akawa anachokozwa na wote.

Urusi wangeendelea kuaminisha dunia kuwa wao ni wababe ili soko lao la silaha linawiri haswa kwa mataifa ya kiarabu. Leo Mchina, Mhindi na wengine wote wanamsoma na kuona kumbe bonge la hovyo tu.
 
Kwanini vivuruge? Urusi si umesema hana kitu? Kwamba Taifa Kubwa kama Us si masaa 24 tu linaipiga Urusi?

Hamna sehemu nimetaja Marekani ataipiga Urusi kwa masaa 24, huyo Urusi ndiye alijitamba atakachokifanya hapo Ukraine hakitazidi masaa 24, wiki sasa anatokwa na jasho na damu na bado hajafanya la maana.
 
Mpaka sasa karibu miji yote imetwaliwa. Endeleeni kujidanganya
Hivi vita ni complicated, maana ataishia kupigana na Wa-Ukraine, sio jeshi tu, kadiri anavyozidi kushindwa kuiteka Kiev ndio raia wanazidi kuamini kumbe alikua nguvu ya soda na kupata ujasiri wa kujichimbia.
Hamna kitu kigumu kama kupigana na wananchi kwenye yao....
Chanzo: BBC
BeautyPlus_20220301123643695_save.jpeg
 
The US Nuclear Weapons in Europe are Unacceptable for Russia, Time to Return Them Home, Russia has announced.
 
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Hiv nyie wakenya mna matatizo Gani?


Na isingekuwa nyie na ubaraka na upumbavu wenu East Africa yote kuanzia Uganda,Tz na Kenya tungekuwa mbali sana kimaendeleo...

Acheni ubaraka wa magharibi ndo wanafanya East Africa iwe hivi maskini Hadi leo
 
Hiv nyie wakenya mna matatizo Gani?


Na isingekuwa nyie na ubaraka na upumbavu wenu East Africa yote kuanzia Uganda,Tz na Kenya tungekuwa mbali sana kimaendeleo...

Acheni ubaraka wa magharibi ndo wanafanya East Africa iwe hivi maskini Hadi leo

Jikite kwenye mada, nyie timu Putin naona mumeishiwa jamaa kawaibisha sana yule, masaa 24 imekua zaidi ya wiki na bado kamasi linamtoka.
 
Jikite kwenye mada, nyie timu Putin naona mumeishiwa jamaa kawaibisha sana yule, masaa 24 imekua zaidi ya wiki na bado kamasi linamtoka.
Nendeni mkanye vichakani kwanza
FAhErWcWEAQ8L0Y.jpg
 
Back
Top Bottom