Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Katika press zake, sikuwahi sikia akisema ndani ya masaa hayo kyiv itakua chini yake, bali ni maneno ya wachambuzi na taarifa za wana usalama wa USA. Hata hivyo, kwa marekani yenyewe katika operation zoote za kutoa utawala madarakani hakuweza kufanya hilo...sana sana ni mwezi mmoja.
 
Vita inapiganwa kimipango na mahesabu bila kuleta athari yoyote kwa raia waco na hatia. Unafikiri wanaingia pupapupa na kuuwa waco na hatia kama ambavyo marekani na washirika wake katika nchi za kiarabu na kuleta maafa na wengine kuyakimbia makazi yao!!! Muwe mnafikiri kabla hamujacomment babu
Wewe ushawahi kuwepo kwenye hizo Nchi mpaka ukaweza kujua vita ya wamarekani ipo vip na Warusi ipo vip mbona unaandika vitu vya kusadikika Mkuu yaani Nchi ambayo muda wote tunazungumzia mafuta ya kupikia na sukari bei imeongezeka tuzungumzie Vita za wenzetu...
 
Kuwa shoga ni uamuzi wa mtu man na ni dhambi kama dhambi zingine utajuana na muumba wako....

Kwahiyo mbali na ushoga,, suala la mauwaji dhidi ya nchi za kiarabu/kiafrika ni sawa kuwasapoti hawa wamagharibi?? mamilioni ya raia/civilians wamepoteza maisha, mwafrika mwenzio Gadaffi ameuawa kinyama mlikaa kimya. Leo hii kwa ukreine kelele nyiingi 😁 saddam kauawa kinyama mlikaa kimya.


Suala la vikwazo,, urusi anawekewa vikwazo😁, why??? Amefungiwa kushiriki michezo ya kuwania kucheza w/cup nchini Qatar n.k 😁 marekani na washirika wake wameuwa mamilioni ya watu waco na hatia nchi za kiarabu n.k, why hawakuwekewa vikwazo? Israel ameuwa maelfu ya wapalestina na bado anaendeleza unyama huo lakini hakuwekewa vikwazo vya aina yoyote ile au kufungiwa dah 😁 hii dhulma acha tu yani. watoto, wajane n.k wamepoteza maisha, very sad
 
Kwahiyo mbali na ushoga,, suala la mauwaji dhidi ya nchi za kiarabu/kiafrika ni sawa kuwasapoti hawa wamagharibi?? mamilioni ya raia/civilians wamepoteza maisha, mwafrika mwenzio Gadaffi ameuawa kinyama mlikaa kimya. Leo hii kwa ukreine kelele nyiingi [emoji16] saddam kauawa kinyama mlikaa kimya.


Suala la vikwazo,, urusi anawekewa vikwazo[emoji16], why??? Amefungiwa kushiriki michezo ya kuwania kucheza w/cup nchini Qatar n.k [emoji16] marekani na washirika wake wameuwa mamilioni ya watu waco na hatia nchi za kiarabu n.k, why hawakuwekewa vikwazo? Israel ameuwa maelfu ya wapalestina na bado anaendeleza unyama huo lakini hakuwekewa vikwazo vya aina yoyote ile au kufungiwa dah [emoji16] hii dhulma acha tu yani. watoto, wajane n.k wamepoteza maisha, very sad
Wewe unawataja wafadhili wa makundi ya kigaidi! Gadaffi mtu aliye kuwa anauwa watu kilinda wadhifa anaongoza nchi kidini alistahili kufa.. Saddam nae anae uwa watu kwasababu ni jamii tofauti nae alistahili hakuna mtu mzuri hata mmoja kati ya wote uliyo wataja umelishwa mataputapu na hao watu wanaoishi jagwani...
 
Rais Putin wa Russia kaeleza masharti yake juu ya kuimaliza vita yake inayoendelea na Ukraine wakati alipozungumza kwa simu jana na rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron. Mazungumzo hayo ya simu yalifanyika baada ya kikao cha mazungumzo ya amani kilichofanyika kati ya wajumbe wa Ukraine na Russia.

Putin kasisitiza kuwa amani nchini Ukraine itarejea tu kama madai ya msingi ya usalama wa Russia yatazingatiwa pasi na masharti yoyote, ikiwemo kutambua jimbo Crimea kama sehemu ya Russia, kuondoa silaha za NATO/US kwenye ardhi ya Ukraine, kuondoa waNazi ktk Ukraine, na kutoa hakikisho kuwa Ukraine haitojiunga na NATO.

======

Russian President, Vladimir Putin has laid out his conditions for stopping the ongoing war with Ukraine.

Russian forces have shelled Ukraine’s second city and Western nations are preparing even more sanctions.

A peace talk was held between Moscow and Kyiv in the Belarusian borders on Monday, being the first meeting since last Thursday when the war broke out.

The meeting ended with both sides merely agreeing to hold a second round of negotiations “soon”.

However, the Russian leader was able to pass the message on the only conditions under which he would consider withdrawing his troops from the neighbouring country during a phone conversation with France President, Emmanuel Macron on Monday.

“Putin stressed that a settlement is possible only if Russia’s legitimate security interests are unconditionally taken into account, including the recognition of Russian sovereignty over Crimea, the demilitarisation and denazification of the Ukrainian State and ensuring its neutral status,” CNN quoted a Russian statement via UK medium, PA News agency after the telephone conversation between the two leaders.

The war started on Thursday when President Putin ordered the invasion of Ukraine over some political reasons.

Even as the dialogue was underway on Monday, at least 11 people were killed by Russian attacks in Ukraine’s second largest city of Kharkiv.

Source: Russian President, Putin gives conditions to end war with Ukraine
Kidume.cha shoka kimekwisha zungumza bila kumung'unya maneno. USA na NATO kazi wanayo, waendelee kubweka kama mbwakoko au wafanye kitu shaul yao. Huyu jamaa ninazidi kumkubali kila siku
 
Hawa maraisi wawili wangekua wanasoma maoni ya wana JF angalau mmoja wao, angesha shinda vita ndani ya masaa sita tu, sijui wana kwama wapi, maana du....!! Mimi naendelea kuchimba tu handaki na familia yangu hapa hapa visig.. ili
 
Kama ulikua hujui kuwa URUSI ni Nchi nzuri sana na viongozi wake ni wastaarabu sana wacha nikufahamishe;-
Huo Ndio ukweli URUSI Ndio Nchi Kubwa Kuliko zote duniani,
Urusi ni nchi namba mbili kwa ukubwa wa Jeshi duniani,
Ni Nchi ya kwanza Kwa kuzalisha gesi Duniani,
Na ni Nchi ya pili Kwa kuzalisha mafuta Duniani,
URUSI ndio nchi pekee Duniani inayopakana na mabara mawili yaani upande mmoja wa nchi ipo Barani ASIA na upande mwengine wa nchi ipo Barani ULAYA,
Lakini pia Watu wake wengi wamesoma na wanauwezo Mkubwa kiuchumi, kiteknolojia, na kijeshi,
Lakini Pamoja na sifa zote hizo hawajawahi kuwafanyia ubaya wowote wa AFRIKA,
Sasa wewe muafrika unaanzaje kuichukia URUSI na kuwapenda NATO wakati wao wamefanya mambo ya hovyo mengi AFRIKA,
Waafrika inabidi tuamke na kuipenda URUSI kwasababu zifuatazo;-

1) URUSI Hajawahi kuchukua watumwa Afrika

2)Urusi haijawahi kuitawala Afrika kiukoloni.

3) URUSI haijawahi kushiriki Berlin conference, mkutano wa kuigawa Afrika.

4) URUSI hawajahi kupora rasilimali za Afrika.

5) URUSI haijawahi kuweka mikataba ya kilaghai na Machifu wa Afrika.

6) URUSI haijawahi Kupora Ardhi ya Afrika au kuwa mlowezi wa Afrika Kama wale waliopo south Afrika, Kenya na wale walionyang'anywa ardhi na Mugabe kule Zimbabwe.

7) URUSI haijawahi kuivamia kijeshi Afrika Kama Yale majeshi ya NATO inchini Libya.

Makala hii imeletka kwenu na Dhulkad Madara Kutoka Morogoro
 
Kidume.cha shoka kimekwisha zungumza bila kumung'unya maneno. USA na NATO kazi wanayo, waendelee kubweka kama mbwakoko au wafanye kitu shaul yao. Huyu jamaa ninazidi kumkubali kila siku
Na Leo bendela za USSR zimeanza peperushwa hivyo wakichelewa Ukraine itakuwa jimbo kama majimbo mengine ndani ya Russia
 
BBC, CNN and the like, wameshindwa kabisa kushawishi dunia. Sanctions childish propaganda zao zimezimwa. Russia is very Serious wenyewe wanaleta mbwembwe. Ni wakati wa kujua sasa mbabe ni nani.
Kuwa serious siyo kushinda, usiwe mshabiki sana badala ya kusimamia uhalisia
 
Kama ulikua hujui kuwa URUSI ni Nchi nzuri sana na viongozi wake ni wastaarabu sana wacha nikufahamishe;-
Huo Ndio ukweli URUSI Ndio Nchi Kubwa Kuliko zote duniani,
Urusi ni nchi namba mbili kwa ukubwa wa Jeshi duniani,
Ni Nchi ya kwanza Kwa kuzalisha gesi Duniani,
Na ni Nchi ya pili Kwa kuzalisha mafuta Duniani,
URUSI ndio nchi pekee Duniani inayopakana na mabara mawili yaani upande mmoja wa nchi ipo Barani ASIA na upande mwengine wa nchi ipo Barani ULAYA,
Lakini pia Watu wake wengi wamesoma na wanauwezo Mkubwa kiuchumi, kiteknolojia, na kijeshi,
Lakini Pamoja na sifa zote hizo hawajawahi kuwafanyia ubaya wowote wa AFRIKA,
Sasa wewe muafrika unaanzaje kuichukia URUSI na kuwapenda NATO wakati wao wamefanya mambo ya hovyo mengi AFRIKA,
Waafrika inabidi tuamke na kuipenda URUSI kwasababu zifuatazo;-

1) URUSI Hajawahi kuchukua watumwa Afrika

2)Urusi haijawahi kuitawala Afrika kiukoloni.

3) URUSI haijawahi kushiriki Berlin conference, mkutano wa kuigawa Afrika.

4) URUSI hawajahi kupora rasilimali za Afrika.

5) URUSI haijawahi kuweka mikataba ya kilaghai na Machifu wa Afrika.

6) URUSI haijawahi Kupora Ardhi ya Afrika au kuwa mlowezi wa Afrika Kama wale waliopo south Afrika, Kenya na wale walionyang'anywa ardhi na Mugabe kule Zimbabwe.

7) URUSI haijawahi kuivamia kijeshi Afrika Kama Yale majeshi ya NATO inchini Libya.

Makala hii imeletka kwenu na Dhulkad Madara Kutoka Morogoro
Hatahivyo ni wavamizi.. hawapori maeneo Africa sababu wanapora hapo hapo Europe tena sio kwa mikataba kwa mtutu kabisa kuuwa watu na kuharibu miundo mbinu....
 
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Pro-Russia ni wajuaji mno na kumbe hakunaga wanalojua, Russia haitashinda hii vita [emoji16][emoji1][emoji16][emoji16]
 
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Unajua hile vita ya kumuondoa Sadam Hussein ilichukua almost Mwezi Mmoja, Ukraine ni moja ya nchi ya pili Kwa ukubwa Ulaya unadhani itakuwa Rahisi kuichukua yote?
 
He is a serial narcissistic controlling
Sadist .Century Hii anawaza ukoloni vita .Narcisstics tend to destroy themselves .Putin 8 days a go nilikuwa name ona very strong leader very colorful resume patriotic Kumbe he is a thug na a serial
Killer using his own people to do what he wants .Putin ameniacha hoi na anatishia nuclear very dangerous men
Marekani na Urussi hawana tofauti. Wote ni mabeberu watafuta ukoloni. Madai kuwa USA siyo wakoloni siyo kweli. USA ni wakoloni wa uchumi. Madai eti USA ina nguvu na imefanya kweli Iraq na Afghanistan siyo kweli.Ilichoweza USA ni kuwaua viongozi lakini mabadiliko yaliyotegemewa hayakutpokea. Technically speaking, USA imeshindwa vita ya Iraq, Afghanistan, Libya, Vietnam, Korea, na kwingineko. Walienda huko kwa ubabe na kukimbia kama kuku aliyenyeshewa maana lengo lao halikutimia.
 
Unajua hile vita ya kumuondoa Sadam Hussein ilichukua almost Mwezi Mmoja, Ukraine ni moja ya nchi ya pili Kwa ukubwa Ulaya unadhani itakuwa Rahisi kuichukua yote?
Lakini matokeo yalikuwa yapi? Mbona USA ilikimbia bila kupata waliyotaka.
 
Mkuu vita sio kitu rahisi kama unavyo dhani.
Hizo silaha za Urusi unazo ziita dhaifu ndizo zimeifanya Syria kuwa shinda waasi waliokuwa wanatumia silaha za kimagharibi ,silaha za Urusi ndizo zilimfanya Marekani aikimbie Vietnam.


Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Unapoandika hapo sasa hivi ujue kuwa Marekani yupo Syria na hakuna wa kumtoa na mafuta anafyonza vibaya.
 
Wewe unawataja wafadhili wa makundi ya kigaidi! Gadaffi mtu aliye kuwa anauwa watu kilinda wadhifa anaongoza nchi kidini alistahili kufa.. Saddam nae anae uwa watu kwasababu ni jamii tofauti nae alistahili hakuna mtu mzuri hata mmoja kati ya wote uliyo wataja umelishwa mataputapu na hao watu wanaoishi jagwani...

Tatizo lako upo kishabiki. Unatetea ujinga badala kukemea
 
Back
Top Bottom