Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajiona kijana wa miaka 18.Homicidal dictator anazeeka vibaya
Huyu Homicidal dictator amekulia katika maisha ya dhiki sana. Kwa iyo maisha yake yamekua na hasira sana na watu wenye utajiriHomicidal dictator anazeeka vibaya
Huyu alijifunza misingi ya kuitetea nchi yako hata ikibidi kwa gharama za kupoteza uhai, tangu akiwa kijana mdogo sawa na chipukizi wetu.Huyu Homicidal dictator amekulia katika maisha ya dhiki sana. Kwa iyo maisha yake yamekua na hasira sana na watu wenye utajiri
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Achana naye fanya mambo yakoHuyu Homicidal dictator amekulia katika maisha ya dhiki sana. Kwa iyo maisha yake yamekua na hasira sana na watu wenye utajiri
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Hafumuliwi kweli huyu?
Ila ana body zuri Putin, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2278556
Viongozi hao walisema Mkuu wa nchi hawezi kuweka hadharani picha zake akiwa hana shati. Putin amesema viongozi hao wakiweka picha kama zake watu watakimbia..
Ninapiga picha Boris Johnson aweke picha kama ya Putin.
Mmeanza sasa, yaan sijui mkoje khaaah.Kuna tetesi viongozi wa NATO na G7 wanakulana
Sielewagi kabisa mtu una hela una nenepaje hovyo kama nguruwe🤣🤣🤣 ukiwa na hela yaani ata njaa husikii
MhMmeanza sasa, yaan sijui mkoje khaaah.
Watu wenye utajiri kama wepi hao? Mavi ya kale hayanuki. Ndiyo kashakuwa bilionea sasa.Huyu Homicidal dictator amekulia katika maisha ya dhiki sana. Kwa iyo maisha yake yamekua na hasira sana na watu wenye utajiri
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Good!Achana naye fanya mambo yako