Putin Awarudisha Askari Majeruhi Wakiwa Kwenye Magongo Vitani

Putin Awarudisha Askari Majeruhi Wakiwa Kwenye Magongo Vitani

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9,971
Reaction score
13,608
Vladimir Putin is forcing wounded Russian soldiers back to battle on crutches as the Kremlin lost a staggering 48,000 troops last month alone.

New images have emerged showing exhausted and injured Russian combatants gingerly making their way through muddy trenches using walking aids.



FB_IMG_1738925317860.jpg
 
Duh,
Itakuwa Putin ashachoka sana na hekaheka za hiyo vita, ila ndo hivyo super power mzima hawezi kuacha kwa sababu ya aibu.

Miaka 3 iliyopita, tarehe 24 February, 2022 alipotuma ule msafara wa askari, vifaru, makombora, mizinga, nk, wa 60 km kwenda kuteka Kiev hakujua haya.

Kwa sasa anatamani muujiza wa kusitisha hiyo vita...


View: https://youtube.com/watch?v=keP-mG4vN8c&si=wE253uOLIFYJOtJD
 
Keep dreaming...
Rubio majuzi kasema wazi kuwa ni ndoto kusema Ukraine anaweza kushinda vita.
TRump kaomba mazungumzo na Putin kuinusuru Ukraine..
 
Keep dreaming...
Rubio majuzi kasema wazi kuwa ni ndoto kusema Ukraine anaweza kushinda vita.
TRump kaomba mazungumzo na Putin kuinusuru Ukraine..
Trump hapendi vita
 
Vladimir Putin is forcing wounded Russian soldiers back to battle on crutches as the Kremlin lost a staggering 48,000 troops last month alone.

New images have emerged showing exhausted and injured Russian combatants gingerly making their way through muddy trenches using walking aids.



View attachment 3227728
Hayo maneno anaweza kuongea Mlodova ama Myukraine ama Mfaransa .Wale wenye kisokolokwinyo na Mrusi ama Babu Mzee yulee wa Marekani ya kabla ya Mzee Trumpet.
 
Back
Top Bottom