Putin Awarudisha Askari Majeruhi Wakiwa Kwenye Magongo Vitani

Putin Awarudisha Askari Majeruhi Wakiwa Kwenye Magongo Vitani

Askari elfu 48 ndani ya mwezi!?.. halafu zelensky mwezi huohuo analalama putin hataki suluhu na anapoteza territories,vichwa vyenu mnatumia kufanya nini!?
Zennesky lazima aseme hivyo ili aendelee kupata support ya washirika.Russia na Putin wake wamebugi step kuvamia ukraine.Hasara nyingi kuliko faida 🤔
 
Haya. Wewe tuwekee Ukweli wa kiutu uzima hapa. Tofauti na hapo ni kwamba na ww hujui kinachoendelea huko.
Hebu soma hii halafu uje kivingine.
How many Russians died in the Ukraine war in 2024?
View attachment 3229207
Al Jazeera
https://www.aljazeera.com › News › Russia-Ukraine war

8 Jan 2025 — As of December 30, 2024, 427,000 Russian soldiers died or were injured in the war in 2024, according to Ukraine's Commander-in-Chief Colonel ...
According to ukraine's commander in chief!!..siyo takwimu za aljazeera bali kamanda mkuu wa ukraine,japo ni takwimu za uwongo ila uwe unazingatia kila neno,died or were injured.. halafu ni laki nne na ushee..tikisa hilo bichwa lako
 
According to ukraine's commander in chief!!..siyo takwimu za aljazeera bali kamanda mkuu wa ukraine,japo ni takwimu za uwongo ila uwe unazingatia kila neno,died or were injured.. halafu ni laki nne na ushee..tikisa hilo bichwa lako
Umenena kiutu uzima. Kongole mkuu. Hao Aljazeera labda wamejiridhisha na figure hiyo ndo mana wameitoa. Au hapo unasemaje?
 
Umenena kiutu uzima. Kongole mkuu. Hao Aljazeera labda wamejiridhisha na figure hiyo ndo mana wameitoa. Au hapo unasemaje?
Ndiyo maana wamesema according to..wamejitoa hapo,kazi kwako,hata habari za askari Korea kaskazini kuuawa ukraine anatoa korea kusini,ajabu kabisa
 
Back
Top Bottom