So tu kuinama.....maji yalijaa golini........wenyewe wa Korea waligeuzwa uduvi kwa ajiri ya chamboLee Van free TUJITEGEMEE
Wale wa Korea Kaskazini waliamua kuondoka Kursk baada ya kuona Uwanja umeinama..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So tu kuinama.....maji yalijaa golini........wenyewe wa Korea waligeuzwa uduvi kwa ajiri ya chamboLee Van free TUJITEGEMEE
Wale wa Korea Kaskazini waliamua kuondoka Kursk baada ya kuona Uwanja umeinama..
Ndio. Hawakubaliani na kitendo cha "Recycling".Wanajeshi wa North Korea wamekimbia!
Uwongo wa kitoto huuUrusi ilipata loss ya wanajeshi 48,000 mwezi uliopita pekee 🤔
How do you believe this is real?Not exactly. Try to use the the Fact-checker or get some hints from www.express.co.uk
View attachment 3228424
Hao pamoja na Putin walitegemea wangeichukua Kyv mapema sasa ni mwaka wa nne tunakwendaMakobaz wote bado wana Imani Putin atafika Kyiv na ule msafara wake Malaria 2 Bwana Utam
Urusi ndio imekua tegemeo lao miaka yote hii
Tena news kutoka UK kabisaa unachukua taarifa kwa mashoga zinazumzia wanaume aseeeFake news
Kila askari mmoja wa NK Putin alilipa $50,000/- na pesa zote zimeingia mfukoni mwa Kiduku 🤔Lee Van free TUJITEGEMEE
Wale wa Korea Kaskazini waliamua kuondoka Kursk baada ya kuona Uwanja umeinama..
Tatizo ni hiyo sourceNot exactly. Try to use the the Fact-checker or get some hints from www.express.co.uk
View attachment 3228424
Askari elfu 48 ndani ya mwezi!?.. halafu zelensky mwezi huohuo analalama putin hataki suluhu na anapoteza territories,vichwa vyenu mnatumia kufanya nini!?Weka chanzo chako cha habari chenye ukweli
Hee don't judgeWewe mvaa vipedo, misuli na makobazi ulitaka source iwe Aljazeera?🤔