Putin hali Tete, akimbilia kanisani akitaka askari wake walioko vitani Ukraine waombewe

Putin hali Tete, akimbilia kanisani akitaka askari wake walioko vitani Ukraine waombewe

MBYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2020
Posts
366
Reaction score
521
Rais wa Urusi ameonekana katika video inayosambaa akimsihi kiongozi wa kanisa la Orthodox nchini Rusia kuibariki misalaba ya makamanda wake walio mstari wa mbele dhidi ya Ukraine futalia video hii
 

Attachments

  • Putin_asks_Russian_Orthodox_church_patriarch_to_consecrate_Christmas_gifts_for_troops_in_Ukrai...mp4
    3.6 MB
Kwahiyo kwa tafsiri yako mtu anayeenda kanisan anakuwa kafeli maisha?
Hapana si kufeli lakini anachokifanya kwa nchi ya Ukraine siyo jambo la kiMungu ni ushetani kabisa alipaswa akae mbali na mlango wa kanisa na siyo kupeleka mambo ya vita ya kishetani kanisani
 
Hapana si kufeli lakini anachokifanya kwa nchi ya Ukraine siyo jambo la kiMungu ni ushetani kabisa alipaswa akae mbali na mlango wa kanisa na siyo kupeleka mambo ya vita ya kishetani kanisani
Mungu ni Mungu wa vita ndio maana akaitwa Mungu wa Majeshi.
Kwenye Biblia Mungu amepiganisha vita nyingi sana.
 
Back
Top Bottom